Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Hivi viwili unaweza kuvipata nyumbani, labda kuwepo na sababu nyinginecompany, soka
sasa unamaanisha uangalie liverpool na wife?Hivi viwili unaweza kuvipata nyumbani, labda kuwepo na sababu nyingine
Unaweza ukawaalika marafiki wachache, hata baba mchungajisasa unamaanisha uangalie liverpool na wife?
Majibu yameanza kupatikana, kumbe kinachotupeleka maeneo ya starehe sio pombe tu?Kuna muda huwa napanga kunywea nyumbani, lakini ugimbi ukishaanza kupanda kichwani nitaondoka tu niende bar ya mbele kidogo nikanywe bia huku nikihudumiwa na wahudumu wenye matacle makubwa.
Ila bia za mchana na asubuhi huwa nashitulia tu kwa mangi sina.
Ugimbi wa nyumbani hapana bora kwenda kutalii barKuna muda huwa napanga kunywea nyumbani, lakini ugimbi ukishaanza kupanda kichwani nitaondoka tu niende bar ya mbele kidogo nikanywe bia huku nikihudumiwa na wahudumu wenye matacle makubwa.
Ila bia za mchana na asubuhi huwa nashitulia tu kwa mangi sina.
Kwa nini nyumbani hapana?Ugimbi wa nyumbani hapana bora kwenda kutalii bar
Kwa hiyo nyumbani hapafai kupata kinywaji?Home ni home na bar ni bar
Muziki hata nyumbani unaweza kuwepo, kwa hiyo sababu uliyoitoa inaweza kuwa sio jibu sahihiKilaji humu DJ anafanya yake nyimbo zinaenda nyororo swaafi kabisa..unaongeza zingine na zingine...
Kwanza vibe yaan linaweza likapigwa goma moja kabambe likakukumbusha mbali sanaa mpaka ukaanza kukata viuno bar nzima wakabak midomo waz cha pili kampan unaweza kuonana na marafiki zako ambao uliwai kuwaona zaman sanaa tatu kama unapendwa makachumbari yapo ya kila aina yanapita pita na nguo za kila namnaNi sababu zipi, zinazokuvutia wewe kwenda kunywa pombe bar, pub au club? Kwa nini usiagize vinywaji ukanywea nyumbani?
Wengi tunaamini, kama utaamua kuagiza vinywaji na kunywea nyumbani kuna faida nyingi sana; mojawapo ni kubana matumizi, kwa sababu hutoshawishika kutumia zaidi ya bajeti uliyoipanga.
Lakini bado watu wanashawishika kwenda kunywa pombe maeneo ya starehe kama vile; bar, pub, club n.k
Sasa tunataka tujue, ni sababu zipi zinazokupelekea wewe kwenda kunywa pombe maeneo ya starehe?
Kwa mtazamo wako ni kipi kisikosekane katika maeneo ya starehe?Kwanza vibe yaan linaweza likapigwa goma moja kabambe likakukumbusha mbali sanaa mpaka ukaanza kukata viuno bar nzima wakabak midomo waz cha pili kampan unaweza kuonana na marafiki zako ambao uliwai kuwaona zaman sanaa tatu kama unapendwa makachumbari yapo ya kila aina yanapita pita na nguo za kila namna
Mziki yaan burudan pili manzingira yaan mandhari tatu vibe hili linatokana na uchnagamfu wa sehem husika kwa ujumla mda mwingi huchangiwa na mambo mawili ya juu yaan mazingira yaa marembo marembo na mziki yaan curent song maana unaweza kwenda bar leo wanapiga nyimbo za diamond za mwaka 2009 mwisho wahudumu wawe mashamalaah maana ukilewa kuwaona tu rahaKwa mtazamo wako ni kipi kisikosekane katika maeneo ya starehe?