Roho mbaya gani? wakati sabaya anawafanyia watu yale maujinga yote je alikuwa hajui kuwa hapa duniani anapita tu??!!Acha roho mbaya.
Hautaishi milele kwenye hii dunia, sote tu wapitaji so epuka kujenga chuki kwa binadamu mwenzio.
Mkuu kwani ile nundu ina madhara gani kisaikolojia?Tangu avimbe nundu kisogon ameliwa msumbufu Mara dufu..analazimisha mambo na mbishi Sana..Kuna mda anaweza kutukana matusi tuu...
Unachekesha 🤣🤣🤣Mkuu kwani ile nundu ina madhara gani kisaikolojia?
Hujui ata huko ndan wapo? Akiwepo No. 1 mwenyeweK
Kwa hiyo hao watu ni wakubwa kuliko Usalama?
Nyie jueni tu kwamba hamna uwezo hata wa kuwanyooshea vidole hao wakiwa uraianiunajiona mandonga.
watu wakitaka roho yako, wakiweka dhamira, wakiandaa resources za kutosha, hata uwe nani watakutafuna tu.
mfano mdogo ni boss wao ambaye kaburi lake lipo kule chato.
Vp mkuu wamemfir@ lakini? Au wamempa vitasa tu?Kwa taarifa za haraka, inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa, shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza, Kisongo mjini Arusha, anakoshikiliwa kwa sasa.
Hali yake ni mbaya, na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio, na anahitaji kupewa huduma ya dharula!
Source imetoka eneo la tukio.
Kwa lolote litakaloendelea, hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husika!
Tutege Masikio.
Anafanya kiburi anafikri bado ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wilaya? Watamvunjavunja shauri yake!Kwa taarifa za haraka, inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa, shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza, Kisongo mjini Arusha, anakoshikiliwa kwa sasa.
Hali yake ni mbaya, na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio, na anahitaji kupewa huduma ya dharula!
Source imetoka eneo la tukio.
Kwa lolote litakaloendelea, hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husika!
Tutege Masikio.
huyo shujaa wako makonda licha ya kwamba hajachukuliwa hatua yoyote ya waziwazi, ila akiona tu sura ya jakaya,makamba senior na sura ya nape anaingiwa na uoga.Nyie jueni tu kwamba hamna uwezo hata wa kuwanyooshea vidole hao wakiwa uraiani
Ukwapuaji wa pesa za watu ni kweli ulitokea kipindi kileHakuna cha maelezo yao! Usalama wa taifa ni lisk! Jamaa kweli ni usalama ila shida imeanzia kwa mkuu wa nchi kumkacha! Ata ukiangalia kesi zake hazina ata ushahidi wa maana kwakweli, zaidi utaona tu lazima kuna watu hawamtaki na hawa watu ni wakubwa.
Kwani hizo kazi hufanywa na malaika!?..ni watu,baadhi husema,hata chahali kayaandikia kitabu ya usalama wa tz,wengine wakituonya ndugu zao tusijeingia kwenye hizo kaziUnachokijua kwenye 10% hata 1.5% haijafika kuhusu hayo mambo... mwingi ni uzushi na hisia zenu/zetu raia wa kawaida ndomana inaitwa "SECRET-SERVICE"
Kwani JIWE alijua ataishi milele? Huyo Sabaya kaua watu wangapi?Acha roho mbaya.
Hautaishi milele kwenye hii dunia, sote tu wapitaji so epuka kujenga chuki kwa binadamu mwenzio.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahAlikataa kuokota Sabuni iliyodondoshwa wakiwa wanaoga,
Na atawakomeshaaa mbonaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Akitoka tu anakuwa mkuu wa mkoa wa Arusha, hao asikari wamsubiri.
Kama taarifa hii ni ya kweli basi Magereza kuyweni bia. Za kutosha.Kwa taarifa za haraka, inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa, shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza, Kisongo mjini Arusha, anakoshikiliwa kwa sasa.
Hali yake ni mbaya, na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio, na anahitaji kupewa huduma ya dharula!
Source imetoka eneo la tukio.
Kwa lolote litakaloendelea, hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husika!
Tutege Masikio.
Sasa yeye kwanini hataki kuoga?Kwa taarifa za haraka, inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa, shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza, Kisongo mjini Arusha, anakoshikiliwa kwa sasa.
Hali yake ni mbaya, na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio, na anahitaji kupewa huduma ya dharula!
Source imetoka eneo la tukio.
Kwa lolote litakaloendelea, hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husika!
Tutege Masikio.
Mbona hao Askari ni legevu hivyo? Wameshindwaje kummaliza?Kwa taarifa za haraka, inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa, shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza, Kisongo mjini Arusha, anakoshikiliwa kwa sasa.
Hali yake ni mbaya, na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio, na anahitaji kupewa huduma ya dharula!
Source imetoka eneo la tukio.
Kwa lolote litakaloendelea, hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husika!
Tutege Masikio.