Huo utafit sidhan kama kuna ukwel ndan yake,nijuavyo Wanawake ndiyo wanafurahia zaid ngono kuliko Wanaume,na ndiyo maana huwa na miguno ya maraha kias cha kufikia kupagawa na kuanza kuongea lugha zisizoeleweka katika ulimwengu wa kawaida,na asilimia kubwa wao mwanzo mwisho ni raha,anapokaribia ndiyo hatar wengine huweza hata kukuuma,au kuwa kama anakata roho kumbe ni utamu,Mwanaume tuzipatazo ni kias kidogo,kuna ka utafit japo si rasm kuwa Wanawake wanapata raha asilimia 75 na Wanaume asilimia 25;binafsi kias fulan naamin hil,sababu kuna vitu vingine vikifanyiwa utafit nawe kwa upande wako unaweza ukathibitisha sababu lipo ndan ya uwezo,hata vibint asilimia kubwa vikionja huwa vinapagawa na havisiki vya Wazaz,mpaka vinatoroka Nyumban,Mashulen usiku kuufuata utamu na mwishowe ndiyo vinaambulia mimba,kwa hiyo Wanawake wanafurahia ngono zaid ya Wanaume