Nilipata kufadhiliwa na mfuko fulani wa maendeleo ya watu wa Nchi fulani ya magharibi kusoma kozi fupi.....wakati wa weekend wanatuchukua na kututembeza sehemu mbalimbali na kutupa starehe za kila aina kama vile Disko, Ulabu, dada poa na kadha wa kadha yote hayo mbantu mie sikupenda...........Muda mchache kabla ya kuondoka walitoa vyeti vya ziada (kwa maana ya Tabia)....Mimi walikomment ati Looks like AGENT nilishangaa sana na nikaamua kukiacha Hotelini nikiwa nimekichana.........Nilipo safiri kurudi TZ nikiwa Nchi fulani karibu niache na Ndege ya kuja TZ kwani nilizuiwa nikiwa na mdada wa kidhungu ambaye machoni pangu nilimuona kama Agent wakapekuwa begi la yule dada akaruhusiwa ikaingia zamu yangu......walipekua zaidi ya mara 4 bila ya kunieleza wanatafuta nini?.......Hatimaye nami wakaniachia.........Nikahisi walikuwa wanatafuta kile cheti aaaaaahhh ilikula kwao........