SABATO SABATO SABATO wanafunzi 8 wa teku wafukuzwa baada ya kukaidi kufanya mtihani jumamosi!

Status
Not open for further replies.
Haya mafungu hayaoneshi ushahidi wa Yesu kufanya kazi Kama kazi! Labda unisaidie maana sioni tendo la kazi hapo na majibu ya Yesu yako wazi na yanaeleweka!

Kweli we msabato mbishi sana! Unanikumbusha kaka yangu mmoja mtoto wa mama mkubwa aliyetoka kwenye dhehebu lake la tangu utotoni na kuingia usabato halafu kwa ubishi wa kisabato akalazimisha kumuoa mjane (mke wa marehemu mdogo wake) alikufa kwa UKIMWI huku akitusomea vifungu kibao vya biblia!! And you know what, hakumaliza hata mwaka akavuta box!
 
So jibu lako ni ndiyo?

Biblia inasema Sabato ni Agano la Mungu kati yake na Wana wa Israel TU. Ndio maana Injili ilipotufikia Mataifa hakukuwa na habari ya Sabato, kama ipo lete hapa.
 

Nimesoma maelezo yako umezungumzia Mambo mengi! Nikuulize swali kidogo! Wewe Si muisrael kiroho? Kweli sabato kwa Mara ya kwanza imetajwa Edeni bustanini. Na pia ikaja kwenye Kutoka20:11. Vipi kuhusu kitabu cha ufunuo 14:12.? Maana hapo tena sheria imetajwa na Kwayo ndo sabato IMO? Here is the patience of the Saints; here are those who keep commandments of God and faith of Jesus. Revelation 14:12. Kwahiyo Sio lazima sabato itajwe kwenye vifungu!
 
hii imekaaje wakuu, katiba iliyopo inazungumziaje issue hii!
Katiba haiwezi kuu-adress ujinga wa namna hii. Serikali ni secular haipaswi kujihusisha na masuala ya imani za watu binafsi ila ina uwezo wa kuingilia kati itakapobaini udanganyifu au mwenendo katika makundi wenye mwelekeo wa kuiletea madhara jamii.
Inashangaza jinsi baadhi ya watu wanavyoweza kuwashawishi hata wasomi wenye elimu kufuata mtindo fulani wa maisha hata kama ni dhahiri mbele kutakuwa na madhara!
Binafsi nilishuhudia mtoto aliyeokolewa na polisi baada ya wazazi wake kukataa katakata asiongezewe damu! Mtoto yule aliyekuwa na umri wa miaka saba alipelekwa Hospitalini akiwa na Hb 5g/dl ambapo wazazi walikataa asiongezewe damu hata baada ya kubembelezwa wiki nzima huku Hb ikiendelea kushuka hadi gramu 3! Ndipo Daktari Mkuu wa Hospitali ile alipotumia busara ya kuwasiliana na mkuu wa kituo cha Polisi kilichokuwa karibu. Kwa bahati nzuri Mkuu wa kituo alilielewa tatizo na kuamuru wazazi wazuiwe, mtoto apate damu. Mtoto yule alitoka Hospitali siku mbili baada ya kuongezewa damu huku wazazi wakiwa wamenuna lakini mtoto alipata ujasiri wa kuwaambia wauguzi "asante kwa kuyaokoa maisha yangu" jambo lilolofanya hata baadhi ya wagonjwa na wauguzi kibubujikwa machozi ya furaha.
Baadae niliambiwa wazazi wale walikuwa wafuasi wa dhehebu la Mashahidi wa Jehova!
La muhimu Katiba mpya itamke wazi juu ya ulinzi wa waathirika wa ghiliba za watu wa namna hii. Tazama masikini wanafunzi wale waliipoteza fursa ya kufanya mitihani kwa ghiliba za kiimani zinazosimamiwa na 'wasomi'.
 

Ndio, mi ni Muisrael wa Kiroho.
 
Taratibu naona unaanza kulainika...Thanks to the Holy Ghost maana anaanza kutenda kazi yake..

Umeanza kua na busara! Niache Aleyn wangu tunajadili neno! Na Kama wwe unapenda karibu! Ila lugha chafu dhihaka so nzuri! Aleyn anajadili vizuri!
 
Ndio, mi ni Muisrael wa Kiroho.

Sasa Kama ni Muisrael wa kiroho pitia mafungu ya Yesu alozungumzia juu ya sabato, sheria n.k. Ebu soma Kama uko na biblia matayo15:9 Na Luka6:46.
 
Biblia inasema Sabato ni Agano la Mungu kati yake na Wana wa Israel TU. Ndio maana Injili ilipotufikia Mataifa hakukuwa na habari ya Sabato, kama ipo lete hapa.

Mbona tena unasema wewe ni Muisrael kiroho!? Kwahiyo wewe katika hili agano haupo?
 

Mossadi hili tumeshaliweka sawa na Aleyn na limeeleweka! Pitia basi post zangu hapo nyuma utaona usawa! Kuongea sana hakusaiidi kitu!
 
Sasa Kama ni Muisrael wa kiroho pitia mafungu ya Yesu alozungumzia juu ya sabato, sheria n.k. Ebu soma Kama uko na biblia matayo15:9 Na Luka6:46.

Mkuu Sheria kwa matendo ya mwili na si Roho. Kumbuka kilichozaliwa kwa mwili ni mwili na kilichozaliwa kwa roho ni Roho 'Yohana 3:6_7'. Ndio maana tukibatizwa tunapokea Nguvu ya R/Mtakatifu na yeye ndie kiongozi wetu, na tukiongozwa Roho Mtakatifu HATUONGOZWI tena na Sheria, Soma Yoeli 2:28'.
 
stupid wa kwanza ni wewe na akili zako finyu.

ha ha ha ha ha! once stupid always stupid! we ni stupid tu na lazima utakubali sheria zenu za kisabato zimepitwa na wakati! ndani ya usawa huu wa maisha na uchumi wa kubangaiza unawafundisha watu eti wasiwashe wala kupika na wasifanye kazi siku ya jmosi! what a nonsense! wale mawe!!?
 

Mkuu Haya mafungu unayoyasema unayasoma yote vizuri? Hiyo yohana 3 Yesu anamfundisha Yule farisayo Nikodemas juu ya ubatizo yani kuzaliwa upya! Na Si Kama unavosema wewe juu ya kuzaliwa kwa mwili na roho! Yaani ubatizo! Jaribu kusoma mafungu yote utaelewa! Jesus answered; most assuredly, I say to you, unless. One is born of water and spirit , he cannot enter the kindom of Gog!
 

Maisha ni bora kuliko Mungu?
 

Nimekuwekea hapo kuhusu Ubatizo nilidhani kuwa kwa mbaaali unaweza ukaelewa kumbe bado. Ok, twende mbele. Yesu kabla hajafika Miaka 30 alikulia na kuifata Torati kama ilivyo, na alifanya kwasababu
1. Roho Mtakatifu hakushuka Rasmi kwake.
2. Wayahudi wasipate neno lolote lile la kumshtaki.
Alipobatizwa TU, ndipo kazi yake ilianza rasmi, kumbuka alipobatizwa Roho Mtakatifu alimshukia na Mungu alimdhihirisha hapo. Umejiuliza tofauti kuu ya Ubatizo wa Yohana na Yesu ni upi??? Ubatizo wa Yesu umetupatia Roho Mtakatifu ambae tunaongozwa na huyo, SI TORATI.
 
hii imekaaje wakuu, katiba iliyopo inazungumziaje issue hii!

...........
Huu unaitwa wendawazimy tu hakuna kIngIne ni ushamba na kukariri dini aisee....wafukuzwe tu vyuo vya uinjilist vipo Vingi!!!!!! YA MINGU MPE MUNGU VIVYO HIVYO YA KAISARI MPE HUYOHUYO KAUSARI.....
 
Ndugu,kwa hiyo ktk zile amri 10,hiyo 1 ya sabato ni useless kwa sasa?kama jibu ni ndio naomba unipe fungu linaloonesha kufutwa ka amri hiyo.Tuelimishane.

Ata Mimi nasubiri atupe Hilo fungu la ushahidi anielimishe!
 

uzuri wake wasabato nimekuwa nao kuanzia kwenye familia, shuleni, chuoni kazini, kwenye biashara na katika maisha ya kawaida hivyo hunishangazi! wengi wa wasabato ni kama wewe!: WANAFIKI SANA! mnaamini mcha mungu ni anayesali jmosi tu!! dhambi zingine kama dhuruma, uongo, uzinzi kwenu siyo issue!! nilikuwa na classmates wangu pale MIST wao usiwambie kuingia darasani kabisa siku ya jmosi lakini walikuwa wanaishia kwa hawara zao mitaa ya nzovwe, forest, kanisani kwao mabatini na isanga the same huku makazini! So kwa hili usinidanganye kwa kunisomea vifungu vya biblia!!
 
Cjawai ona watu wenye misimamo ya kijinga kama wa sda.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…