Sabaya afanyiwa upasuaji, kesi yaahirishwa

Inawezekana alijaribu kusugua kichwa ukutani au anywhere ili kuharibu nervous akafeli.

Huwa inatumiwa huko majuu zaidi, ikifanikiwa unakufa.

Anyways kuna mazingira unafikia unatamani kifo.

Kuharibu ‘nervous’? Nerves gani? Nani amewahi kujisugua kichwa ukutani akaharibu nerves akafa? Naomba nijifunze.
 
afe
 
Huyo Mama yao SSH TAKUKURU inaelekea wana mpango wa kumchafua Kuna mtuhumiwa wa TAKUKURU atafia mikononi mwao na hapo mama SSH unaingizwa
 
Nini? Kwani huoni hata sasa bado kuna wengine tena wengi tu wanaendeleza ujinga aliofanya? Haya mambo kama hayaleti mafunzo yoyote. Kama ni ni mafunzo basi Sabaya mwenyewe asingefanya aliyokuwa anafanya kwani kabla yake kuna watu wengi waliokwishafikwa na majanga baada ya kutumia vibaya madaraka yao.
 
Nimewaza sana huo uvimbe umekujaje ghafal mwanzo tuliona masihara vile.
Kesi zina mambo mengi. Inawezekana hata hii ikawa ni usanii tu unachezwa ili aonewe huruma. Watu wanapoona kesi zimekaa vibaya huwa wanakuwa desparate kufanya chochote ili kujiokoa.
 
Inawezekana alijaribu kusugua kichwa ukutani au anywhere ili kuharibu nervous akafeli.

Huwa inatumiwa huko majuu zaidi, ikifanikiwa unakufa.

Anyways kuna mazingira unafikia unatamani kifo.
Mama zile ni Movies sio uharisia
 
"General" nonsense.

Huo upasuaji wa kichwa alienda kufanyiwa kwa amri ya mahakama iliyotolewa lini? au inawezekana gerezani wakatoa ruhusa bila kuwasiliana na mahakama?
Tunapigwa changa la macho
 
Dogo ajiangalie sana, isije watu walimsomea AHLUL BADRI' 😀
 
Kesi zina mambo mengi. Inawezekana hata hii ikawa ni usanii tu unachezwa ili aonewe huruma. Watu wanapoona kesi zimekaa vibaya huwa wanakuwa desparate kufanya chochote ili kujiokoa.
Kwa hiyo lile livimbe loote kalitengeneza?
 
Tunajifunza mengi kwa mkasa wa Sabaya.
 
Na bado atateseka sana huyu hayawani damu alizomwaga haziwezi kumuacha salama.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Mkuu wa Wilaya wa zamani wa Hai Mh Lengai Ole Sabaya amefamyiwa operesheni ya kichwa juzi Jumatano

Taarifa hiyo imetolewa na Mwanasheria wa Sabaya Wakili msomi Helen jijini Arusha

Source Star tv
 
Alikuwa na uvimbe wa kawaida kichwani. Ni kichwani, siyo kwenye ubongo. Huenda ndiyo wameitoa.


Watu ni smart sana. Huenda hiyo ni njia ya kujitetea. Tusubiri tuone.
 
Dogo janki ila sukari inataka mzidi mapema ivi. Wana tupige mazoezi tuzingatie suala la lishe kulingana na vinasaba vyetu. Sukari inatuwa bado tupo vijana. Tezi dume na shinikizo la damu yanatumaliza bado tungali vijana wadogo. Magonjwa mengi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…