Wanaume hawanufaiki na ndoa!!!
1. Ana miaka 72.
2. Amestaafu kutoka katika huduma ya kazi.
3. Amejitolea maisha yake yote kuwalea watoto wake.
4. Amekataa starehe za maisha ili kugharamia ada ghali za shule na gharama za maisha ya watoto wake nje ya nchi.
5. Sasa wanaishi vizuri Ulaya, ama jijini Dar, Mwanza au Arusha
6. Mkewe, mwenye umri wa miaka 62, amehamia kuishi na watoto wao.
7. Yeye amebaki peke yake huko kijijini.
8. Watoto wake humpigia simu kidogo sana.
9. Anapaswa kuanza maisha upya kama mzalendo.
10. Anapambana na shinikizo la damu na magonjwa mengine yanayohusiana na uzee.
11. Atasurvive peke yake kwa muda gani zaidi?
12. Hii ndiyo hali halisi kwa wanaume wengi wa tabaka la kati: uzee wao mara nyingi ni wa upweke na, kwa visa vingi, huzuni.
13. Haijalishi jinsi mwanaume alivyo mzuri,aliyewajibika kwa familia yake, wanawake huonekana kuwapenda watoto wao zaidi ya waume zao. Kadri anavyozeeka, na waume zao kadri wanavyozeeka ndivyo inaonekana wana umuhimu mdogo kwao.
14. Kwa hivyo, wanaume wanufaikaje kweli na ndoa?
15. Wanatoa maisha mengi lakini wanapata kutambuliwa kidogo kwa kazi yao ngumu, huku mwanamke akionekana kuvuna faida zote.
Aliyeimba wanaume wameumbwa mateso kuhangaika huenda aliyaona haya pia .
Ukiwa kama mwanaume hali hii inaweza kuwa yako katika miongo michache ijayo.nini Unachofanya kuhusu hilo? Mpango wako wa kustaafu ni upi? Jali nafsi yako kama unavyojali familia yako. Jipende mwenyewe. Mungu akubariki.