DIVISHENI FOO
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 1,440
- 3,142
Alifanya nini? Maana watu mna mihemko sana.Hapana wasimuue...wamto.mbe tu inatosha!
Jamaa lilikuwa lina roho ya kishetani haijawahi tokea
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alifanya nini? Maana watu mna mihemko sana.Hapana wasimuue...wamto.mbe tu inatosha!
Jamaa lilikuwa lina roho ya kishetani haijawahi tokea
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Sasa wewe SHOGA utayajulia wapi haya?!Alifanya nini? Maana watu mna mihemko sana.
Majukwaa tofauti tofauti afu na wao watatupa maoni yao ndugu yangu!!!Hii idea nimeipendakwenye jukwaa gani?!
Pole zake sana anatakiwa atii mamlaka za gereza asijione yuko juu na kuwadharau bwana jela
Yaani kama kuna uwezekano ahasiwe kabisa asije akazaa kizazi kichafu kama yeye.
Eti alikuwa anajifanya USALAMA WA TAIFA [emoji23]
Usalama wa taifa aishie kwenye aibu namna hiyo mwisho wa siku [emoji15]
[emoji23][emoji23][emoji23]... Kuna vitu vinachukuliwaga poa sana! Wangejua yeye ni boss wao wangemshurutisha namna hiyo?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1474]
Jamaa FALA SANA!
#MALIPONIHAPAHAPADUNIANI
Wamwondolee kabisa hiyo pumzi akaungane na JIWE wake huko chato.
Kwa taarifa za haraka, inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa, shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza, Kisongo mjini Arusha, anakoshikiliwa kwa sasa.
Hali yake ni mbaya, na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio, na anahitaji kupewa huduma ya dharula!
Source imetoka eneo la tukio.
Kwa lolote litakaloendelea, hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husika!
Tutege Masikio.
Pole zake sana anatakiwa atii mamlaka za gereza asijione yuko juu na kuwadharau bwana jela
Kwa taarifa za haraka, inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa, shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza, Kisongo mjini Arusha, anakoshikiliwa kwa sasa.
Hali yake ni mbaya, na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio, na anahitaji kupewa huduma ya dharula!
Source imetoka eneo la tukio.
Kwa lolote litakaloendelea, hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husika!
Tutege Masikio.
Mwanaume unakuaje na bifu na mtu usiyemjua tena kwenye Social media? Mimi hata sikumbuki mambo ya bifu ndio kwanza nakusikia wewe,usiichukulie JF too serious.We bwana unataka tuanze kugombana turudishe bifu letu kama kipindi kile cha FIFA au sio?! 🙂🙂🙂
Kwahiyo mwanaume ukim-criticize ndo hawezi kusahau au sio?! And it's not a serious beef actually...Mwanaume unakuaje na bifu na mtu usiyemjua tena kwenye Social media? Mimi hata sikumbuki mambo ya bifu ndio kwanza nakusikia wewe,usiichukulie JF too serious.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣, Atakulaje mbususu sasa ? 🤣🤣🤣🤣 ,Kweli huyu pimbi watu aliwakera sanaHuyu wangetoa kabisa korodani. Bado Makonda.
Umedandia mada... soma vizuri uelewe kisha utafute loophole uruke nayo... achana na hizo habari, hukuwahi kupita jeshiKwani usalama wa taifa wanaishiaga wapi mkuu??
Huyu mtu anatumika kupumbaza wajinga.
Dahh! Mungu huyu 😔😔😔Alivyokuwa anafira wake za watu tena mbele ya waume zao kwa ubabe na jeuri kubwa kisa kuwatesa waume zao alikuwa anaona ni sawa au sio ?
Na wanavyojua kubonda sasa hao mabwana jela , FFU wakasomeAlijisahau kumbe yupo kwa wazee wa kazi
Hili lijamaa limefanya ukatili wa hali ya kutisha kwa watu wengi Arusha na Moshi ,kuna mengine hata hayakurepotiwa , Sabaya aminywe , huyu pimbi ilifikia kipindi mpaka akaanza kuvamia hotels na kubaka watu na kukaa bure bila kulipa ,kama alicho mfanyia Msanii Nandy kule MoshiSafi sana askari wa magereza ,piga sana huyo jambazi.
Alimfanyaje mkuu?! 😳🤔🤔🤔Hili lijamaa limefanya ukatili wa hali ya kutisha kwa watu wengi Arusha na Moshi ,kuna mengine hata hayakurepotiwa , Sabaya aminywe , huyu pimbi ilifikia kipindi mpaka akaanza kuvamia hotels na kubaka watu na kukaa bure bila kulipa ,kama alicho mfanyia Msanii Nandy kule Moshi
Jambazi kabisa huyo
Yeye aliwaonea hutuma wale vijana aliowapiga vibaya na kuwatoboa na misumari ya inch5 mikononi ,miguuni na vichwani as if anamsulubu yesu ? , yule diwani wa chadema aliyemvua nguo mbele ya mke wake watu na watoto wake , wawakawapiga na kuwajeruhi vibaya halafu wakamnajis mke wake ,hivi huyu mtu alikuwa na akili timamu kweli ?Sisi hatuwezi kulipa ovu wa ovu,Huyu bwana asamehewe jamani,mwoneeni huruma