Tetesi: Sabaya ashambuliwa kwa kuchangiwa na Askari Magereza

Tetesi: Sabaya ashambuliwa kwa kuchangiwa na Askari Magereza

Status
Not open for further replies.
Kwa taarifa za haraka,inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa,shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza,Kisongo mjini Arusha,anakoshikiliwa kwa sasa.

Hali yake ni mbaya,na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio,na anahitaji kupewa huduma ya dharula!

Source imetoka eneo la tukio......

Kwa lolote litakaloendelea,hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husika!

Tutege Masikio.........
Huyo ni mfungwa akiwa amefanya fujo anapewa adhabu na kutulizwa na wajela jela kama kawa.
 
Nahisi hii ni mind game kwa watawala, kwanza mmeanza anaachiwa tarehe 15, then kapigwa, hizi taarifa mnazipata wapi?

Mbona zinafuatana sana kumuhusu mtu mmoja?
 
Cha muhimu wasimbake lakini kiboko wamchape kimuingie vizuri.
 
Kwa sasa Sabaya anaishi kwa pesa za ndugu zake maana serikali imemkausha kila kitu.
Hata akiachiwa atakaa muda mfupi na kuzikwa
Mambo ya kifo tumuachie mwenye pumzi yake, unless kuna tukio linaandaliwa unalolifahamu.
 
Kwa taarifa za haraka,inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa,shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza,Kisongo mjini Arusha,anakoshikiliwa kwa sasa.

Hali yake ni mbaya,na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio,na anahitaji kupewa huduma ya dharula!

Source imetoka eneo la tukio......

Kwa lolote litakaloendelea,hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husika!

Tutege Masikio.........
Atavuna alichopanda ila sio sawa kama waliomshambulia ni askari
 
Kwa sasa Sabaya anaishi kwa pesa za ndugu zake maana serikali imemkausha kila kitu.
Hata akiachiwa atakaa muda mfupi na kuzikwa
Hivi mbona huyu wameamua kumkaanga na kumkausha haswa kuliko yule mwenzake wa Koromije ?
Kosa gani alilifanya kwa Mama yake mpaka ashindwa kumsamehe na kumwachia awe guru?
 
Cha muhimu wasimbake lakini kiboko wamchape kimuingie vizuri.
Acha bwana, hivi kwa nini unataka kumpangia Bwana Nyapara kazi ya kufanya muda wa jioni ukifika...?

Wacha atimize majukumu yake ipasavyo kwa mtu anayekiuka sheria na utaratibu....!!!!
 
we u
Kwa taarifa za haraka,inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa,shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza,Kisongo mjini Arusha,anakoshikiliwa kwa sasa.

Hali yake ni mbaya,na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio,na anahitaji kupewa huduma ya dharula!

Source imetoka eneo la tukio......

Kwa lolote litakaloendelea,hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husi

Kwa taarifa za haraka,inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa,shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza,Kisongo mjini Arusha,anakoshikiliwa kwa sasa.

Hali yake ni mbaya,na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio,na anahitaji kupewa huduma ya dharula!

Source imetoka eneo la tukio......

Kwa lolote litakaloendelea,hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husika!

Tutege Masikio.........
we ulikuwa gerezani? Acha kuleta uzushi. Hata hivyo km alikuwa anavunja taratibu za magereza lazima ashughulikiwe
 
Kama kweli basi ndoto ya mama kumfurahisha mbowe kisiasa itakuwa imetimia.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom