Sababu zinazopelekea Jasusi (Spy) kuisaliti nchi yake

Sababu zinazopelekea Jasusi (Spy) kuisaliti nchi yake

aiseeni zaidi ya hatari, unatembea kulia kwako hela kushoto kifo. vip kuhusu kubalishana wafungwa wa kijasusi ipo hapa kwetu? unakuta tumemkamata wa nchi fulani ila kwa kuwa kutoka nchi hiyo tuna wa kwetu tunaamua kubadilishana, tunamrudisha wa kwao wanamrudisha wa kwetu

Una Kiu.... Kunywa maji taratibu!!!
 
aiseeni zaidi ya hatari, unatembea kulia kwako hela kushoto kifo. vip kuhusu kubalishana wafungwa wa kijasusi ipo hapa kwetu? unakuta tumemkamata wa nchi fulani ila kwa kuwa kutoka nchi hiyo tuna wa kwetu tunaamua kubadilishana, tunamrudisha wa kwao wanamrudisha wa kwetu

Fuatilia kisa cha Snowden utaona kama kuna hiyo habari au la...........!!!!!!!
Tafuta majasusi waliopigwa Polonium na sababu za wao kufanywa hivyo.....!!!!
 
Fuatilia kisa cha Snowden utaona kama kuna hiyo habari au la...........!!!!!!!
Tafuta majasusi waliopigwa Polonium na sababu za wao kufanywa hivyo.....!!!!

ofcourse ya Snowden dunia inayajua. Namkumbuka Litvinienko aliyewekewa polonium uingereza, najua tu alitofautina na Kremlin ila kisa hasa hapana.
 
Raha ya haya mambo ni uyafahamu tu yalivyo ila usiwe mmoja wao. Nasema hivi kwa sababu tunaoyapenda ni wengi ukifuatilia matokeo yake kwa mujibu wa simulizi mbalimbali inatisha.

Kuna wakati tulifikia mpaka hatua ya kutaka kutengeneza micro chip tujiingizie kichwani.

Tukataka kuunda simu ambayo haitaingiliwa kimawasiliano na yeyote ila sisi tuweze kufuatilia mienendo ya yeyote.
 
Huwa nazipenda sana filamu za kijasusi km vile James Bond au ile ya Angelie Jolie inaitwa Salt,,,alikuwa Double Agent.
 
Kuna TV show inaitwa the Americans imekuwa directed na former Agent wa C.I.A. Ipo very interesting. Inaonyesha majasusi wa K.G.B wajulikanao kama illegal wakati wa kipindi ch cold war. Pia warusi inaonekana bado wanatumia illegals baada ya Cold war kuisha. Mfano ni ile Spy ring iliyokuwa exposed mwaka 2010.

Watu wengi wanadhani kuwa spy ni kuwa kama James Bond. Kuna watu wao kazi yao ni desk job tu wala hawafiki field. KAzi yao ni kuanalyze taarifa zilizokusanywa na watu walioko field pamoja na njia zingine kama SIGINT then kuja na conclusion kama hizo taarifa zipo reliable kwa kiasi gani. Likifanyika tu kosa kwenye ukusanyaji wa taarifa na analysis inamaana ita affect mpaka decision making.

Kwa hiyo agents wanatakiwa kuwa makini sana katika kuhakikisha wanakusanya na kua analyze taarifa kwa accuracy ya juu sana.
 
Nilipata kufadhiliwa na mfuko fulani wa maendeleo ya watu wa Nchi fulani ya magharibi kusoma kozi fupi, wakati wa weekend wanatuchukua na kututembeza sehemu mbalimbali na kutupa starehe za kila aina kama vile Disko, Ulabu, dada poa na kadha wa kadha yote hayo mbantu mie sikupenda.

Muda mchache kabla ya kuondoka walitoa vyeti vya ziada (kwa maana ya Tabia). Mimi walikomment ati Looks like AGENT nilishangaa sana na nikaamua kukiacha Hotelini nikiwa nimekichana.

Nilipo safiri kurudi TZ nikiwa Nchi fulani karibu niache na Ndege ya kuja TZ kwani nilizuiwa nikiwa na mdada wa kidhungu ambaye machoni pangu nilimuona kama Agent wakapekuwa begi la yule dada akaruhusiwa ikaingia zamu yangu, walipekua zaidi ya mara 4 bila ya kunieleza wanatafuta nini?

Hatimaye nami wakaniachia. Nikahisi walikuwa wanatafuta kile cheti aaaaaahhh ilikula kwao.
 
Duh wakuu mnaoweka link ndefu za kukopi na kupest toka wikipedia mnatuumiza sisi tutumiao simu.

Nadhani njia nzuri ya kushare info kama hiyo ni kwa wewe kusoma na kuielewa habari then uje na summary na sio kupest kama ilivyo toka wikipedia.
 
Nilipata kufadhiliwa na mfuko fulani wa maendeleo ya watu wa Nchi fulani ya magharibi kusoma kozi fupi.....wakati wa weekend wanatuchukua na kututembeza sehemu mbalimbali na kutupa starehe za kila aina kama vile Disko, Ulabu, dada poa na kadha wa kadha yote hayo mbantu mie sikupenda...........Muda mchache kabla ya kuondoka walitoa vyeti vya ziada (kwa maana ya Tabia)....Mimi walikomment ati Looks like AGENT nilishangaa sana na nikaamua kukiacha Hotelini nikiwa nimekichana.........Nilipo safiri kurudi TZ nikiwa Nchi fulani karibu niache na Ndege ya kuja TZ kwani nilizuiwa nikiwa na mdada wa kidhungu ambaye machoni pangu nilimuona kama Agent wakapekuwa begi la yule dada akaruhusiwa ikaingia zamu yangu......walipekua zaidi ya mara 4 bila ya kunieleza wanatafuta nini?.......Hatimaye nami wakaniachia.........Nikahisi walikuwa wanatafuta kile cheti aaaaaahhh ilikula kwao........

Ndio umakini huo,kila lililo si la kutegemewa kwa kiwango cha juu au cha chini ni bora kuchimbwa na kuwa la kawaida kuliko kuliacha na kumbe una miss!!!!!

Ulikuwa mchezo wa kuku na yai,nini kilianza????!!!
 
Me too it's such a gud topic,I wish to learn more and more.Those who have information please share with us.

kuna vitabu vimekua aploaded, kwenye topic inaiyozungumzia Kidon! search kwenye jamii intelligence. Ukianzia cha Dan Raviv, ni latest! Extraterrestrial
 
Last edited by a moderator:
You are very pro active, that's why you LOOK LIKE AGENT!!
Nilipata kufadhiliwa na mfuko fulani wa maendeleo ya watu wa Nchi fulani ya magharibi kusoma kozi fupi.....wakati wa weekend wanatuchukua na kututembeza sehemu mbalimbali na kutupa starehe za kila aina kama vile Disko, Ulabu, dada poa na kadha wa kadha yote hayo mbantu mie sikupenda...........Muda mchache kabla ya kuondoka walitoa vyeti vya ziada (kwa maana ya Tabia)....Mimi walikomment ati Looks like AGENT nilishangaa sana na nikaamua kukiacha Hotelini nikiwa nimekichana.........Nilipo safiri kurudi TZ nikiwa Nchi fulani karibu niache na Ndege ya kuja TZ kwani nilizuiwa nikiwa na mdada wa kidhungu ambaye machoni pangu nilimuona kama Agent wakapekuwa begi la yule dada akaruhusiwa ikaingia zamu yangu......walipekua zaidi ya mara 4 bila ya kunieleza wanatafuta nini?.......Hatimaye nami wakaniachia.........Nikahisi walikuwa wanatafuta kile cheti aaaaaahhh ilikula kwao........
 
Back
Top Bottom