Tetesi: Sabaya ashambuliwa kwa kuchangiwa na Askari Magereza

Tetesi: Sabaya ashambuliwa kwa kuchangiwa na Askari Magereza

Status
Not open for further replies.
Kwa taarifa za haraka,inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa,shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza,Kisongo mjini Arusha,anakoshikiliwa kwa sasa.

Hali yake ni mbaya,na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio,na anahitaji kupewa huduma ya dharula!

Source imetoka eneo la tukio......

Kwa lolote litakaloendelea,hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husika!

Tutege Masikio.........

Mwosha huoshwa
 
Kwa taarifa za haraka,inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa,shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza,Kisongo mjini Arusha,anakoshikiliwa kwa sasa.

Hali yake ni mbaya,na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio,na anahitaji kupewa huduma ya dharula!

Source imetoka eneo la tukio......

Kwa lolote litakaloendelea,hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husika!

Tutege Masikio.........
Kila ubaya utalipwa
 
Kwa taarifa za haraka,inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa,shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza,Kisongo mjini Arusha,anakoshikiliwa kwa sasa.

Hali yake ni mbaya,na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio,na anahitaji kupewa huduma ya dharula!

Source imetoka eneo la tukio......

Kwa lolote litakaloendelea,hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husika!

Tutege Masikio.........
Mungu marehemu, ikiwezekana ajitwalie kiumbe chake
 
Kwa taarifa za haraka,inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa,shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza,Kisongo mjini Arusha,anakoshikiliwa kwa sasa.

Hali yake ni mbaya,na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio,na anahitaji kupewa huduma ya dharula!

Source imetoka eneo la tukio......

Kwa lolote litakaloendelea,hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husika!

Tutege Masikio.........
Huyu huyu General sabaya ??! Acha apigwe tu maana hakuna namna

Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
 
Nimesikitishwa sana na walichofanya hao askari magereza. Wameenda kinyume kabisa na majukumu yao. Wanapataje nafasi ya kumpiga Sabaya na kumwacha hai? Hao Askari washushwe vyeo hawajatutendea haki sisi tunaomchukia jambazi Sabaya.
Ilitakiwa wambadilishe tittle kabisa 🤣🤣🤣
 
Mjinga kabisa, anajifanya kuleta jeuri akidhani bado ana yale madaraka yaliyompa kiburi cha kufanyia watu ukatili.
Unajua mwanzo wa mzunguko ama duara la Karma? Kama unajua Kila la heri lakini kama hujui jiepushe na mizengwe ya karma.

Sijui umenielewa ??
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom