Mirlz B Matthew
JF-Expert Member
- Oct 10, 2011
- 2,212
- 3,093
Umenikumbusha Heilsenberg na Pinkman
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakua poa mkuu kama ukitupatia story jinsi ulivoanza pengine tutapata cha kujifunza kutokana na simulizi yako mkuuNi long story sir.
kwanza anasema akikosa analala Sana...sijaona faida ya kulala had kalio kiume! Sijui wenzetu balehe inawakutaje kutake! Eti uvute weed ili uongeze kujiamini..khaaa🙌sijafahamu tu vijana wenzangu hua mnatafuta nini mpaka mnatumia hivo vitu, aisee kiukweli mimi napenda kua real, sidhani kama nitaweza kutumia kitu cha ziada ili niwe kwenye hali flani. Tujitahidi kua real us.
Tatizo sio balehe tatizo ni who are your friends au una interact na watu wa aina gani sana.kwanza anasema akikosa analala Sana...sijaona faida ya kulala had kalio kiume! Sijui wenzetu balehe inawakutaje kutake! Eti uvute weed ili uongeze kujiamini..khaaa🙌
Kuiga IGA hasa ukiwa na company wanakushawishi usipokuwa unachaganya na zako lazima ile kwakosijafahamu tu vijana wenzangu hua mnatafuta nini mpaka mnatumia hivo vitu, aisee kiukweli mimi napenda kua real, sidhani kama nitaweza kutumia kitu cha ziada ili niwe kwenye hali flani. Tujitahidi kua real us.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sir crack ni kama gongo tu inatengenezwa majumbani, unafahamu upatikanaji wa cocaine ni mgumu na ghali kidogo.
Sasa hii ni njia nzuri na salama kwa kiasi chake sababu dealer akipata grams zake kadhaa anauwezo wa kuhudumia wateja wako kwa muda mrefu.[emoji4]
Tatizo la crack ukijua kuitengeneza kwa quality ileile unaanza kuwa supplier (BIG MISTAKE)
Wee acha tu hiyo kitu. Sometimes unashindwa kupata usingizi zaidi ya wiki mbili, sema mungu alinijalia kuacha aina zote za drugs
Hizo zipo sana South Africa huko.Duh hizi Crack Cocaïne zipo hapa Bongo kweli?! Nazionaga kwenye movies tu, Breaking Bad.
KweliBangi Ni salama pia Ni dawa ..achana na hayo madude mengine!
Mmmmmh hatariKiongozi siwezi kukutajia bei kwa sababu kila supplier ana bei yake kulingana na aliko itoa.
Nitakupa mfano dealer mwingine anatoa Kagadi, Uganda mwingine Goma,DRC hawa hawawezi kuuza bei sawa lazima utofauti uwepo na quality ya UG na DRC ni the same.
Kingine kinachokuja kuleta ongezeko la gharama ni packaging mwingine anatia kidogo mwingine anajaza kiaina pia kuna dealers wanaongeza stimulants hizi nazo lazima zipandishe bei.
Mmh gigy? Anakula poda nae???Pole Sana ulikuwa unakula cocaine chafu low grades mpaka urudi inachukua mda Bora hata bsnge kuliko cocaine,I think gigy money naye anatumia hyo
Atakuwa anakula hizi crack maana vyote alivoandika mleta mada gigy ndio ana vifanysMmh gigy? Anakula poda nae???
Let's meet at the top, cheers [emoji1635]