Sabaya afanyiwa upasuaji, kesi yaahirishwa

"General" nonsense.

Huo upasuaji wa kichwa alienda kufanyiwa kwa amri ya mahakama iliyotolewa lini? au inawezekana gerezani wakatoa ruhusa bila kuwasiliana na mahakama?
Kwani huo ugonjwa ulipata ruhusa ya mahakama kabla ya kumwingia Sabaya?
Kama mtu kutibiwa inabidi apate ruhusa ya mahakama, basi na ugonjwa nao inabidi upate ruhusa ya mahakama kabla ya kumpata mtuhumiwa.
 
Haka kamasai kalitaka kutikisa wachaga... woiiii amna rangi katacha ona mbe! Tena kakazingua wamachame bora warombo mzee wamachame nishida.
 
Kwani huo ugonjwa ulipata ruhusa ya mahakama kabla ya kumwingia Sabaya?
Kama mtu kutibiwa inabidi apate ruhusa ya mahakama, basi na ugonjwa nao inabidi upate ruhusa ya mahakama kabla ya kumpata mtuhumiwa.
🤣🤣🤣
 
Zidisheni dawa ya usingizi Ili afe, alikuwa malaika wa shetani jiwe.
 
Nimewahi kumuona mtu anapigwa hadi kichomwa Moto kwa tuhuma za wizi, Ila bahati mbaya wale warusha mawe na waliomchoma Moto wote hawajui ameiba nini Wala amemwibia nani, Ila wanachojua ni uaaaa mwiziiiii basi.

Nimekumbuka ghafra jinsi mkuu wa mkoa wa Mwanza alivyotukanwa na kukashfiwa baada ya kutumbuliwa, lakini ghafra anapongezwa sana baada ya kuteuliwa upya na watu walewale!!!!! Great thinkers!!!!!
 
Zidisheni dawa ya usingizi Ili afe, alikuwa malaika wa shetani jiwe.
Huyu hatakiwi kufa mapema. Tuna kawaida ya kusahau. Abaki tu... Ikiwapendeza wampe msamaha apate haki mahakama za serikali.
Nina imani mahakama za mitaani hatotoboa! Atapewa haki anayostahiki!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…