Sababu za serikali kuichagua kampuni kutoka Dubai kufanya kazi bandari ya Dar es Salaam

Sababu za serikali kuichagua kampuni kutoka Dubai kufanya kazi bandari ya Dar es Salaam

kalacha mateo

Senior Member
Joined
Sep 27, 2021
Posts
119
Reaction score
240
Bunge la Jamhuri ya Tanzania mwaka huu linatarajia kujadili na kupitisha mkataba wa Kiserikali kati ya Tanzania na Dubai kuhusu kuendeleza Bandari ya Dar es Salaam, Hili litaweka mazingira ya kufanyika kwa taratibu nyingine, ikiwamo mkataba wa makubaliano, kabla ya kuanza kwa sura mpya ya ushirikiano kati ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) na DP World.

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa anasema sababu ya serikali kupendekeza kampuni ya DP World kufanya kazi na Mamlaka ya bandari ni uwezo wa kampuni hiyo katika kukabiliana na vikwazo vya kimataifa vya kibiashara vinavyosaidia kukuza biashara za kimataifa na kuongeza mapato.

Inakadiriwa, kampuni hiyo itakapoanza kufanya kazi katika bandari ya Dar es Salaam inatarajia kuongeza ukusanyaji wa mapato kupitia bandari hiyo kwa asilimia 233.7 katika miaka kumi ijayo. Huku lengo likiwa ni kuongeza kiasi cha mapato yanayokusanywa bandarini kutoka Sh7.79 trilioni kwa mwaka hadi Sh26 trilioni katika muongo ujao.

DP World ina teknolojia za kisasa, vifaa vya hali ya juu na wafanyikazi wenye ujuzi ambavyo vitawezesha bandari kushughulikia mizigo zaidi, kupunguza msongamano, na kuharakisha nyakati za ugeuzaji wa meli, na hivyo kupunguza gharama kwa wateja wa mwisho.

Kampuni hiyo ina rekodi iliyothibitishwa ya kusimamia, kuendesha na kuwekeza katika miundombinu ya biashara barani Afrika kwa zaidi ya miaka 20 kwa viwango vya juu zaidi vya kimataifa.

1685972890516.png
 
Bunge la Jamhuri ya Tanzania mwaka huu linatarajia kujadili na kupitisha mkataba wa Kiserikali kati ya Tanzania na Dubai kuhusu kuendeleza Bandari ya Dar es Salaam, Hili litaweka mazingira ya kufanyika kwa taratibu nyingine, ikiwamo mkataba wa makubaliano, kabla ya kuanza kwa sura mpya ya ushirikiano kati ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) na DP World.
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa anasema sababu ya serikali kupendekeza kampuni ya DP World kufanya kazi na Mamlaka ya bandari ni uwezo wa kampuni hiyo katika kukabiliana na vikwazo vya kimataifa vya kibiashara vinavyosaidia kukuza biashara za kimataifa na kuongeza mapato.
Inakadiriwa, kampuni hiyo itakapoanza kufanya kazi katika bandari ya Dar es Salaam inatarajia kuongeza ukusanyaji wa mapato kupitia bandari hiyo kwa asilimia 233.7 katika miaka kumi ijayo. Huku lengo likiwa ni kuongeza kiasi cha mapato yanayokusanywa bandarini kutoka Sh7.79 trilioni kwa mwaka hadi Sh26 trilioni katika muongo ujao.

DP World ina teknolojia za kisasa, vifaa vya hali ya juu na wafanyikazi wenye ujuzi ambavyo vitawezesha bandari kushughulikia mizigo zaidi, kupunguza msongamano, na kuharakisha nyakati za ugeuzaji wa meli, na hivyo kupunguza gharama kwa wateja wa mwisho.

Kampuni hiyo ina rekodi iliyothibitishwa ya kusimamia, kuendesha na kuwekeza katika miundombinu ya biashara barani Afrika kwa zaidi ya miaka 20 kwa viwango vya juu zaidi vya kimataifa.

View attachment 2646998
Wewe ulitaka ichaguliwe kampuni ya wapi!

Ticts ya Tanzania mnapiga kelele au ulitaka walete kampuni ya Rwanda ambayo hata Bahari hawana! Acha ujinga wako
 
Bunge la Jamhuri ya Tanzania mwaka huu linatarajia kujadili na kupitisha mkataba wa Kiserikali kati ya Tanzania na Dubai kuhusu kuendeleza Bandari ya Dar es Salaam, Hili litaweka mazingira ya kufanyika kwa taratibu nyingine, ikiwamo mkataba wa makubaliano, kabla ya kuanza kwa sura mpya ya ushirikiano kati ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) na DP World.
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa anasema sababu ya serikali kupendekeza kampuni ya DP World kufanya kazi na Mamlaka ya bandari ni uwezo wa kampuni hiyo katika kukabiliana na vikwazo vya kimataifa vya kibiashara vinavyosaidia kukuza biashara za kimataifa na kuongeza mapato.
Inakadiriwa, kampuni hiyo itakapoanza kufanya kazi katika bandari ya Dar es Salaam inatarajia kuongeza ukusanyaji wa mapato kupitia bandari hiyo kwa asilimia 233.7 katika miaka kumi ijayo. Huku lengo likiwa ni kuongeza kiasi cha mapato yanayokusanywa bandarini kutoka Sh7.79 trilioni kwa mwaka hadi Sh26 trilioni katika muongo ujao.

DP World ina teknolojia za kisasa, vifaa vya hali ya juu na wafanyikazi wenye ujuzi ambavyo vitawezesha bandari kushughulikia mizigo zaidi, kupunguza msongamano, na kuharakisha nyakati za ugeuzaji wa meli, na hivyo kupunguza gharama kwa wateja wa mwisho.

Kampuni hiyo ina rekodi iliyothibitishwa ya kusimamia, kuendesha na kuwekeza katika miundombinu ya biashara barani Afrika kwa zaidi ya miaka 20 kwa viwango vya juu zaidi vya kimataifa.

View attachment 2646998
Mapato Tril 26.vipi matumizi?

Mikataba y Mangungo w Msovero.

Afadhali Rais Samia ameweka jambo hili wazi kijadiliwe na bunge la Mwendazake.
 
Huyu mama hadi aondoke warabu watakuwa wameitafuna nchi vya kutosha
Kwahiyo tukishawapa sisi tunakwenda kubembea kwenye hamook like this

1685974036661.png
 

Attachments

  • 1685974036779.png
    1685974036779.png
    24.2 KB · Views: 9
Huyu mama hadi aondoke warabu watakuwa wameitafuna nchi vya kutosha
Yaani kwa wizi unaofanyika hapo bora waje tu
Halafu usishangae wafanyakazi wengi wakaletwa kutoka India na Bangladesh

Hapo ndio mtajui hamjui
Wakianza na waswahili wakaona bado mnaiba
Huu ndio ukweli na siku tukiwa waaminifu nchi itapiga hatua sana
 
Yaani kwa wizi unaofanyika hapo bora waje tu
Halafu usishangae wafanyakazi wengi wakaletwa kutoka India na Bangladesh

Hapo ndio mtajui hamjui
Wakianza na waswahili wakaona bado mnaiba
Huu ndio ukweli na siku tukiwa waaminifu nchi itapiga hatua sana
Wezi,wavivu,wenye madharau

Acha wawekwe benchi

Ova
 
Yaani kutoka makusanyo ya Sh7.79 trilioni kwa mwaka 1 hadi makusanyo ya Sh26 trilioni katika muongo 1 "miaka 10"......🤔
Kwa hii hesabu hata mwanafunzi wa darasa la saba C hawezi kukubali kumpa DP World bandari..🙄
Yaani nimesikitika sana, na waziri anaona ni sahibi kabisa...🤗 nabado anaisifia Dp World yani....😎
 
Wezi,wavivu,wenye madharau

Acha wawekwe benchi

Ova
Safi sana
Wenzetu wakiona kuna madhaifu mahali wanabadilisha mbinu na kuboresha
Sisi tunalea majizi
Bora wameanza kuliona hili tena walete foreigners tu na waadilifu wachache wa kwetu basi

Lazima wataelewa tu
 
Tenda ziko pale pale, pesa iko pale pale, waliokuwa na show zao bandarini wataendelea. Zaidi watapata zaidi maana, ucheleweshaji utapungua.
Mjue tu, hili halijalenga kuwadondosha watu lakini kuwapa kula kwa urahisi wale wote wachakarikaji.
Dp wataendesha bandari, watapata hela yao. Na show zingine zitaendelea.
Ni maendeleo pia wala tusipinge wala tusiwaze vibaya. Jambo zuri tu, kuadvance services.
 
Yaani kutoka makusanyo ya Sh7.79 trilioni kwa mwaka 1 hadi makusanyo ya Sh26 trilioni katika muongo 1 "miaka 10"......🤔
Kwa hii hesabu hata mwanafunzi wa darasa la saba C hawezi kukubali kumpa DP World bandari..🙄
Yaani nimesikitika sana, na waziri anaona ni sahibi kabisa...🤗 nabado anaisifia Dp World yani....😎
Utakuwa hujaelewa mahali! Hapo wanamaanisha baada ya miaka 10 bandari itakuwa inaingiza mapato 26 trillion kwa mwaka! Siyo kweli kwamba kwa miaka 10 wataingiza 26 trillion yaani 2.6 trillion kwa mwaka! Siyo hivyo!
 
Naunga mkono huo ubinafsishaji. Mitanzania ilikua unavujisha zaidi ya usu au robotatu ya mapato
 
Safi sana
Wenzetu wakiona kuna madhaifu mahali wanabadilisha mbinu na kuboresha
Sisi tunalea majizi
Bora wameanza kuliona hili tena walete foreigners tu na waadilifu wachache wa kwetu basi

Lazima wataelewa tu

Sio kirahisi hivyo hao wataokosa ajira hapo wanaweza wakawa timed bomb.
 
Mapato Tril 26.vipi matumizi?

Mikataba y Mangungo w Msovero.

Afadhali Rais Samia ameweka jambo hili wazi kijadiliwe na bunge la Mwendazake.
Yeye kama raisi hakupaswa kuwa kama chief Mangungo. Ni mwend wazimu anaweza kuelewa haya mambo ya kuuza bandari
 
Walisema Mwarabu alilipia gharama za hiyo picha, ndiyo mjue sasa kwamba Duniani hakuna cha bure, …

 
Sio kirahisi hivyo hao wataokosa ajira hapo wanaweza wakawa timed bomb.
Mkuu wabongo wanaiba sana ndio maana hatuna maendeleo ingawa tuna kila kitu ambacho nchi zingine hawana hata robo ya vya kwetu ila wametupita kwa kuwa wameamua kujiendeleza

Sisi watu hawajali nchi inaendaje au wananchi watakula nini miaka ijayo
Wao wanajua kuiba tu
Mataifa yanayoendelea wamejielewa kuwa kutokulipa kodi au kula rushwa na wizi pamoja na uzembe hawaendi popote
 
Back
Top Bottom