Sababu zinazopelekea Jasusi (Spy) kuisaliti nchi yake

Sababu zinazopelekea Jasusi (Spy) kuisaliti nchi yake

Evelyn salt being a spy hakutakiwa Ku react like that ilisha kuwa weakness kwake that's why walimuua yule jamaa mbele kumaanisha none is above mother Russia kuhusu kuactvate hapana koz stl walikuwa na yule jamaa aliyemteka president later so alijua koz wangeweza kumtumia resident refer allegiance

Mkuu unawajua sleeper agents? Kwanini waitwe 'sleeper'. Kama ni Sleeper huwa wana wait activation unayoikataa wewe. Katika mission za kijasusi mnaweza kutumwa zaidi ya mmoja ili ikitokea mwingine akifeli mwingine akafanikisha. Hebu nijibu kuhusu Sleeper agent.
 
Mkuu unawajua sleeper agents? Kwanini waitwe 'sleeper'. Kama ni Sleeper huwa wana wait activation unayoikataa wewe. Katika mission za kijasusi mnaweza kutumwa zaidi ya mmoja ili ikitokea mwingine akifeli mwingine akafanikisha. Hebu nijibu kuhusu Sleeper agent.
Nilicho maanisha ni kuwa kazi ya ku activate mission, followups intels nk kwa warussia hufanywa na residents ambae hupokea kutoka kremlin kama sikosei
 
Evelyn Salt alikuwa ni mfungwa Korea Kaskazini na nchi hiyo ikataka ibadilishane wafungwa kwa Marekani kumuachia mfungwa wa kisiasa kutoka Korea Kaskazini.

Lakini Marekani hawakutaka iwe rahisi hivyo wakamtumia mumewe Evelyn Salt atengeneze ushahidi wa kusaidia kesi yao ya kumtoa Evelyn Salt.

Evelyn Salt kiwa amerudi Marekani kuna jamaa kutoka Russia alijisalimisha kwenye ofisi za CIA na kuomba hifadhi ya ukimbizi na katika kutoa maelezo akadai kwamba Evelyn Salt anataka kumuua raisi wa Russia ambae angehudhuria maziko ya makamu wa raisi mjini Washington.

Evelyn Salt anakataa madai hayo na kujitetea kwamba hahusiki na jambo hilo lakini CIA hawamuamini na Evelyn Salt anaamua kukimbia nyumba na familia yake.

Baada ya kukimbia anagundua kwamba mumewe ametekwa na ndipo mpambano unakuwa mkali maana mwanamke jasiri kama huyo ameporwa mume wake kipenzi.

Hii movie mwanzoni ilikuwa ichezwe na Tom Cruise lakini yeye akataka kucheza kwenye movie ingine ya Knight And Day na mtunzi wa Salt akaamua kumbadili mhusika mkuu wake kutoka mwanamme na kuwa mwanamke na ndipo Angelina Jolie akawa muigizaji.

Ni movie inayoshabihiana na zile za Bourne Trilogy kwamba labda ingekuja Salt 2 ingekuwa bomba sana.
Haswaa kitu ambacho Evelyn hakutaka koz pale ndipo bwana buibui alipokuwa exposed lakini us had no way out to make her look civil kuhusu mission evelyn alishaanza kuipenda sana Us than russia thus jamaa aliyempa mission akaenda mwenyewe kumexpose just for her to do her mission ndo maana baada ya pale evelyn akaenda ktk ile submarine where was supposed to be long time na huwa naamini 2017 wanaweza kutupa teaser ya salt 2
 
Kama Pesa ni kigezo kikubwa, sijui majasusi wa nchi yetu wapo katika hali gani!! nadhani wao wanaongoza kwa kuwa double agents.
Sasa uzalendo hakuna.....zamani vijana walipigana vita Uganda,bila hata kutegemea kupata chochote
 
Haswaa kitu ambacho Evelyn hakutaka koz pale ndipo bwana buibui alipokuwa exposed lakini us had no way out to make her look civil kuhusu mission evelyn alishaanza kuipenda sana Us than russia thus jamaa aliyempa mission akaenda mwenyewe kumexpose just for her to do her mission ndo maana baada ya pale evelyn akaenda ktk ile submarine where was supposed to be long time na huwa naamini 2017 wanaweza kutupa teaser ya salt 2
Hivi uliiona ile ya jamaa Wa hotel Rwanda inaitwa Traitor
 
Nzuri sana ila ungeweka na mifano ingependeza zaidi
 
Kuna movie ingine bab kubwa imetoka hivi karibuni inaitwa INSIDE THE MIND.

Humo wamo Gary Oldman, Tommy Lee Jones, Kevin Costner and binti Gal Gadot.

Hii movie inahusu harakati za CIA za kutaka kukwamisha shambulio la ugaidi, na tegemeo lao linawekwa kwa mfungwa mmoja ambae amepandikizwa kumbukumbu kwenye ubongo wake.

Hizo kumbukumbu ni za jasusi wa CIA ambae alikufa zamani akiwa kwenye harakati na aliecheza huyo jasusi anaitwa Ryan Raynolds.

Movie inaanza na Quaker Wells (Gary Oldman) ambae anacheza kama bosi wa CIA na anataka Jericho (yule mfungwa) afanyiwe majaribio ya kupandikizwa ubongo wa jasusi aliekufa.

Tatizo ni kwamba kila mbinu ambao Quaker anatumia basi Jericho yupo mbele hatua mbili.

Ni bosi kamili kabisa akiwa mjuzi wa kukabiliana na uhalifu lakini anakuja na hilo wazo la kupandikiza ubongo na anamtaka daktari wa upasuaji Dr Franks ( Tommy Lee Jones) afanye kazi hiyo.

Nae Dr Franks akiwa mwanasayansi anapenda ufundi wa kuchanganya mambo na majaribio na wazo la kuweka ubongo kutoka mwili wa marehemu kwenda kwa mwanadamu na hili lina matokeo yake ambayo hayatabiriki.

Akiwa ndani ya jela kwa muda mrefu akitumikia kifungo, Jericho Stewart (Kevin Costner) hakuona taabu ya kupewa nafasi ya kuonja jua la nje ya jela lakini kwa masharti ya kupandikizwa DNA na kuja kuwa jasusi wa CIA aliekufa ambae aliitwa Bill Pope ( Ryan Raynolds).

Lakini mambo yanabadilika kabisa kwa Jericho na anaona kila kitu tofauti na kuchanginyikiwa na hapo ndipo movie inapofikia kileleni pale anapokutana na Jill Pope (Gal Gadot) ambae alikuwa ndie mke wake Bill Pope.

Kwa kweli mwisho wa movie hii ni kinyume kabisa na matarajio ya Stewart na Dr Franks.

Movie hii bado haijafika kwa wingi kwenye soko la kimataifa lakini ipo njiani.
 
Hapa umenikumbusha strike back tv show season 5....hiyo case ya pili uliyoisema ni sawa kabisa na kiukweli ilikua ngumu sana sana waingereza kumgundua muhusika kwasababu alifanikiwa mpk kuwa mke wa balozi wa uingereza nchini Thailand kumbe behind the scene ni agent wa north korea alipofanikiwa alichokua anatafuta alirud kwao ingawa alikuwa ashashtukiwa..... huyo mama alipandikizwa toka akiwa mtoto kwa manufaa ya taifa lake.....aiseee strike back acha kabisa hii tv show.....a one of my best tv show!!
Alikua anaitwa Maya au linah ..strike back 5,Damian scot ,Michael stonebringe si mchezo
 
Back
Top Bottom