Wanakuandikia made in Japan Finished in China wanajua kabisa watawapata wanaopenda bidhaa za Japan na wale wanaojichukuliaga tuu ili mradiProducts za China huwa zinanipa shida sana kuziamini. Hawa jamaa hawaaminiki sana
LG na Samsung Tv ya 24" ilikua inagonga mpka 500k ujio wa hawa cheap products umerahisisha mambo hata wap kupunguza beiBlackstone si ndio wachina wanaunganisha majumbani kwao huko. Ukweli ni kwamba karibia TV zote unazoona za brand zisizo kubwa huwa wanaunganisha components kutoka kwa wholesale vendors.
Wanachukua generic Display controller, display na power supply na housing wana agiza kisha wanaunganisha wenyewe. Wao sio ODM (Original Device Manufacturer) or OEM (Original Equipment Manufacturer). Sshv hvi hapa unaweza fungua TV yako ya akina Boss au Abroder ukaangalia serial number ya board yake ukasearch Alibaba utakuta original manufacturer ambaye sio hao akina Abroder. Ila sio mbaya kwasababu bado hvi vitu vinasaidia watu sana kupata bidhaa kwa bei rahisi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ubora wa Tv sio wifi, BT na ugumu wa kiio. hiyo sio TV ni takataka
Blackstone Nayo
Mkuu tupe shule kidogo, unasema hazina uhusino yyt, hebu tuambie hiyo ina maana gani?Hapana, hitachi(japani) ni kampuni ambayo haina uhusiano wowote na TCL inayomilikiwa na serikali ya china.
Sijawahi sikia TCL kuwa wamenunua idara inayozarisha tv za hitachi.
Pili, Hitachi haizarishi tena tv na consumer product kwa ujumla tangu 2012
Hitachi to end TV manufacturing
Japanese electronics giant Hitachi is to stop making televisions from the end of September, but will continue to sell the Wooo brand.www.bbc.com
Hitachi ni likampuni likubwa mno.
Hizi ni swaga za kuvutia wateja, hitachi ilishaacha uzrishaji wa tv japokuwa wana brand zao kwa ajili ya nchi baadhi
Mr UK tunaiweka kundi gani?
Hyo ni warranty card. Inawezekana kuwa wanawatumia Hitachi kma vendor wao wakuwasaidia repairs internationally. Kwasababu sikuhzi Hitachi wanadeal sana na B2B (Business to business exchange) na macompany mengine.Mkuu tupe shule kidogo, unasema hazina uhusino yyt, hebu tuambie hiyo ina maana gani?View attachment 1714022
Mkuu tupe shule kidogo, unasema hazina uhusino yyt, hebu tuambie hiyo ina maana gani?View attachment 1714022
Bro, hitachi tangu aache kutengeneza tv kuna kampuni moja tu ya uturuki inayotengeneza tv za hitachi na sio tcl.Mkuu tupe shule kidogo, unasema hazina uhusino yyt, hebu tuambie hiyo ina maana gani?View attachment 1714022
Unazungumzia ugumu kwani ni tofali la kujengea nyumba?nadhani kwangu tv bora ni ile YENYE PICHA BORAHome tech inakaa kundi gani ... Zipo nzuri zina bluetooth na wifi na screen yake ngumu saanaa
Nina budget ya laki 5,tv gani ni nzuri na bora zaidi hapo mdau?Nimegawa Brands katika makundi mawili. Kundi A na kundi B. Nimezingatia ukongwe au Umaarufu duniani katika makundi haya na Bei zake.
A.
Samsung
Panasonic
Sony
Hitachi
JVC
LG
SANYO
( TCL na HISENSE ? )
B.
TCL
HISENSE
BOSS
STAR X
Mr. UK
HOMETECH
ABORDER
SINGSUNG
ITEL
ZUHNE
Jambo jingine. Je ni kwanini katika yale mabox kuna mabox ambayo ni ya kaki na mengine ni yenye urembo ,rangi au colored pictures? Na wakati flani unakuta brand hiyo hiyo ina TVs Boxes zenye sifa hizo mbili tofauti.
Sio kweli, hiyo TCL nimeenda kuikuta nchini Lebanon na Israel na hizo nchi huwa hawaingizi vitu fake kabisa yaani TBS za huko sio za kubabaishaBro, hitachi tangu aache kutengeneza tv kuna kampuni moja tu ya uturuki inayotengeneza tv za hitachi na sio tcl.
hitachi wana tool online za kucheki uhalali wa warant ingiza hiyo warant ya hiyo tv yako harafu uone kama hiyo tv inatambulika na hitachi.
Na hizi tv zinazodai kuwa na warrant ya hitachi zinaonekana hapa tz ukiangalia uk, singapore hata uturuki hazipo.
Hisense itoe hapo iweke kwenye ANimegawa Brands katika makundi mawili. Kundi A na kundi B. Nimezingatia ukongwe au Umaarufu duniani katika makundi haya na Bei zake.
A.
Samsung
Panasonic
Sony
Hitachi
JVC
LG
SANYO
( TCL na HISENSE ? )
B.
TCL
HISENSE
BOSS
STAR X
Mr. UK
HOMETECH
ABORDER
SINGSUNG
ITEL
ZUHNE
Jambo jingine. Je ni kwanini katika yale mabox kuna mabox ambayo ni ya kaki na mengine ni yenye urembo ,rangi au colored pictures? Na wakati flani unakuta brand hiyo hiyo ina TVs Boxes zenye sifa hizo mbili tofauti.
Sahihi kabisaUnazungumzia ugumu kwani ni tofali la kujengea nyumba?nadhani kwangu tv bora ni ile YENYE PICHA BORA
Wee jamaa. InboxNimegawa Brands katika makundi mawili. Kundi A na kundi B. Nimezingatia ukongwe au Umaarufu duniani katika makundi haya na Bei zake.
A.
Samsung
Panasonic
Sony
Hitachi
JVC
LG
SANYO
( TCL na HISENSE ? )
B.
TCL
HISENSE
BOSS
STAR X
Mr. UK
HOMETECH
ABORDER
SINGSUNG
ITEL
ZUHNE
Jambo jingine. Je ni kwanini katika yale mabox kuna mabox ambayo ni ya kaki na mengine ni yenye urembo ,rangi au colored pictures? Na wakati flani unakuta brand hiyo hiyo ina TVs Boxes zenye sifa hizo mbili tofauti.