Mteja ni mfalme ila kuna wakati naye huzingua na kujikuta kajivua au kuvuliwa ufalme wake na kuonekana kenge tu. Sababu zinaweza kuwa hizi.
1. Mteja anayeona duka linafanya SALE ila bila aibu anaomba apunguziwe tena bei.
2. Mteja ambaye baada ya kupewa bei hujibu "nyie bei ghali sana kwa fulani tunapata kwa bei hii"..😡
3. Mteja anayeuliza bei za karibu vitu vyote dukani halafu hanunui chochote.
4. Mteja ambaye kwenye maduka ya nguo anaomba kujaribisha hadi chupi au boxer kama inamtosha. Kuna mdada alinitaka kunirudishia boxer anasema imembana mumewe. Nusura nimtukane ila akawa mjanja kutojibu ovyo nilivyomwambia huwa hazirudishwi.
5. Mteja ambaye anajua kabisa kuna vitu haviwezi kabisa kuwepo kwenye duka alilopo ila ataulizia tu kama vile kujikweza.
1. Mteja anayeona duka linafanya SALE ila bila aibu anaomba apunguziwe tena bei.
2. Mteja ambaye baada ya kupewa bei hujibu "nyie bei ghali sana kwa fulani tunapata kwa bei hii"..😡
3. Mteja anayeuliza bei za karibu vitu vyote dukani halafu hanunui chochote.
4. Mteja ambaye kwenye maduka ya nguo anaomba kujaribisha hadi chupi au boxer kama inamtosha. Kuna mdada alinitaka kunirudishia boxer anasema imembana mumewe. Nusura nimtukane ila akawa mjanja kutojibu ovyo nilivyomwambia huwa hazirudishwi.
5. Mteja ambaye anajua kabisa kuna vitu haviwezi kabisa kuwepo kwenye duka alilopo ila ataulizia tu kama vile kujikweza.