Wengi hufanya vitu kuwafuraisha marafiki mwisho wa siku wanapotea pia madawa unaweza ukawa hutumii marafiki wakaanza kukuchanganyia Hadi unakuwa addicted refer case ya Ray cNawengi sana ukiangalia utakuta crew yake yote wapo hivo hivo, ila nafikiri kingine ni mindset ya mtu tu, kuna watu wana crew kama hivo lakini unamkuta sio mtumiaji.
Case ya Ray C ifute kabisa akilini mwako kwa namna ulivyokuwa unaaminishwa.Wengi hufanya vitu kuwafuraisha marafiki mwisho wa siku wanapotea pia madawa unaweza ukawa hutumii marafiki wakaanza kukuchanganyia Hadi unakuwa addicted refer case ya Ray c
Hakuna cocaine safi mkuu, ingekuwa safi basi hata mapapa wa hii biashara kama pablo na el chapo wangetumia, maana wenyewe mzigo wao ulikuwa wa kiwango sana. Hivi vitu ni vya kuuza tu sio kutumiaHuku bongo wanalishwa takataka aisee nimefatilia jinsi cocaine inavotengenezwa huko America Hadi ifike huku I'm sure hamna anaye afford ile original yake maana hizo crack's tu zilivo ni shida na hatari kwa mtumiaji
Ndio maana nimesisitiza mtu akifikia mbali kwenye maamuzi ya starehe aishie tu kwenye bangi maana hii hata kuna nchi zinaruhusu kuvuta kwa kua ina benefits, Hali kadhalika hapa tu bongo vijana hasa wa kiume 6 kati ya kumi wamewahi kujaribu bangi, ikitumika fresh, Ila unapovuka zaidi ya hapo na kwenda kutumuia crack cocaine, cocaine, heroin, meth, n.k unakuwa unahatarisha afya ya akili.Bange ni kama Pombe mzee itakuharibu endapo hautofuata masharti yake.
Kilichoanza kuniharibu si bange ni Crack, japo nafahamu kuwa wagonjwa wengi wa akili walioko Mirembe wengi walikuwa wavuta bange.
Lakini unavuta bange unaishi wapi?, unavuta bange unakula nini?, unavuta bange unajishughulisha na nini ili upate kipato chako?
For my side bange haijawahi kunidhuru hadi pale nilipoijua crack, na bila ya bange ningefeli vibaya sana shule.
NB; Sishauri yeyote avute.
Cocaine inapotengenezwa huko Colombia hufata procedure zote maana ile hupandwa na inakuwa ka unga, Sasa hii inayokuja huku vile expensive huchaganywa Hadi na baadhi ya sumu ka za panya na other dangerous chemicals ili kuongeza ukali, ndo hzo huitwa cracksHakuna cocaine safi mkuu, ingekuwa safi basi hata mapapa wa hii biashara kama pablo na el chapo wangetumia, maana wenyewe mzigo wao ulikuwa wa kiwango sana. Hivi vitu ni vya kuuza tu sio kutumia
Tuco SalamancaDuh hizi Crack Cocaïne zipo hapa Bongo kweli?! Nazionaga kwenye movies tu, Breaking Bad.
kama walevi wa pombe tu, tukimshangaa huyu tuwashangae na walevi alcoholickwanza anasema akikosa analala Sana...sijaona faida ya kulala had kalio kiume! Sijui wenzetu balehe inawakutaje kutake! Eti uvute weed ili uongeze kujiamini..khaaa[emoji119]
Duuh Mzee we ni HatariMtu anayetumia Cocaine hawezi kuropoka kama Gigy na inakuwa si rahisi kumgundua as long as ana pesa.
Unaweza ukashangaa lakini Pombe inafanya hayo huyo Gigy ni mtumiaji mzuri sana wa pombe kali kimtaani wanaziita Makausha K ndizo zinamfanya awe hivyo.
And we mens really enjoy that anachezewa michezo yote michafu.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Hahahaha! Baba unadevera
Ngada inaondoa stress kwa mtindo wa raha.
Ngada inakupa kujiamini.
Ngada inakupa nguvu za mwili.
Ngada inakupa heshima.
Zitoshe kwa sasa hizi boss
mmea unaitwa "coca" plant, ukitengenezwa kwa kuchanganywa na kemikali nyingine ili ukamuliwe kilevi chake ndio huwa unakua unga huu tunaoita cocaine na ndio wanaongezea sumu za panya hapa hii stage wengine huweka hata cement wakiamini unga huo utakua na kiwango kikubwa cha kilevi. hio crack cocaine ni kama cocaine ya mtu maskini asieweza kugharamia cocaine ule unga ambao ni bei sana, crack unachukua unga wa cocaine kidogo tu unachanganya na baking powder unapata vimawe mawe ndio inaitwa crack cocaine, crack hii ina madhara makubwa sana kuliko hata cocaine.Cocaine inapotengenezwa huko Colombia hufata procedure zote maana ile hupandwa na inakuwa ka unga, Sasa hii inayokuja huku vile expensive huchaganywa Hadi na baadhi ya sumu ka za panya na other dangerous chemicals ili kuongeza ukali, ndo hzo huitwa cracks
Hemu tupe kidogo mkuu..ya ray cCase ya Ray C ifute kabisa akilini mwako kwa namna ulivyokuwa unaaminishwa.
Siwezi kudisclose hilo file hapa ndugu, ila jua bi dada alianza kitambo tu. Kumbuka safari zake za China. Unganisha dotsHemu tupe kidogo mkuu..ya ray c
Hao wateja uliozoea kuwaona wengi hawana makazi maalumu na hawana uhakika wa kula.Sasa mbona wale mateja wa stend wanayumba na kupepesuka ovyo? Wachafuuu..mimate duh