Tetesi: Sabaya ashambuliwa kwa kuchangiwa na Askari Magereza

Tetesi: Sabaya ashambuliwa kwa kuchangiwa na Askari Magereza

Status
Not open for further replies.
Kwa taarifa za haraka, inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa, shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza, Kisongo mjini Arusha, anakoshikiliwa kwa sasa.

Hali yake ni mbaya, na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio, na anahitaji kupewa huduma ya dharula!

Source imetoka eneo la tukio.

Kwa lolote litakaloendelea, hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husika!

Tutege Masikio.
Mipango mikakati ya kumchomoa tarehe 15 [emoji23]

Sent from my LM-V500N using JamiiForums mobile app
 
Kwa taarifa za haraka, inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa, shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza, Kisongo mjini Arusha, anakoshikiliwa kwa sasa.

Hali yake ni mbaya, na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio, na anahitaji kupewa huduma ya dharula!

Source imetoka eneo la tukio.

Kwa lolote litakaloendelea, hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husika!

Tutege Masikio.
Wangemuua kabisaa kwani YEYE kauwa wangapi? Aliowauwa nao kina walipenda kuishi kama yeye
 
Ni vizuri tukapata taarifa juu ya hili. Sabaya alikuwa kiongozi, askari kupata ujasiri wa kumshambulia kiongozi si bahati mbaya! Hata kama humpendi hii si sawa ....

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Gerezani huko ni "underworld"

Huko ni utawala mwingine kabisa

Ukishakuwa gerezani ishi kwa kutulia, kuwa na nidham ukijifanya mjeuri
Askari mule wanaweza kukufanya lolote

Ova
 
tuliosoma cuba tumeshajua the motive behind ya hii thread.

soon atakuwa uraiani, ila nyinyi wafaidika wake, mwambieni huku mtaani hali imeshabadilika, hakuna ule ushamba wa kutishana na kuulizana wapi umetoa pesa.

watu wanajiachia na fedha zao bila hofu.
 
Tangu avimbe nundu kisogon ameliwa msumbufu Mara dufu..analazimisha mambo na mbishi Sana..Kuna mda anaweza kutukana matusi tuu...
 
Ni vizuri tukapata taarifa juu ya hili. Sabaya alikuwa kiongozi, askari kupata ujasiri wa kumshambulia kiongozi si bahati mbaya! Hata kama humpendi hii si sawa ....

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Hivi ulikuwa unafuatilia kipindi kile anapelekwa mahakamani? Kuna nyakati alikuwa anachrchemea ulijua ni kwanini?
 
Hakuna mwenye ujanja wa kumgusa huko nje kwenu. Huko nje yote ni majibwa koko tu.
Wameshindwa kumgusa Makonda ndiyo wamguse Sabaya??
Makonda akionekana mitaa Mwenge, Kariakoo, Manzese, Sinza, Posta wanaume wa Dar wanamkimbilia kupiga naye selfie na kujipiga selfi ili atokee kwenye picha zao.
unajiona mandonga.
watu wakitaka roho yako, wakiweka dhamira, wakiandaa resources za kutosha, hata uwe nani watakutafuna tu.

mfano mdogo ni boss wao ambaye kwa sass kaburi lake lipo kule chato.
 
  • Thanks
Reactions: MTK
Mjinga kabisa, anajifanya kuleta jeuri akidhani bado ana yale madaraka yaliyompa kiburi cha kufanyia watu ukatili.
Dunia duara,Sabaya anaweza akarudi kula asali akawafanyia nongwa hao askari wakafukuzwa,tutakuwa na Taifa la visasi
 
yule atobolewe hata macho ni sawa tu, amefanyia watu unyama sana huko arusha na moshi
Kama amefanyia watu unyama basi ni kwa kutumia nguvu ya dola, na ndio hiyo hiyo iliyotumika kumshambulia gerezani.

Kama hutaki nguvu ya dola itumike vibaya kutesa na kudhulumu haki za watu huwezi kuombea Sabaya "atolewe macho gerezani."

Utakuwa hujatatua tatizo lolote maana hujaelewa na hujafika kwenye the root causes of the crisis tuliyo nayo kisiasa na kidemokrasia.

Responsible civic society inapaswa kupinga na kulaani mahabusu kuwa mlengwa wa mashambulizi ya kimwili.
 
Kwa taarifa za haraka, inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa, shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza, Kisongo mjini Arusha, anakoshikiliwa kwa sasa.

Hali yake ni mbaya, na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio, na anahitaji kupewa huduma ya dharula!

Source imetoka eneo la tukio.

Kwa lolote litakaloendelea, hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husika!

Tutege Masikio.
Tetesi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom