Mangi sina Kikuyu?[emoji3]Kuna muda huwa napanga kunywea nyumbani, lakini ugimbi ukishaanza kupanda kichwani nitaondoka tu niende bar ya mbele kidogo nikanywe bia huku nikihudumiwa na wahudumu wenye matacle makubwa.
Ila bia za mchana na asubuhi huwa nashitulia tu kwa mangi sina.
Ni kuona maua mauaFahari ya macho...
Uumbaji wa Mungu...Ni kuona maua maua
Kama watoto hakuna, panaweza kunoga?Company,
Kilaji Cha peke yako hakinogi[emoji4]
Zipi hizo mkuu,za kazi, biashara au?Connection!!
kibiashara ,kazi,na deals mbalimbali mkuu!! connection nyng unaweza kuzpata hukoZipi hizo mkuu,za kazi, biashara au?
Sio jibu sahihi kwa mujibu wa nani? Kwanza starehe sio fixed kwamba lazima ukose kitu sehemu ila ukakipata sehemu ingine ndo ikawa starehe..kimsingi starehe ni kuifurahisha nafsi yako...mfano mimi napenda mziki na nikienda bar mziki unapigwa mzuri unakuta hata nyimbo zingine sizijui nazishazam maisha nayaona yapo fresh...tena sina kampani ya kuwabeba sijui nini na nini napiga kilaji huku nasikiliza playlist nzuri..stim zinapanda baadae narudi zangu home nalala wiki ingine nafanya hivyo hivyo...Muziki hata nyumbani unaweza kuwepo, kwa hiyo sababu uliyoitoa inaweza kuwa sio jibu sahihi
Uko sahihikibiashara ,kazi,na deals mbalimbali mkuu!! connection nyng unaweza kuzpata huko
Kwan huwa unatumia mkuu choo?Kuna muda huwa napanga kunywea nyumbani, lakini ugimbi ukishaanza kupanda kichwani nitaondoka tu niende bar ya mbele kidogo nikanywe bia huku nikihudumiwa na wahudumu wenye matacle makubwa.
Ila bia za mchana na asubuhi huwa nashitulia tu kwa mangi sina.
Hapana situmii! Ila nafsi yangu hasa inapenda kuona mwanamke mwenye nyama nyama. Sio kwa ajili ya kuyatumia aaah mi napenda tu matacle makubwa hasa yakiwa yamejaa kwenye kipedo.Kwan huwa unatumia mkuu choo?
Bora hata wewe, kuna mtu eti kasema connection, lakini najua kachoka