Tetesi: Sabaya ashambuliwa kwa kuchangiwa na Askari Magereza

Tetesi: Sabaya ashambuliwa kwa kuchangiwa na Askari Magereza

Status
Not open for further replies.
Acha roho mbaya.
Hautaishi milele kwenye hii dunia, sote tu wapitaji so epuka kujenga chuki kwa binadamu mwenzio.
Roho mbaya gani? wakati sabaya anawafanyia watu yale maujinga yote je alikuwa hajui kuwa hapa duniani anapita tu??!!
 
unajiona mandonga.
watu wakitaka roho yako, wakiweka dhamira, wakiandaa resources za kutosha, hata uwe nani watakutafuna tu.

mfano mdogo ni boss wao ambaye kaburi lake lipo kule chato.
Nyie jueni tu kwamba hamna uwezo hata wa kuwanyooshea vidole hao wakiwa uraiani
 
Kwa taarifa za haraka, inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa, shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza, Kisongo mjini Arusha, anakoshikiliwa kwa sasa.

Hali yake ni mbaya, na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio, na anahitaji kupewa huduma ya dharula!

Source imetoka eneo la tukio.

Kwa lolote litakaloendelea, hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husika!

Tutege Masikio.
Vp mkuu wamemfir@ lakini? Au wamempa vitasa tu?
Anatakiwa afirw€ kabisa huyo ibilisi
 
Kwa taarifa za haraka, inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa, shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza, Kisongo mjini Arusha, anakoshikiliwa kwa sasa.

Hali yake ni mbaya, na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio, na anahitaji kupewa huduma ya dharula!

Source imetoka eneo la tukio.

Kwa lolote litakaloendelea, hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husika!

Tutege Masikio.
Anafanya kiburi anafikri bado ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wilaya? Watamvunjavunja shauri yake!
 
Nyie jueni tu kwamba hamna uwezo hata wa kuwanyooshea vidole hao wakiwa uraiani
huyo shujaa wako makonda licha ya kwamba hajachukuliwa hatua yoyote ya waziwazi, ila akiona tu sura ya jakaya,makamba senior na sura ya nape anaingiwa na uoga.

bora hata mzee makamba chuki yake anaongea hadharani, ila JK ni bad number, maana anaweza akapretend kukuchekea kumbe moyoni anakuchukia na anakumaliza taratibu.

after all hatujui ya sirini anayopitia huyo makonda wako japo kwa macho ya kawaida unamuona yupo huru akijivinjari huku na huko.
 
Hakuna cha maelezo yao! Usalama wa taifa ni lisk! Jamaa kweli ni usalama ila shida imeanzia kwa mkuu wa nchi kumkacha! Ata ukiangalia kesi zake hazina ata ushahidi wa maana kwakweli, zaidi utaona tu lazima kuna watu hawamtaki na hawa watu ni wakubwa.
Ukwapuaji wa pesa za watu ni kweli ulitokea kipindi kile
 
Unachokijua kwenye 10% hata 1.5% haijafika kuhusu hayo mambo... mwingi ni uzushi na hisia zenu/zetu raia wa kawaida ndomana inaitwa "SECRET-SERVICE"
Kwani hizo kazi hufanywa na malaika!?..ni watu,baadhi husema,hata chahali kayaandikia kitabu ya usalama wa tz,wengine wakituonya ndugu zao tusijeingia kwenye hizo kazi
 
Kwa taarifa za haraka, inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa, shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza, Kisongo mjini Arusha, anakoshikiliwa kwa sasa.

Hali yake ni mbaya, na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio, na anahitaji kupewa huduma ya dharula!

Source imetoka eneo la tukio.

Kwa lolote litakaloendelea, hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husika!

Tutege Masikio.
Kama taarifa hii ni ya kweli basi Magereza kuyweni bia. Za kutosha.
 
Kwa taarifa za haraka, inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa, shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza, Kisongo mjini Arusha, anakoshikiliwa kwa sasa.

Hali yake ni mbaya, na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio, na anahitaji kupewa huduma ya dharula!

Source imetoka eneo la tukio.

Kwa lolote litakaloendelea, hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husika!

Tutege Masikio.
Sasa yeye kwanini hataki kuoga?

Apigwe tu maana hakuna namna
 
Kwa taarifa za haraka, inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa, shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza, Kisongo mjini Arusha, anakoshikiliwa kwa sasa.

Hali yake ni mbaya, na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio, na anahitaji kupewa huduma ya dharula!

Source imetoka eneo la tukio.

Kwa lolote litakaloendelea, hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husika!

Tutege Masikio.
Mbona hao Askari ni legevu hivyo? Wameshindwaje kummaliza?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom