Sabaya ataporudi uraiani kwa ushindi mkuu, Mbowe na wenzake watajisikia vipi?

Yaani nikionaga I'd ya huyu famba imeanzisha mada kwanza hua naanza kucheka kwanza kabla ya kuifungua thread maana hua Najua upupu na uharo aliouandika lazima amtaje Mbowe na Chadema Kama ndio kichaka chake Cha lawama

Idugunde bwana unafurahisha Sana!
Wewe ni nyumbu kipofu Toka mataga

Idugunde=shost yake sabaya!
 
unamtetea mume......
 
Yaonekana ulikuwa unakula mezani kwa Sabaya, lakini waonaje ukiwa na subira japo kidogo usije ukakosa hata pa kuficha uso.
 
CCM hata mkitaka kumwachia jamaa yenu leo ni sawa tu, CDM huwa hai deal na vitu vidogo vidogo - chanzo cha jamaa kufanya hayo yote ndiyo kiini...kinashughulikiwa.

Karibu Mwanza kesho update elimu ya bure bwa mdogo.
 
Wewe pimbi nambie sabaya kamuua nani? Mashitaka ya sabaya kuna hata moja la mauaji au maropoka hapa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…