Sababu zilizopelekea niache kuvuta Crack

Sababu zilizopelekea niache kuvuta Crack

Mtu anayetumia Cocaine hawezi kuropoka kama Gigy na inakuwa si rahisi kumgundua as long as ana pesa.

Unaweza ukashangaa lakini Pombe inafanya hayo huyo Gigy ni mtumiaji mzuri sana wa pombe kali kimtaani wanaziita Makausha K ndizo zinamfanya awe hivyo.

And we mens really enjoy that anachezewa michezo yote michafu.
Huku bongo wengi wanakula hzo cracks they can't afford real cocaine ni expensive Sana hyo ndo Mana mateja wengi I assure madawa ya Tizii ni low grade Tena sumu tu
 
Ngada inaondoa stress kwa mtindo wa raha.
Ngada inakupa kujiamini.
Ngada inakupa nguvu za mwili.
Ngada inakupa heshima.

Zitoshe kwa sasa hizi boss
Mkuu usitafute unafuu wa kutetea hayo madubuwasha, Ngada imeharibu wengi sana kiakili, kiafya na kiuchumi. Hata wewe ulikuwa unaenda kupotea ulipoanza kusahau sahau ungeendelea ungekuwa ndo basi tena, hayo madudu hamna kitu ndio maana mateja wanakwambia zinawafanya wafikirie haraka ila unaweza kumuuliza swali akajibu baada ya muda wakati swali jepesi tu. Ngada inakitengenezea tu uongo kwenye akili uaminj kwamba inakuongezea confidence, kufikiria, n.k kumbe ni kinyume kabisa.

Hizo ngada zenyeww zikifika hapa bongo zimechanganywa na vitu kibao kama fethanyl ambayo ina nguvu mara mia kuliko heroin, supplier anachotaka ni kumgeuza mtumiaji mteja wa milele ili yeye afaidike huku wewe ukiangamia.

Hata cocaine za huko colombia ambazo ni original hazijachanganywa, watu wa huko wanashangaa sana watu wanaozitumia maana kuna documentary niliicheki kuna chemicala kibao sana zinachanganywa na hata sumu ya panya na cement vinawekwa humo wakiamini ya kwamba quality inaongezeka huku wao hawatumii.

Hayo madudu yanaenda kinyume kabisa na utaratibu wa starehe za asili kama pombe, Ngono, chakula, n.k

Kwa ushauri tu kwa vijana starehe zipo kibao hapa tz zisizo na madhara endapo ukitumia kwa kiasi, Kunywa pombe, sikiliza mziki, cheki mpira, kuwa na demu wa kukupumzisha mwili na ukienda mbali basi choma nyasi

KIBAYA NI KIBAYA TU, HAKINA HAJA YA KUTETEWA ILI KIONEKANE NA NAFUU, TUSHAPOTEZA VIJANA KIBAO KWA HAYA MADUDE
 
Crack ni madawa ya kulevya yanayotengenezwa kwa kiwango kidogo sana cha Cocaine na kuchanganywa na Baking powder au amatriptayne (ATM).

Amatriptayne (ATM) ni dawa ambazo ukimeza lazima ulale.

View attachment 1511672


Hizi hapa sababu chache zilizopelekea niache.

Tatizo la kusahau.
Hili tatizo lilikuwa likinipata sana wakati wa asubuhi napoenda kazini na ninapotoka kazini. Naweza kuamka nikaandaa vitu vya kubeba na nisibebe hata kimoja na nikifika njiani navikumbuka nikirudi ile kufika tu nasahau nimerudia nini na hii hali ilikuwa ni ya karibu kila siku.

Nilipungikiwa na hamasa ya kufanya chochote.
Naweza kukwambia kipindi zimenikolea, sikuwa na fikra ya kufanya chochote kipya niliridhika na hali niliyokuwa nayo, lakini baada ya kuacha nilipata motivations kibao za kufanya vitu vipya.

Tatizo jipya nililokuja kulipata baada ya kuacha cracks ni stress za future yangu kwanini sikuipanga yani mbele naona tabu na dhiki tu, sasa ili kuzizuia hizi stress nikarudia bange tena.


Bange ni drug moja soft sana ukiizoea unaweza kuiona kama sigara aina ya sport ukavuta mara nyingi zaidi kwa siku ila ni ngumu sana kuiacha.

Ukosefu wa hamu ya kula.

Nililigundua hili baada ya kuvuta kwa miezi sita tu, naweza kwenda kazini 6AM hadi 2PM bila kula chochote na nikaja kujihisi kula saa moja usiku muda wote huo navuta tu tena nakula kwa sababu watu wengine wanakula sio kwamba nina njaa!

Ukosefu wa usingizi.
Crack inatabia ya kunyima usingizi inaweza kukufanya usilale hata siku tatu na pindi utakapoikosa basi utalala sanaa hadi uipate.
Hii inasababisha sana maumivu ya makalio (matako) kwa sababu nilipokuwa naikosa nilikuwa nalala huku nimekaa kwenye tiles au kiti kwa masaa mengi.


Hasira.
Yani hapa ndio bado niko na-fight napo i get upset kwa vitu vidogo vidogo na kijinga sana.

Kuanza kuvuta crack au drug yoyote unaweza kuingia bila kushawishiwa ila kutoka ni lazima upate msaada.

Mara nyingi hii ndio inafanya waraibu watoke na kurudi au wasitoke kabisa, cause we try ourselves kutoka hatutaki kumwambia yeyote hapa ndipo linakuja suala la utegemezi wa kisaikolojia wachache sana tulioweza kumudu hili.

All in all bange ni moja ya drug moja salama sana besides the fact uvutaji wa chochote si salam kwa afya ya ini na ubongo.


Short tip ya njia niliyoitumia kwa kiwango kikubwa kuacha kabisa instead of using meds ni mazoezi, nimefanya jogging, pushups, swimming yani vyote mnavyovijua ambavyo vina balance breathing ni key.
Joe Crack The Don.
 
teja katika ubora wake... mzee sikupatii picha alosto inavyokutesa
 
Kweli
nilihamia mahali nyumba za kupanga uswahilini, nikawa nahisi hapo nilipohamia inatakiwa nipabariki ili nikae kwa amani, Nikawa niko na kipande cha bangi, nikasubiri mpaka saa tano usiku hivi watu wote wameshalala, Nikawasha bangi nikiwa chumbani kwangu mwenyewe nikaivuta hivi kama dakika tano zikapita, Nikasikia watu kwenye hio nyumba kila mmoja anatoka nje ili mradi tu ametoka na kurudi ndani wengine wakaenda kuoga saa hio.nikajua hii ni kiboko
Hahahaaa.....eti ni kweli ndumu ni dawa ya wanga?
 
Gigy, kaanza mapenzi siku nyingi mno na alikuwa hapendi sasa hivi ameanza kukua na kupenda kunamjia aisee ukijumlisha na mipombe anayotumia akifikiria jicho anavyoliwa she get mad
Aisee, jicho tena? M"popo" kakabidhiwa hadi jicho? 🤔







Let's meet at the top, cheers 🥂
 
Mkuu usitafute unafuu wa kutetea hayo madubuwasha, Ngada imeharibu wengi sana kiakili, kiafya na kiuchumi. Hata wewe ulikuwa unaenda kupotea ulipoanza kusahau sahau ungeendelea ungekuwa ndo basi tena, hayo madudu hamna kitu ndio maana mateja wanakwambia zinawafanya wafikirie haraka ila unaweza kumuuliza swali akajibu baada ya muda wakati swali jepesi tu. Ngada inakitengenezea tu uongo kwenye akili uaminj kwamba inakuongezea confidence, kufikiria, n.k kumbe ni kinyume kabisa.

Hizo ngada zenyeww zikifika hapa bongo zimechanganywa na vitu kibao kama fethanyl ambayo ina nguvu mara mia kuliko heroin, supplier anachotaka ni kumgeuza mtumiaji mteja wa milele ili yeye afaidike huku wewe ukiangamia.

Hata cocaine za huko colombia ambazo ni original hazijachanganywa, watu wa huko wanashangaa sana watu wanaozitumia maana kuna documentary niliicheki kuna chemicala kibao sana zinachanganywa na hata sumu ya panya na cement vinawekwa humo wakiamini ya kwamba quality inaongezeka huku wao hawatumii.

Hayo madudu yanaenda kinyume kabisa na utaratibu wa starehe za asili kama pombe, Ngono, chakula, n.k

Kwa ushauri tu kwa vijana starehe zipo kibao hapa tz zisizo na madhara endapo ukitumia kwa kiasi, Kunywa pombe, sikiliza mziki, cheki mpira, kuwa na demu wa kukupumzisha mwili na ukienda mbali basi choma nyasi

KIBAYA NI KIBAYA TU, HAKINA HAJA YA KUTETEWA ILI KIONEKANE NA NAFUU, TUSHAPOTEZA VIJANA KIBAO KWA HAYA MADUDE
Huku bongo wanalishwa takataka aisee nimefatilia jinsi cocaine inavotengenezwa huko America Hadi ifike huku I'm sure hamna anaye afford ile original yake maana hizo crack's tu zilivo ni shida na hatari kwa mtumiaji
 
Mkuu usitafute unafuu wa kutetea hayo madubuwasha, Ngada imeharibu wengi sana kiakili, kiafya na kiuchumi. Hata wewe ulikuwa unaenda kupotea ulipoanza kusahau sahau ungeendelea ungekuwa ndo basi tena, hayo madudu hamna kitu ndio maana mateja wanakwambia zinawafanya wafikirie haraka ila unaweza kumuuliza swali akajibu baada ya muda wakati swali jepesi tu. Ngada inakitengenezea tu uongo kwenye akili uaminj kwamba inakuongezea confidence, kufikiria, n.k kumbe ni kinyume kabisa.

Hizo ngada zenyeww zikifika hapa bongo zimechanganywa na vitu kibao kama fethanyl ambayo ina nguvu mara mia kuliko heroin, supplier anachotaka ni kumgeuza mtumiaji mteja wa milele ili yeye afaidike huku wewe ukiangamia.

Hata cocaine za huko colombia ambazo ni original hazijachanganywa, watu wa huko wanashangaa sana watu wanaozitumia maana kuna documentary niliicheki kuna chemicala kibao sana zinachanganywa na hata sumu ya panya na cement vinawekwa humo wakiamini ya kwamba quality inaongezeka huku wao hawatumii.

Hayo madudu yanaenda kinyume kabisa na utaratibu wa starehe za asili kama pombe, Ngono, chakula, n.k

Kwa ushauri tu kwa vijana starehe zipo kibao hapa tz zisizo na madhara endapo ukitumia kwa kiasi, Kunywa pombe, sikiliza mziki, cheki mpira, kuwa na demu wa kukupumzisha mwili na ukienda mbali basi choma nyasi

KIBAYA NI KIBAYA TU, HAKINA HAJA YA KUTETEWA ILI KIONEKANE NA NAFUU, TUSHAPOTEZA VIJANA KIBAO KWA HAYA MADUDE
Bange ni kama Pombe mzee itakuharibu endapo hautofuata masharti yake.

Kilichoanza kuniharibu si bange ni Crack, japo nafahamu kuwa wagonjwa wengi wa akili walioko Mirembe wengi walikuwa wavuta bange.
Lakini unavuta bange unaishi wapi?, unavuta bange unakula nini?, unavuta bange unajishughulisha na nini ili upate kipato chako?

For my side bange haijawahi kunidhuru hadi pale nilipoijua crack, na bila ya bange ningefeli vibaya sana shule.
NB; Sishauri yeyote avute.
 
Ngada inaondoa stress kwa mtindo wa raha.
Ngada inakupa kujiamini.
Ngada inakupa nguvu za mwili.
Ngada inakupa heshima.

Zitoshe kwa sasa hizi boss

Dope?? Hell no! That shit is way more addictive than herbs. Cannabis & Gambe are enough for me.







Let's meet at the top, cheers 🥂
 
for the sake of my daughters ( 4 cute she's) & age, nimeamua kuu -snitch 'mmea wa kondeni', kwani mabinti wameanza kuwa wakubwa siku wakijua baba yao ni 'mvuta bange' naona kabisa wataharibikiwa maisha, bora niache pole pole kabla halija sanuka! yatakayo bakia ni historia...
 
Kama umeamua kuacha acha vyote had na bangi usianze kujipa moyo et bangi inafaidia kumbuka hiyo bangi ndo bypass ya kurud hukohuko kwenye cocain, heroin.... Nk
 
Mheshimiwa pole sana ,upo south au bongo?improve your diet for regeneration of ur body,pia acha kabisa kuvuta bange,acha makundi,kama upo single oa ,jichanganye na watu smart
 
Mirembe pia wamejaa vijana kibao kwasababu ya hiyo dawa yako ya bangi.
Acha kuhusisha bange na mirembe, hakuna utafiti wowote kisayansi nana yeyote ile iliyo wahi kurithibitishia hilo.

Wengi wanarongwa akili zao kwa kupitia bange na jamii kuaminishwa sababu ni bange.

Tuna miaka kenda mpaka sasa mm na jamaa zangu tunaenjoy na hii kitu, fatilia miji iliyoruhusu bange kama kuna tatizo hilo.
 
Back
Top Bottom