Sababu zifuatazo zinaweza kumfanya mteja avuliwe ufalme

Sababu zifuatazo zinaweza kumfanya mteja avuliwe ufalme

Matongee

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2023
Posts
1,056
Reaction score
2,729
Mteja ni mfalme ila kuna wakati naye huzingua na kujikuta kajivua au kuvuliwa ufalme wake na kuonekana kenge tu. Sababu zinaweza kuwa hizi.

1. Mteja anayeona duka linafanya SALE ila bila aibu anaomba apunguziwe tena bei.

2. Mteja ambaye baada ya kupewa bei hujibu "nyie bei ghali sana kwa fulani tunapata kwa bei hii"..😡

3. Mteja anayeuliza bei za karibu vitu vyote dukani halafu hanunui chochote.

4. Mteja ambaye kwenye maduka ya nguo anaomba kujaribisha hadi chupi au boxer kama inamtosha. Kuna mdada alinitaka kunirudishia boxer anasema imembana mumewe. Nusura nimtukane ila akawa mjanja kutojibu ovyo nilivyomwambia huwa hazirudishwi.

5. Mteja ambaye anajua kabisa kuna vitu haviwezi kabisa kuwepo kwenye duka alilopo ila ataulizia tu kama vile kujikweza.
 
Mleta mada hufai kua mfanyabiashara,hizo ni changamoto ndogo tu kwenye biashara zinakushinda,utaweza changamoto zingine kweli? mteja siku zote hua yupo right no matter what,jaribu kuajiriwa kwenye taasisi yeyote inayodeal na wateja hata kwenye Hotels tu halafu ugombane na mteja uone jinsi ajira yako itakavyo ota nyasi siku hiyo hiyo,

Ni kweli kuna wateja hua wanakera ila kumbuka kua wateja wako ni watu wa aina mbalimbali na wenye background tofauti tofauti,elimu zao tofauti,discipline,attitude wanatofautiana,u just have to learn how to deal with them in a positive way.
 
Mteja ni mfalme ila kuna wakati naye huzingua na kujikuta kajivua au kuvuliwa ufalme wake na kuonekana kenge tu. Sababu zinaweza kuwa hizi.

1. Mteja anayeona duka linafanya SALE ila bila aibu anaomba apunguziwe tena bei.

2. Mteja ambaye baada ya kupewa bei hujibu "nyie bei ghali sana kwa fulani tunapata kwa bei hii"..😡

3. Mteja anayeuliza bei za karibu vitu vyote dukani halafu hanunui chochote.

4. Mteja ambaye kwenye maduka ya nguo anaomba kujaribisha hadi chupi au boxer kama inamtosha. Kuna mdada alinitaka kunirudishia boxer anasema imembana mumewe. Nusura nimtukane ila akawa mjanja kutojibu ovyo nilivyomwambia huwa hazirudishwi.

5. Mteja ambaye anajua kabisa kuna vitu haviwezi kabisa kuwepo kwenye duka alilopo ila ataulizia tu kama vile kujikweza.
Mteja anajua kuwa makato ya miamala yako fixed lakini atakwambia mbona wewe unakata sana

Kiukweli kazi ya customer care inahitaji uvumilivu bila hivyo utawafukuza wote ukabaki mwenyewe cku nzima hamna anaekusogelea
 
Hii kauli ya mteja mfalme huyo mhenga alieanzisha sijui aliwaza nini?
Sikubaliani kabisa na hii kauli
Mteja anaiba ntamwitaje mfalme?
Mfalme ana nyodo eti mfalme 😄
 
Mteja ni mfalme ila kuna wakati naye huzingua na kujikuta kajivua au kuvuliwa ufalme wake na kuonekana kenge tu. Sababu zinaweza kuwa hizi.

1. Mteja anayeona duka linafanya SALE ila bila aibu anaomba apunguziwe tena bei.

2. Mteja ambaye baada ya kupewa bei hujibu "nyie bei ghali sana kwa fulani tunapata kwa bei hii"..😡

3. Mteja anayeuliza bei za karibu vitu vyote dukani halafu hanunui chochote.

4. Mteja ambaye kwenye maduka ya nguo anaomba kujaribisha hadi chupi au boxer kama inamtosha. Kuna mdada alinitaka kunirudishia boxer anasema imembana mumewe. Nusura nimtukane ila akawa mjanja kutojibu ovyo nilivyomwambia huwa hazirudishwi.

5. Mteja ambaye anajua kabisa kuna vitu haviwezi kabisa kuwepo kwenye duka alilopo ila ataulizia tu kama vile kujikweza.
Namba 3 ni ya kuwa makini nayo. Mimi nimewahi kufanya biashara fulani. Watu wanapiga simu wanauliza unawapgia hesabu unawapatia wanauliza na maswali mengi unawajibu kisha kimya. Miezi inapita from no where mtu anakupgia anakukumbusha hesabu anakwambia yuko tayari kulipia.
Sema mimi huwa sioni noma kumweleza mtu hata kama hanunui mimi kwangu si shida kabisa.
 
Mleta mada hufai kua mfanyabiashara,hizo ni changamoto ndogo tu kwenye biashara zinakushinda,utaweza changamoto zingine kweli? mteja siku zote hua yupo right no matter what,jaribu kuajiriwa kwenye taasisi yeyote inayodeal na wateja hata kwenye Hotels tu halafu ugombane na mteja uone jinsi ajira yako itakavyo ota nyasi siku hiyo hiyo,

Ni kweli kuna wateja hua wanakera ila kumbuka kua wateja wako ni watu wa aina mbalimbali na wenye background tofauti tofauti,elimu zao tofauti,discipline,attitude wanatofautiana,u just have to learn how to deal with them in a positive way.
 
Uko sahihi mkuu, mteja ni mfalme ata aweje! Wewe unahitaji ela yake ndo maana uko pale, ndo mana wakenya wanatushinda sana unakuta unafika dukan muuza duka anakwambia mimi ndo nafunga duka, ataki kutoa huduma mpk kesho anakwambia nawai nyumbani fu*** umekaa siku nzima kusubiri ela pale ukitafuta pesa…nendeni kwa kina erick mulokozi kujifunza biashara muone kama wana attitude km izo za kimaskini…wewe unataka pesa sio maneno yae
 
Mteja ni mfalme ila kuna wakati naye huzingua na kujikuta kajivua au kuvuliwa ufalme wake na kuonekana kenge tu. Sababu zinaweza kuwa hizi.

1. Mteja anayeona duka linafanya SALE ila bila aibu anaomba apunguziwe tena bei.

2. Mteja ambaye baada ya kupewa bei hujibu "nyie bei ghali sana kwa fulani tunapata kwa bei hii"..[emoji35]

3. Mteja anayeuliza bei za karibu vitu vyote dukani halafu hanunui chochote.

4. Mteja ambaye kwenye maduka ya nguo anaomba kujaribisha hadi chupi au boxer kama inamtosha. Kuna mdada alinitaka kunirudishia boxer anasema imembana mumewe. Nusura nimtukane ila akawa mjanja kutojibu ovyo nilivyomwambia huwa hazirudishwi.

5. Mteja ambaye anajua kabisa kuna vitu haviwezi kabisa kuwepo kwenye duka alilopo ila ataulizia tu kama vile kujikweza.
Namba 3 hapo wengine wanafanya window shopping tu.
 
Mteja ni mfalme ila kuna wakati naye huzingua na kujikuta kajivua au kuvuliwa ufalme wake na kuonekana kenge tu. Sababu zinaweza kuwa hizi.

1. Mteja anayeona duka linafanya SALE ila bila aibu anaomba apunguziwe tena bei.

2. Mteja ambaye baada ya kupewa bei hujibu "nyie bei ghali sana kwa fulani tunapata kwa bei hii"..😡

3. Mteja anayeuliza bei za karibu vitu vyote dukani halafu hanunui chochote.

4. Mteja ambaye kwenye maduka ya nguo anaomba kujaribisha hadi chupi au boxer kama inamtosha. Kuna mdada alinitaka kunirudishia boxer anasema imembana mumewe. Nusura nimtukane ila akawa mjanja kutojibu ovyo nilivyomwambia huwa hazirudishwi.

5. Mteja ambaye anajua kabisa kuna vitu haviwezi kabisa kuwepo kwenye duka alilopo ila ataulizia tu kama vile kujikweza.
Mteja anapouliza bei alafu hajanunua haimaanishi sio mteja wako…wafanya biashara waliofanikiwa moja ya njia wabayotumia ni hiyo mteja anayekuja anahakikisha anamuhudumia vizuri na kunpa customer care yote ili arudi siku nyingine kununua iyo bidhaa kwenye duka lake
 
Mteja ni mfalme ila kuna wakati naye huzingua na kujikuta kajivua au kuvuliwa ufalme wake na kuonekana kenge tu. Sababu zinaweza kuwa hizi.

1. Mteja anayeona duka linafanya SALE ila bila aibu anaomba apunguziwe tena bei.

2. Mteja ambaye baada ya kupewa bei hujibu "nyie bei ghali sana kwa fulani tunapata kwa bei hii"..[emoji35]

3. Mteja anayeuliza bei za karibu vitu vyote dukani halafu hanunui chochote.

4. Mteja ambaye kwenye maduka ya nguo anaomba kujaribisha hadi chupi au boxer kama inamtosha. Kuna mdada alinitaka kunirudishia boxer anasema imembana mumewe. Nusura nimtukane ila akawa mjanja kutojibu ovyo nilivyomwambia huwa hazirudishwi.

5. Mteja ambaye anajua kabisa kuna vitu haviwezi kabisa kuwepo kwenye duka alilopo ila ataulizia tu kama vile kujikweza.
Namba moja hapo dukani siyo lazima bei iliyowebandikwa kwe ye picha ni hiyo hiyo utalipia lazima kuwa na bei punguzo. A shop is not a place for compulsory sale.
 
Uko sahihi mkuu, mteja ni mfalme ata aweje! Wewe unahitaji ela yake ndo maana uko pale, ndo mana wakenya wanatushinda sana unakuta unafika dukan muuza duka anakwambia mimi ndo nafunga duka, ataki kutoa huduma mpk kesho anakwambia nawai nyumbani fu*** umekaa siku nzima kusubiri ela pale ukitafuta pesa…nendeni kwa kina erick mulokozi kujifunza biashara muone kama wana attitude km izo za kimaskini…wewe unataka pesa sio maneno yae
Mkuu wewe unaonekana sio mfanyabiashara ni mteja kama wateja wengine ngoja nikupe story kidogo

Mm nafanya biashara z wakati naanza nilikuwa na iyo tabia simuachi mteja hata kama nimefunga madirisha nafungua moja kumhudumia kumbe jamaa wananichora

Kuna siku walikuja jamaa wawili nyakati za kufunga wakawa wanaitaji huduma nikasema ngoja nisiache hela walikaa pale kuzuga kama dk 5 ivi au kumi kumbe wanawasiliana, basi wakafanya huduma wakoandoka nikafunga

Huwa sipitiagi njia moja nikienda kwangu basi nikabadili njia ila kuna kama mmoja nilimuona ivi amesimama si karibu na ofisini kwangu ila sikumtilia maanani aisee kwenda mbele nilikutana na jamaa kama sita ivi mmoja kashika kisu kuanza kunikaba bakhat nzuri sikuwa hata na simu wala hela nilikuwa na kibegi ambacho niliweka vikolokolo wakachukua wakasepa

Kwaiyo kwa mteja hawezi jua hizi risk anajua yeye alivyo wote ni sawa wengine wanatumia mianya kusoma ramani mfanyabiashara siku zote unatakiwa kuwa makini
 
Namba moja hapo dukani siyo lazima bei iliyowebandikwa kwe ye picha ni hiyo hiyo utalipia lazima kuwa na bei punguzo. A shop is not a place for compulsory sale.
Na kiingereza chako cha juhudi binafsi unaona umeandika point. Kulikuwa kuna haja gani ya kubandika bei kama sio lazima? Wateja pia akiona uko cheap hata kwenye sheria ulizojiwekea ndo wanakuwa hawaji wanaenda kwingine. Arusha kulikuwa na wahindi ambao ukitaka kuongeza sukari kwenye chai unalipia kijiko Tsh 50 na watu walikuwa wanajaa.
 
Uko sahihi mkuu, mteja ni mfalme ata aweje! Wewe unahitaji ela yake ndo maana uko pale, ndo mana wakenya wanatushinda sana unakuta unafika dukan muuza duka anakwambia mimi ndo nafunga duka, ataki kutoa huduma mpk kesho anakwambia nawai nyumbani fu*** umekaa siku nzima kusubiri ela pale ukitafuta pesa…nendeni kwa kina erick mulokozi kujifunza biashara muone kama wana attitude km izo za kimaskini…wewe unataka pesa sio maneno yae
Una point ila inapingika kirahisi sana. Wateja pia huangalia kama wewe mwenyewe unafuata sheria za duka lako. Zamani Arusha kulikuwa na wahindi walikuwa wana mgahawa wao.. ukitaka kuongeza sukari kwenye chai unalipia kijiko Tsh 50 na watu walikuwa wanajaa mgahawani kwao. Wateja wakikuona cheap wanakudharau wewe pamoja na biashara yako.
 
Namba moja hapo dukani siyo lazima bei iliyowebandikwa kwe ye picha ni hiyo hiyo utalipia lazima kuwa na bei punguzo. A shop is not a place for compulsory sale.
Una point ila inapingika kirahisi sana. Wateja pia huangalia kama wewe mwenyewe unafuata sheria za duka lako. Zamani Arusha kulikuwa na wahindi walikuwa wana mgahawa wao.. ukitaka kuongeza sukari kwenye chai unalipia kijiko Tsh 50 na watu walikuwa wanajaa mgahawani kwao. Wateja wakikuona cheap wanakudharau wewe pamoja na biashara yako.
So mkuu izo ulizoandika alo juu ndo sheria unazotambia kwamba mtu hakudharau..poa fanya ivi biashara ni huria weka bango tu kwenye biashara yako kuanzia point ya kwanza kwamba rule #1. Nikikutajia bei si ruhusa kuomba bagenii #.2 ukiulizia kitu lazima ununue #.3 ukijaribu lazima ununue #4. Si ruhusa kuuliza bei ya bidhaa ya vitu vyote dukani

Afu uku pembeni wamachinga wanamforce mtu ata ashike nguo ili aongee nae tu uku iliari mtu ataki kununua ila anamwambia kuona bure kujaribu bure kasoro kuondoka nayo tu ndo na ela
 
Mteja ni mfalme ila kuna wakati naye huzingua na kujikuta kajivua au kuvuliwa ufalme wake na kuonekana kenge tu. Sababu zinaweza kuwa hizi.

1. Mteja anayeona duka linafanya SALE ila bila aibu anaomba apunguziwe tena bei.

2. Mteja ambaye baada ya kupewa bei hujibu "nyie bei ghali sana kwa fulani tunapata kwa bei hii"..😡

3. Mteja anayeuliza bei za karibu vitu vyote dukani halafu hanunui chochote.

4. Mteja ambaye kwenye maduka ya nguo anaomba kujaribisha hadi chupi au boxer kama inamtosha. Kuna mdada alinitaka kunirudishia boxer anasema imembana mumewe. Nusura nimtukane ila akawa mjanja kutojibu ovyo nilivyomwambia huwa hazirudishwi.

5. Mteja ambaye anajua kabisa kuna vitu haviwezi kabisa kuwepo kwenye duka alilopo ila ataulizia tu kama vile kujikweza.
Mteja hajawahi kuwa mfalme. Hiyo ni lugha ya kibiashara kumvutia atoe hela yake tu.
 
Back
Top Bottom