Sababu zipi zinafanya wanaume kufurahia ngono kuliko wanawake?

Mkuuu kipimo ulichotumia Cha sisi kuchanganyikiwa tukiona k inapita sio sahihi hata kidogo,Kuna wanawake wengi tuu wanachanganyikiwa wakiwaona wanaume type yao na wanawaangalia Sana, kwahiyo ndio tuseme hao wanawake nao wanafurahia ngono?
Anashindwa kutofautisha kutamani na furaha ya tendo la ngono
 
Mkuuu kipimo ulichotumia Cha sisi kuchanganyikiwa tukiona k inapita sio sahihi hata kidogo,Kuna wanawake wengi tuu wanachanganyikiwa wakiwaona wanaume type yao na wanawaangalia Sana, kwahiyo ndio tuseme hao wanawake nao wanafurahia ngono?
Wanaume hawana sijui akipita type yao au lah, wenyewe ni kusarandia tu hata yeyote.
 
Dah na Mimi naweza kuwa mtafiti kumbe...
Ngoja maana hizi tafiti nyingine sijui zinatoka wapi.. Me nafikiri watu wa ke ndio wanaridhika sana unless wanafanya ili wapate kitu...
Hivi kufurahia na kuridhika ni sawa sawa eeh?
 
wewe stella juzi juzi ulikuja kutafuta mme wa kukuoa leo unaleta uzoefu wako wa mambo ya ngono wewe stella wewe Mungu anakuona
Ushaona dereva wa gari kubwa anaajiliwa bila kuwa na uzoefu?
 
Ukitaka kujua nani anafurahia zaidi sex kati ya me na ke, chukua kidole chako, chokonoa sikio taratibu halafu usikilizie utamu unakuja wapi, kwenye sikio ama kwenye kidole? Pili unapowashwa ukajikuna, ama kukunwa ni wapi unapata utamu?
Kwanini uchokonoe sikio...unataka kutoa wax?
 
hakika wewe unajua na lazma mpenzi wako anaridhika, hiyo tafiti ya 75/25 ni ya kweli hata mimi niliisoma zamani kidogo they say..A SUCCESFUL SEX GOES 75% TO A WOMAN AND 25% IS FOR A MAN WHO JUST DID A GREAT JOB...
ila kwa uthibitisho kama mwanaume ukifanya kazi yako vizuri utaona matokea tuuu...mtu hawezi hata kujifuta ukichomoa anavyojilaza na miguno ikiendelea utadhani scania ndo limepaki toka safari ndefu linavyoachia ma-hydrolic..
mwanaume kama hujawahi mtoa mtu machozi bila yeye kujua, au hujawahi kuhisi anakufa kumbe ni utamu, au ukimaliza uende kuoga ukapike kahawa/chai urudi bado yuko analia lia pale akivutavuta shuka lote...NENDA KAJIFUNZE UPYA hii kazi..
sisi wanaume utamu ni mwisho asilimia kubwa na huku mwanzo utamu unategemea na K na mautundu ya mwanamke
 
Sasa ukishatamani unapata nini in return?
Ni dhahiri haujaelewa tofaut ya kutaman na kufurahia,naweza kumtamani Mwanamke kipitia matako yake,miguu,chuchu,hipsi,sura au umbile kwa ujumla lakin nikifka naye ndan nilivyovitaman havihusiki,mara tu avuapo nguo na kumtazama na ku do naye namuona kawaida,kwa hiyo Wanaume weng wetu tuna matamanio zaid ila kufurahia mapenz ni kidogo
 
Ndiyo hivyo mkuu,huyu analeta utafit jina,na ilhal Watu tuna data
 
Nimesikia mara kadhaa wanawake kuzima kitandani wakati wa tendo la ndoa sababu kubwa ni raha tamu wanazozipata, nimeshasikia kelele nyingi za utamu huwa wanatoa wanawake wakati wa tendo.😡😡 Bado naiwaza hyo research yako kama ilifanyika Duniani ama huko PlutoπŸ˜‰πŸ˜‰
 
Jamani unataka na maoni yangu pia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…