Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo mbona nyingi. Anatuhumiwa kwa kupora elfu therethini na tano!Wapi uliona Mwenyekiti wa usalama wa wilaya akachukua Ak 47 kwenda kupora sh laki tatu?
Kuna mmoja kati ya hao ana mme wake bhana, .... ni vizuri ukalisema na hilo!Msipomtaja Mbowe na Lisu na Chadema huwa kuna kitu kinawasumbua eeeh... Wana wake zao bhana...
Kwa kuwa tunafahamu hadaa tunazo fanyiwa na wanaojiona raia daraja la kwanza,na kujipa umiliki wa taifa hili tena kwa hila na matumizu mabaya ya mamlaka,hatuta lishangaa hilo likitokea.Kwani ya weza kuwa wewe ndio mratibu wa hadaa hiyo kwa jukumu ulilojipa.Visasi vya kisiasa mara nyingi huzaa malicious prosecution. Malicious prosecution huharibu maisha ya watu kwa kuvuruga maisha yao na hata nyadhifa zao.
Mpaka sasa inaonekana prosecution walitumika vibaya ili wamharibie maisha yake ya kisiasa Sabaya. Yote hii ni kumpa furaha mwanasiasa Mbowe.
Mpaka sasa prosecution wanahangaika kama mtoto mdogo aliyemsingizia mwenzake kuiba peremende ili siku ipishe.
Soon Sabaya anarudi uraiani huku Mbowe akipata aibu maana hakuna cha ziada alichovuna, ubunge wa Hai alishapoteza.
Wapi uliona Mwenyekiti wa usalama wa wilaya akachukua Ak 47 kwenda kupora sh laki tatu?
Kwakuwa UJINGA ni MZIGO basi ngoja tukutue kidogo kama utakubali lakiniVisasi vya kisiasa mara nyingi huzaa malicious prosecution. Malicious prosecution huharibu maisha ya watu kwa kuvuruga maisha yao na hata nyadhifa zao.
Mpaka sasa inaonekana prosecution walitumika vibaya ili wamharibie maisha yake ya kisiasa Sabaya. Yote hii ni kumpa furaha mwanasiasa Mbowe.
Mpaka sasa prosecution wanahangaika kama mtoto mdogo aliyemsingizia mwenzake kuiba peremende ili siku ipishe.
Soon Sabaya anarudi uraiani huku Mbowe akipata aibu maana hakuna cha ziada alichovuna, ubunge wa Hai alishapoteza.
Wapi uliona Mwenyekiti wa usalama wa wilaya akachukua Ak 47 kwenda kupora sh laki tatu?
Na mimi nilitaka muuliza swali hilihili?Inawezekanaje mtu akajua kuandika lakini akashindwa kutumia akili? Mbowe ndiye aliyemuweka Jambazi mahabusu?
Unataka mmoja awe mumeo?!... Au sijakuelewa vizuri bibie?!Kuna mmoja kati ya hao ana mme wake bhana, .... ni vizuri ukalisema na hilo!
Pia ni udhihirisho kuwa ni vilaza 💯Hii thread inadhihirisha uvccm ni majambazi full stop.
Kusoma thread za mtu mjinga kama wewe ni kupoteza mudaVisasi vya kisiasa mara nyingi huzaa malicious prosecution. Malicious prosecution huharibu maisha ya watu kwa kuvuruga maisha yao na hata nyadhifa zao.
Mpaka sasa inaonekana prosecution walitumika vibaya ili wamharibie maisha yake ya kisiasa Sabaya. Yote hii ni kumpa furaha mwanasiasa Mbowe.
Mpaka sasa prosecution wanahangaika kama mtoto mdogo aliyemsingizia mwenzake kuiba peremende ili siku ipishe.
Soon Sabaya anarudi uraiani huku Mbowe akipata aibu maana hakuna cha ziada alichovuna, ubunge wa Hai alishapoteza.
Wapi uliona Mwenyekiti wa usalama wa wilaya akachukua Ak 47 kwenda kupora sh laki tatu?
Wee jamaa nilishakwambia kuwa una option moja tu ya kuondoa sonona iliyokuganda nayo ni kufa. Vipi nikuitie manka mushi wa kichaga akuchagulie aina ya kifo?Visasi vya kisiasa mara nyingi huzaa malicious prosecution. Malicious prosecution huharibu maisha ya watu kwa kuvuruga maisha yao na hata nyadhifa zao.
Mpaka sasa inaonekana prosecution walitumika vibaya ili wamharibie maisha yake ya kisiasa Sabaya. Yote hii ni kumpa furaha mwanasiasa Mbowe.
Mpaka sasa prosecution wanahangaika kama mtoto mdogo aliyemsingizia mwenzake kuiba peremende ili siku ipishe.
Soon Sabaya anarudi uraiani huku Mbowe akipata aibu maana hakuna cha ziada alichovuna, ubunge wa Hai alishapoteza.
Wapi uliona Mwenyekiti wa usalama wa wilaya akachukua Ak 47 kwenda kupora sh laki tatu?
WATU WATAMUUWAVisasi vya kisiasa mara nyingi huzaa malicious prosecution. Malicious prosecution huharibu maisha ya watu kwa kuvuruga maisha yao na hata nyadhifa zao.
Mpaka sasa inaonekana prosecution walitumika vibaya ili wamharibie maisha yake ya kisiasa Sabaya. Yote hii ni kumpa furaha mwanasiasa Mbowe.
Mpaka sasa prosecution wanahangaika kama mtoto mdogo aliyemsingizia mwenzake kuiba peremende ili siku ipishe.
Soon Sabaya anarudi uraiani huku Mbowe akipata aibu maana hakuna cha ziada alichovuna, ubunge wa Hai alishapoteza.
Wapi uliona Mwenyekiti wa usalama wa wilaya akachukua Ak 47 kwenda kupora sh laki tatu?
Wawe serious na carefully sana kwasababu nae pia Sabaya ana crew ya Majamaa makatili wa Kenya (Wajaluo) ambao hata kule Kenya kuna wakati waliisumbua serikali.Sabaya akirudi mtaani, CCM impe cheo chenye ulinzi wa kutosha. Raia watachukua maamuzi magumu kwa makosa yote aliyoyafanya.
Hapo juu kuna jamaa kakwambia eti una utoto mwingi,ni kweli?.Clip ilionyeha wanavamia ili waibe simu na laki tatu? Hujui kuwa Mbowe anahusika?
Wewe ni muuaji kwa mawazo yako ya kishenzi kabisa ya kumshabikia muuaji mwenzako Sabaya na genge lake huku ukifikiri Sabaya anasota kwa sababu ya Mbowe! Haki ni kwa watanzania na sio kwa Mbowe pekee! Na katika mashtaka ya Sabaya hakuna hata moja ya mashtaka hayo yanatoka kwa Mbowe! Ni waendesha mashtaka wa serikali waliomshtaki Sabaya na sio Mbowe. Hujui chochote cha maana ndio sababu unawaza ushenzi mtupu.Visasi vya kisiasa mara nyingi huzaa malicious prosecution. Malicious prosecution huharibu maisha ya watu kwa kuvuruga maisha yao na hata nyadhifa zao.
Mpaka sasa inaonekana prosecution walitumika vibaya ili wamharibie maisha yake ya kisiasa Sabaya. Yote hii ni kumpa furaha mwanasiasa Mbowe.
Mpaka sasa prosecution wanahangaika kama mtoto mdogo aliyemsingizia mwenzake kuiba peremende ili siku ipishe.
Soon Sabaya anarudi uraiani huku Mbowe akipata aibu maana hakuna cha ziada alichovuna, ubunge wa Hai alishapoteza.
Wapi uliona Mwenyekiti wa usalama wa wilaya akachukua Ak 47 kwenda kupora sh laki tatu?