Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,351
- 9,855
Kumamae..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alijisahau kumbe yupo kwa wazee wa kaziMjinga kabisa, anajifanya kuleta jeuri akidhani bado ana yale madaraka yaliyompa kiburi cha kufanyia watu ukatili.
So kilichomtokea lissu,saanane ni majibu ya kudharau mamlaka?Askari kumpiga lazima ni dharau.....
Kwa taarifa za haraka,inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa,shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza,Kisongo mjini Arusha,anakoshikiliwa kwa sasa.
Hali yake ni mbaya,na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio,na anahitaji kupewa huduma ya dharula!
Source imetoka eneo la tukio......
Kwa lolote litakaloendelea,hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husika!
Tutege Masikio.........
Sio kwa Serikali hii ya CCMAliyefungwa kwa kosa la jinai hana sifa tena ya kuwa kiongozi wa Umma.
nenda muue wewe upande cheo cha kuishi milele.Nimesikitishwa sana na walichofanya hao askari magereza. Wameenda kinyume kabisa na majukumu yao. Wanapataje nafasi ya kumpiga Sabaya na kumwacha hai? Hao Askari washushwe vyeo hawajatutendea haki sisi tunaomchukia jambazi Sabaya.
Hapana wasimuue...wamto.mbe tu inatosha!Anapaswa kuuawa kabisa. Sabaya hana haki ya kuishi
Mwache anyooshwe, jamaa anajikutaga Bill Blanks kinoma 🤣🤣🤣Nimeanza kumuonea huruma kama binadamu daah inauma
Kila ubaya utalipwaKwa taarifa za haraka,inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa,shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza,Kisongo mjini Arusha,anakoshikiliwa kwa sasa.
Hali yake ni mbaya,na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio,na anahitaji kupewa huduma ya dharula!
Source imetoka eneo la tukio......
Kwa lolote litakaloendelea,hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husika!
Tutege Masikio.........
Mungu marehemu, ikiwezekana ajitwalie kiumbe chakeKwa taarifa za haraka,inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa,shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza,Kisongo mjini Arusha,anakoshikiliwa kwa sasa.
Hali yake ni mbaya,na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio,na anahitaji kupewa huduma ya dharula!
Source imetoka eneo la tukio......
Kwa lolote litakaloendelea,hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husika!
Tutege Masikio.........
Huyu huyu General sabaya ??! Acha apigwe tu maana hakuna namnaKwa taarifa za haraka,inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa,shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza,Kisongo mjini Arusha,anakoshikiliwa kwa sasa.
Hali yake ni mbaya,na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio,na anahitaji kupewa huduma ya dharula!
Source imetoka eneo la tukio......
Kwa lolote litakaloendelea,hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husika!
Tutege Masikio.........
Ilitakiwa wambadilishe tittle kabisa 🤣🤣🤣Nimesikitishwa sana na walichofanya hao askari magereza. Wameenda kinyume kabisa na majukumu yao. Wanapataje nafasi ya kumpiga Sabaya na kumwacha hai? Hao Askari washushwe vyeo hawajatutendea haki sisi tunaomchukia jambazi Sabaya.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 We mtt acha hizooHapana wasimuue...wamto.mbe tu inatosha!
Jamaa lilikuwa lina roho ya kishetani haijawahi tokea
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Unajua mwanzo wa mzunguko ama duara la Karma? Kama unajua Kila la heri lakini kama hujui jiepushe na mizengwe ya karma.Mjinga kabisa, anajifanya kuleta jeuri akidhani bado ana yale madaraka yaliyompa kiburi cha kufanyia watu ukatili.