Sabaya asomewa mashitaka ya uhujumu uchumu, Atinga mahakamani akiwa amenyoa Kipara

Sabaya asomewa mashitaka ya uhujumu uchumu, Atinga mahakamani akiwa amenyoa Kipara

Magufuli alikuwa analipeleka Taifa pabaya, yaani hawa majambazi ndiyo aliona wanafaa kutuongoza wananchi wanyonge?
 
kwakweli maisha hayana usawa kabisa....yani jamaa alikuwa anatembelea magari huku akilindwa na walinzi wenye bunduki...leo hii yeye ndie anaelindwa na bunduki ili asitoloke...tutendeane mema jamani kesho yetu hatuijui...kifo cha mwendazake kimekuwa pigo kubwa sana kwa wengi...sijui bwana albert bashite yupo na hali gani huko aliko...

maana kwa ninavyomjua mimi bashite hivi sasa atakuwa yupo kanisani anajiliza tu...!
Bashite ni mjanja yeye kaamua apige kimya
 
Anatia huruma jamaa...kipindi cha mwanzo kama alikuwa na uhakika atashinda sasa mambo yamemuendea mrama pole sana kijana.

Imeniuma sana kwa mfanyabiashara kufanyiwa ivyo sheikh. Kaitafuta hela kwa jasho wanakuja wa2 from nowhere kuzichukus kiulaini. Dahh.
 
FB_IMG_16345713321818442.jpg
 
Sema Mamlaka yake ya uteuzi aliiona kama Mungu yaani. Mamlaka ilitangaza kuwa matajiri wataishi kama shetani na hiyo kazi wakapewa vijana wa hovyo kina Sabaya.
 
Tuliwaambia vibwengo wake wakawa wanakaza fuvu humu.
 
Ukiangalia picha hyo unaona macho yamevimba kwa kilio.

Maisha yapo speed Sanaa.
Kuna watu walilia kipindi cha magufuli,wanakuja kucheka kipindi cha Samia,kuna watu walicheka kipindi cga magumu wanakuja kulia kipindi cha Samia.
 
Back
Top Bottom