Sababu za TPLB kusogeza mbele Mechi ya Simba na Azam kutoka Novemba 28, 2023 hadi Jan 1, 2024 hazijaniingia akilini

Kama una stress..habarika na Gentamycine nawe utaponywa..siku itaenda vizuri.
 
acha nimpe maua yake huyu jamaa ni KING OF SPORTS habari zake ni za uhakika ukibisha we juha. [emoji23][emoji23]
Watu Wana wivu husuda tu, for me Genta namkubali ,mambo mengine Ni mapungufu madogo madogo tu
 
Sema jamaa unique sana habari zako huwa zinaibua fikra
Hiyo mechi imepelekwa mbali mno
 
Itakuwa bodi ya Ligi wamegundua Azam nao wataihujumu Tena,kwa kuwatumia akina kapombe, Chama,Manula nk.maana ule ushindi wa kununua na namungo amepita mulemule
 
Uliona Simba Sc atafungwa goli ngapi kwenye hiyo mechi na Azam?
 
Simba asipokong'otwa na Azam, atakong'otwa kimataifa...

Timu wameiparaganya viongozi wenyewe
 
Ndio mechi itolewe November hadi January? ili timu ifanye usajiri ?[emoji2772][emoji2772]
Wewe ulitaka itolewe November ipelekwe wapi? March!

Timu ya taifa sasa hivi iko kambini, watoke huko wajikusanye waanze game za CAF, ni ujinga kuamini Simba Sc inawaogopa Azam zaidi ya wapinzani wa CAF.
 
acha nimpe maua yake huyu jamaa ni KING OF SPORTS habari zake ni za uhakika ukibisha we juha. [emoji23][emoji23]
Sio zote!

Ila Iko stori moja ya msemaji wa Yanga Ali alimponda sana huku watu hatujui kitu chochote baadae heee tukashangaa dogo ndo huyo huyo amekuwa semaji lenye barka Yanga! Sijui alizipataje za ndani kuwa Ali yumo anagombea!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…