Latrice
JF-Expert Member
- Jan 30, 2020
- 2,389
- 2,366
- Thread starter
- #41
Sir crack ni kama gongo tu inatengenezwa majumbani, unafahamu upatikanaji wa cocaine ni mgumu na ghali kidogo.Mkuu upo Tanzania au, maana sijawai kuona hivi vitu huku zaidi ya bange na heroine.
Sasa hii ni njia nzuri na salama kwa kiasi chake sababu dealer akipata grams zake kadhaa anauwezo wa kuhudumia wateja wako kwa muda mrefu.😊
Tatizo la crack ukijua kuitengeneza kwa quality ileile unaanza kuwa supplier (BIG MISTAKE)