Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nataka wamfire na kumuua kabisa kenge huyoKwa taarifa za haraka, inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa, shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza, Kisongo mjini Arusha, anakoshikiliwa kwa sasa.
Hali yake ni mbaya, na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio, na anahitaji kupewa huduma ya dharula!
Source imetoka eneo la tukio.
Kwa lolote litakaloendelea, hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husika!
Tutege Masikio.
Analiwa na dc flani hivi moshiIla Jamaa anapisi kali huku Mtaani, tupeane connection Wanajamvi
Ashaliwa kitambo 2022 mwezi wa nne kwani hujuiWasimkule tu lakini adhabu nyingine ziendelee tu
Pole sana kwake.Ila cha msingi inabidi ajue sasa yeye ni mfungwa wa jinai siyo DC tena.So atii sheria za magereza.Lazima atapigwa tuu maana hamna namna.kama anaambiwa usifanye hivi yeye anafanya.Atapigwa sanaKwa taarifa za haraka, inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa, shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza, Kisongo mjini Arusha, anakoshikiliwa kwa sasa.
Hali yake ni mbaya, na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio, na anahitaji kupewa huduma ya dharula!
Source imetoka eneo la tukio.
Kwa lolote litakaloendelea, hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husika!
Tutege Masikio.
Ni kwa sababu Sabaya anaelekea kutoka Magereza na kuwa Huru!Pole sana kwake.Ila cha msingi inabidi ajue sasa yeye ni mfungwa wa jinai siyo DC tena.So atii sheria za magereza.Lazima atapigwa tuu maana hamna namna.kama anaambiwa usifanye hivi yeye anafanya.Atapigwa sana
Haya huenda ni maigizo ya Sabaya mwenyewe ili kutafuta huruma.Kwa taarifa za haraka, inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa, shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza, Kisongo mjini Arusha, anakoshikiliwa kwa sasa.
Hali yake ni mbaya, na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio, na anahitaji kupewa huduma ya dharula!
Source imetoka eneo la tukio.
Kwa lolote litakaloendelea, hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husika!
Tutege Masikio.
Kweli wamsameheSisi hatuwezi kulipa ovu wa ovu,Huyu bwana asamehewe jamani,mwoneeni huruma
Alifungwa lini?Aliyefungwa kwa kosa la jinai hana sifa tena ya kuwa kiongozi wa Umma.
Tena na minyooHata Jiwe huko aliko anashambuliwa.
Kikosi Maalum Cha Kuziua Ghasia Gerezani ni balaa wakiingia sehemu ni kazi kweli kweli kama ikiwa taarifa hii ni ya ukweli.
kikosi maalum cha kuzuia ghasia Gerezani wanaotambuliwa kwa kifupi (KM) kazi yao ni kurejesha nidhamu ndani ya gereza na huwa hawalengi mtu mmoja bali wote ili kurejesha hali ya kawaida inayotakiwa.
Ni ngumu KM kuelekeza majukumu yao kwa mtu mmoja, wao ni kuelekeza majukumu yao kwa wote kwa wakati mmoja.
Hakuna cha maelezo yao! Usalama wa taifa ni lisk! Jamaa kweli ni usalama ila shida imeanzia kwa mkuu wa nchi kumkacha! Ata ukiangalia kesi zake hazina ata ushahidi wa maana kwakweli, zaidi utaona tu lazima kuna watu hawamtaki na hawa watu ni wakubwa.Usalama wa taifa ukizingua wanakutupa aisee,labda utende kwa maelekezo yao
Ushawahi kuonja gereza au mahabusu mamasamiaAskari magereza sio lelemama. Wapo kikazi.
SIJUI NIJIBUJEKwa taarifa za haraka, inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa, shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza, Kisongo mjini Arusha, anakoshikiliwa kwa sasa.
Hali yake ni mbaya, na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio, na anahitaji kupewa huduma ya dharula!
Source imetoka eneo la tukio.
Kwa lolote litakaloendelea, hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husika!
Tutege Masikio.
What goes arounds comes around. KARMA."what comes around, goes around"
Aisee..Magereza yote, hata kwenye mataifa yaliyoendelea, huwa kuna kikosi maalum sawa na FFU huku uraiani ila hicho huwa kinakuwa gerezani tu. Wao huwa wanaitwa kukiwa na vurugu au kuna wafugwa wakorofi. Hao wakifika ni kipigo kikali kwaajili ya kutuliza ghasia.
Uliwahi kusikia FFU wameitwa mahali wakaanza kuhoji watu? Basi na huko gerezani ni hivyo hivyo.
Mara kadhaa nimewahi kuandika kuwa dhuluma lazima huwa ina malipo, na kila mmoja analipwa kwa namna yake na kwa wakati wake. Wengine tunadhani hawajapokea malipo ya matendo yao, kumbe tayari walikwishapokea zamani. Huwezi kudhulumu iwe ni maisha ya watu, mali zao au haki zao, halafu uwe salama kabisa. Haiwezekani.
Wale walioshiriki uovu na dhuluma zile za utawala wa awamu ya 5, wajute, waombe msamaha na kufanya toba ya moyo. Kiburi, dharau na ubabe, haviwezi kuwaepusha na adhabu wastahiliyo.
KARMA..What goes arounds comes around. KARMA.