Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kule ni mahala panapotaka heshima na unyenyekevu ukiitwa na askari unaitika naam bwana mkubwa,manunda waliyokomaa sura na nakozi hadi inakuwa kama kidole kingine kinaota juu wapo kule c uswahilini huku.Pole zake sana anatakiwa atii mamlaka za gereza asijione yuko juu na kuwadharau bwana jela
Wanapiga kwerikweriKikosi Maalum Cha Kuziua Ghasia Gerezani ni balaa wakiingia sehemu ni kazi kweli kweli kama ikiwa taarifa hii ni ya ukweli.
kikosi maalum cha kuzuia ghasia Gerezani wanaotambuliwa kwa kifupi (KM) kazi yao ni kurejesha nidhamu ndani ya gereza na huwa hawalengi mtu mmoja bali wote ili kurejesha hali ya kawaida inayotakiwa.
Ni ngumu KM kuelekeza majukumu yao kwa mtu mmoja, wao ni kuelekeza majukumu yao kwa wote kwa wakati mmoja.
Kuna watu wengi kawapeleka hukoWalipokuwa wanawapeleka watu gerezani tena bila kosa lolote walijua ni harusini?
Unakymbuka wakina mdee,Jacob bulaya na wengineo kilichowakuta gereza la segerea [emoji1] kipondo hichoNimesikitishwa sana na walichofanya hao askari magereza. Wameenda kinyume kabisa na majukumu yao. Wanapataje nafasi ya kumpiga Sabaya na kumwacha hai? Hao Askari washushwe vyeo hawajatutendea haki sisi tunaomchukia jambazi Sabaya.
Ninapopitia maoni ya watu juu ya huyo Bwana mdogo hadi nashawishika kudhani km huko gerezani ndiyo uliko usalama kwake kuliko akija uraiani. Ni kama vile Arusha ile haikuwah kumshuhudia mtu katili zaid ya Sabaya....duh🤭Nimeanza kumuonea huruma kama binadamu daah inauma
View attachment 2507431Eee Mungu nisaidie
Huenda aliwatunishia misuli ...kwanini ashambuliwe yeye na siyo wafungwa wengine ukizingatia alikuwa kiongozi wa umma na alitakiwa kuonyesha mfano kwa wafungwa wengine gerezaniHali yake ni mbaya, na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio, na anahitaji kupewa huduma ya dharula!
Huyu mfumo haujamkubali naonaHivi mbona huyu wameamua kumkaanga na kumkausha haswa kuliko yule mwenzake wa Koromije ?
Kosa gani alilifanya kwa Mama yake mpaka ashindwa kumsamehe na kumwachia awe guru?
Huruma kila upande,,kaumizwa nae aliumiza watu..Nimeanza kumuonea huruma kama binadamu daah inauma
Umesahau kwamba yeye ni 'General'i, nani vile?Pole zake sana anatakiwa atii mamlaka za gereza asijione yuko juu na kuwadharau bwana jela
Duh!!!...Kumamae..