Tetesi: Sabaya ashambuliwa kwa kuchangiwa na Askari Magereza

Tetesi: Sabaya ashambuliwa kwa kuchangiwa na Askari Magereza

Status
Not open for further replies.
Kwa taarifa za haraka, inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa, shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza, Kisongo mjini Arusha, anakoshikiliwa kwa sasa.

Hali yake ni mbaya, na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio, na anahitaji kupewa huduma ya dharula!

Source imetoka eneo la tukio. Kwa lolote litakaloendelea, hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husika!

Tutege Masikio.
Haituhusuuu Domo kaya wewe

Ukipandaa maharagwe unavuna ulichopanda wacha malipo ni hapahahaaa
 
Aisee,,,Askari watamshambuliaje mahabusu, sidhani kama ni kweli.
Magereza yote, hata kwenye mataifa yaliyoendelea, huwa kuna kikosi maalum sawa na FFU huku uraiani ila hicho huwa kinakuwa gerezani tu. Wao huwa wanaitwa kukiwa na vurugu au kuna wafugwa wakorofi. Hao wakifika ni kipigo kikali kwaajili ya kutuliza ghasia.

Uliwahi kusikia FFU wameitwa mahali wakaanza kuhoji watu? Basi na huko gerezani ni hivyo hivyo.

Mara kadhaa nimewahi kuandika kuwa dhuluma lazima huwa ina malipo, na kila mmoja analipwa kwa namna yake na kwa wakati wake. Wengine tunadhani hawajapokea malipo ya matendo yao, kumbe tayari walikwishapokea zamani. Huwezi kudhulumu iwe ni maisha ya watu, mali zao au haki zao, halafu uwe salama kabisa. Haiwezekani.

Wale walioshiriki uovu na dhuluma zile za utawala wa awamu ya 5, wajute, waombe msamaha na kufanya toba ya moyo. Kiburi, dharau na ubabe, haviwezi kuwaepusha na adhabu wastahiliyo.
 
Kama ni kweli hao askari na mkuu wao wa gereza itabadi wapoteze kazi kwa shambulio hilo. Hao askari wehu wanapata wapi jeuri ya kumshambuli mfungwa/mahabusu? Wakati mwingine askari magereza wawe na nidhamu kwa wafungwa na mahabusu
 
Magereza yote, hata kwenye mataifa yaliyoendelea, huwa kuna kikosi maalum sawa na FFU huku uraiani ila hicho huwa kinakuwa gerezani tu. Wao huwa wanaitwa kukiwa na vurugu au kuna wafugwa wakorofi. Hao wakifika ni kipigo kikali kwaajili ya kutuliza ghasia.

Uliwahi kusikia FFU wameitwa mahali wakaanza kuhoji watu? Basi na huko gerezani ni hivyo hivyo.

Mara kadhaa nimewahi kuandika kuwa dhuluma lazima huwa ina malipo, na kila mmoja analipwa kwa namna yake na kwa wakati wake. Wengine tunadhani hawajapokea malipo ya matendo yao, kumbe tayari walikwishapokea zamani. Huwezi kudhulumu iwe ni maisha ya watu, mali zao au haki zao, halafu uwe salama kabisa. Haiwezekani.

Wale walioshiriki uovu na dhuluma zile za utawala wa awamu ya 5, wajute, waombe msamaha na kufanya toba ya moyo. Kiburi, dharau na ubabe, haviwezi kuwaepusha na adhabu wastahiliyo.
Sawa, hatuishi kwa kisasi kuwaumiza waliotutesa, kisasi hufanywa na Mungu pekee
 
Kwa taarifa za haraka, inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa, shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza, Kisongo mjini Arusha, anakoshikiliwa kwa sasa.

Hali yake ni mbaya, na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio, na anahitaji kupewa huduma ya dharula!

Source imetoka eneo la tukio. Kwa lolote litakaloendelea, hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husika!

Tutege Masikio.
Sema saaa baya ni moja ya wajuaji wa Arusha

USSR
 
Sawa, hatuishi kwa kisasi kuwaumiza waliotutesa, kisasi hufanywa na Mungu pekee
Na hata hapo kwenye andiko langu sijasema kuwa waliodhulumiwa wakalipize kisasi bali nimesema wanaodhulumu wajue kuna malipo kwa matendo yao. Kama huwezi kuomba toba, ufahamu kuwa dhuluma dhidi ya wanadamu wenzako italipwa na Mungu kwa namna na kwa wakati ufaao kwa kadiri ya hekima na mapenzi yake.

Kama uonavyo, ni nani aliyedhulumiwa na Sabaya amechukua rungu au fimbo kumcharaza? Adhabu ya Mungu siyo kwamba Mungu atachukua fimbo kukuchapa, yaweza kuwa ni kwa kupitia hata marafiki zako au watu ambao hukuwategemea kukugeuka.

Jambo la mujimu, pamoja na mapungufu yetu mengi, lakini tujitahidi kutenda mema. Mapungufu ya kawaida Mungu na hata wanadamu wenzako huyaona. Lakini dhuluma dhidi ya binadamu wenzako kwa sababu tu una madaraka, ni ouvu tunaotakiwa kujitenga nao.
 
Na hata hapo kwenye andiko langu sijasema kuwa waliodhulumiwa wakalipize kisasi bali nimesema wanaodhulumu wajue kuna malipo kwa matendo yao. Kama huwezi kuomba toba, ufahamu kuwa dhuluma dhidi ya wanadamu wenzako italipwa na Mungu kwa namna na kwa wakati ufaao kwa kadiri ya hekima na mapenzi yake.

Kama uonavyo, ni nani aliyedhulumiwa na Sabaya amechukua rungu au fimbo kumcharaza? Adhabu ya Mungu siyo kwamba Mungu atachukua fimbo kukuchapa, yaweza kuwa ni kwa kupitia hata marafiki zako au watu ambao hukuwategemea kukugeuka.

Jambo la mujimu, pamoja na mapungufu yetu mengi, lakini tujitahidi kutenda mema. Mapungufu ya kawaida Mungu na hata wanadamu wenzako huyaona. Lakini dhuluma dhidi ya binadamu wenzako kwa sababu tu una madaraka, ni ouvu tunaotakiwa kujitenga nao.
Tunajua jinsi Chadema ilivyo na Hasira na Sabaya!
Tunajua Chadema mnamchukia Sabaya,kwa sababu ndie aliemtoa Mbowe na Chadema kwenye ulingo wa Siasa kule Hai.
 
Pengine Kuna Jambo alilifanya kinyume na Sheria za gereza amekah Happ miaka 2 Sasa leo Kuna kitu amewaudhi

Numekula laki Saba yake lkn am sorry sabaya for these

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hapana!
Ni kwa sababu Sabaya anaelekea kutoka Magereza na kuwa Huru!
Hivyo watesi wake wanaona njia pekee ya kumkomoa ni kumtia kilema!
Kwa sababu wameshindwa kumkomoa kwa njia waliyokusudia!

Sabaya is a free Man Soon!
 
Na hata hapo kwenye andiko langu sijasema kuwa waliodhulumiwa wakalipize kisasi bali nimesema wanaodhulumu wajue kuna malipo kwa matendo yao. Kama huwezi kuomba toba, ufahamu kuwa dhuluma dhidi ya wanadamu wenzako italipwa na Mungu kwa namna na kwa wakati ufaao kwa kadiri ya hekima na mapenzi yake.

Kama uonavyo, ni nani aliyedhulumiwa na Sabaya amechukua rungu au fimbo kumcharaza? Adhabu ya Mungu siyo kwamba Mungu atachukua fimbo kukuchapa, yaweza kuwa ni kwa kupitia hata marafiki zako au watu ambao hukuwategemea kukugeuka.

Jambo la mujimu, pamoja na mapungufu yetu mengi, lakini tujitahidi kutenda mema. Mapungufu ya kawaida Mungu na hata wanadamu wenzako huyaona. Lakini dhuluma dhidi ya binadamu wenzako kwa sababu tu una madaraka, ni ouvu tunaotakiwa kujitenga nao.
Ni kwa sababu Sabaya anaelekea kutoka Magereza na kuwa Huru!
Hivyo watesi wake wanaona njia pekee ya kumkomoa ni kumtia kilema!
Kwa sababu wameshindwa kumkomoa kwa njia waliyokusudia!

Sabaya is a free Man Soon!
 
Pengine Kuna Jambo alilifanya kinyume na Sheria za gereza amekah Happ miaka 2 Sasa leo Kuna kitu amewaudhi

Numekula laki Saba yake lkn am sorry sabaya for these

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Ni kwa sababu Sabaya anaelekea kutoka Magereza na kuwa Huru!
Hivyo watesi wake wanaona njia pekee ya kumkomoa ni kumtia kilema!
Kwa sababu wameshindwa kumkomoa kwa njia waliyokusudia!

Sabaya is a free Man Soon!
 
Na hata hapo kwenye andiko langu sijasema kuwa waliodhulumiwa wakalipize kisasi bali nimesema wanaodhulumu wajue kuna malipo kwa matendo yao. Kama huwezi kuomba toba, ufahamu kuwa dhuluma dhidi ya wanadamu wenzako italipwa na Mungu kwa namna na kwa wakati ufaao kwa kadiri ya hekima na mapenzi yake.

Kama uonavyo, ni nani aliyedhulumiwa na Sabaya amechukua rungu au fimbo kumcharaza? Adhabu ya Mungu siyo kwamba Mungu atachukua fimbo kukuchapa, yaweza kuwa ni kwa kupitia hata marafiki zako au watu ambao hukuwategemea kukugeuka.

Jambo la mujimu, pamoja na mapungufu yetu mengi, lakini tujitahidi kutenda mema. Mapungufu ya kawaida Mungu na hata wanadamu wenzako huyaona. Lakini dhuluma dhidi ya binadamu wenzako kwa sababu tu una madaraka, ni ouvu tunaotakiwa kujitenga nao.
Ni kwa sababu Sabaya anaelekea kutoka Magereza na kuwa Huru!
Hivyo watesi wake wanaona njia pekee ya kumkomoa ni kumtia kilema!
Kwa sababu wameshindwa kumkomoa kwa njia waliyokusudia!

Sabaya is a free Man Soon!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom