Alikataa kuokota Sabuni iliyodondoshwa wakiwa wanaoga,Kwann wamfanyie hvyo jaman
Hata kumkula rukhsa...yy si aliwakula wenzieWasimkule tu lakini adhabu nyingine ziendelee tu
Hua wanakufanyaje ukigoma kuokota Sabuni?Kikosi Maalum Cha Kuziua Ghasia Gerezani ni balaa wakiingia sehemu ni kazi kweli kweli kama ikiwa taarifa hii ni ya ukweli.
Mkuu ngoja niamke nilikuwa nimelala siku nzima ya leo nimecheka sana(•‿•)Alikataa kuokota Sabuni iliyodondoshwa wakiwa wanaoga,
Walipokuwa wanawapeleka watu gerezani tena bila kosa lolote walijua ni harusini?MALIPO NI HAPAHAPA DUNIANI 😄😄😅👍🏾
Huyu wangetoa kabisa korodani. Bado Makonda.Kwa taarifa za haraka,inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa,shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza,Kisongo mjini Arusha,anakoshikiliwa kwa sasa.
Hali yake ni mbaya,na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio,na anahitaji kupewa huduma ya dharula!
Source imetoka eneo la tukio......
Kwa lolote litakaloendelea,hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husika!
Tutege Masikio.........
Sio vizuri kulipiza kiasi hicho.Wamwondolee kabisa hiyo pumzi akaungane na JIWE wake huko chato.
Tena abaki tu huko huko gerezani maana akitoka ni hatari kwake zaidi.Kwani Watazania wangapi wanao teseka na walio teswa na hilo li jitu lako. Wengine mpaka kupigwa lisasi, Sabaye hapendwi na wananchi huo ndo ukweli.
Aliyefungwa kwa kosa la jinai hana sifa tena ya kuwa kiongozi wa Umma.Akitoka tu anakuwa mkuu wa mkoa wa Arusha, hao asikari wamsubiri.
Aisee,,,Askari watamshambuliaje mahabusu, sidhani kama ni kweli.Kwa taarifa za haraka,inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa,shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza,Kisongo mjini Arusha,anakoshikiliwa kwa sasa.
Hali yake ni mbaya,na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio,na anahitaji kupewa huduma ya dharula!
Source imetoka eneo la tukio......
Kwa lolote litakaloendelea,hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husika!
Tutege Masikio.........
Wangemmaliza kabisa. Hata yeye alizoea kuwapa vipigo raia wenzake. Malipo ni hapa hapa ArushaKwa taarifa za haraka,inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa,shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza,Kisongo mjini Arusha,anakoshikiliwa kwa sasa.
Hali yake ni mbaya,na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio,na anahitaji kupewa huduma ya dharula!
Source imetoka eneo la tukio......
Kwa lolote litakaloendelea,hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husika!
Tutege Masikio.........
Karma.KARMA
Habari ya uongo hiiiAisee,,,Askari watamshambuliaje mahabusu, sidhani kama ni kweli.
Nimeanza kumuonea huruma kama binadamu daah inaumaKwann wamfanyie hvyo jaman