Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
CCM ni chama chenye mbinu 100 za kuendelea kubaki madarakani wapo wanachora Michoro na ramani ya uhakika ya kuhakikisha kuwa wanaendelea kubaki madarakani plan A wamekamilisha ni plan ya kuwarubuni Chadema.
Chadema wanechanganyikiwa hawajui mwenyekiti wao ameuza chama kwa shilingi ngapi lkn haikuwa rahisi kuwakwepa wanachama Hawa wa Chadema maana waliamini Mbowe amewasaliti.
Imani yao ni kweli kuwa Mbowe kawasaliti lkn anaondokaje kwenye mkono na tuhuma za kuwasaliti wanachama chake imebidi atengeneze mbinu na mikakati na waliomnunulia Chama ili ionekane kuwa yy ni mpambanaji Sana tena haswaaa kabisa.
amejifanya kuwapa matumaini lkn ukweli ni kwamba Mbowe anajua alichoambiwa kuwa Chadema must fall apart with all dew means lazima Chadema izikwe baada ya kufa ili hata mfupa na damu yake isionekane.
Baada ya kuruhusiwa mikutano ya hadhara kitakachofuata ni upatikanaji wa fedha za kuendeshea mikutano ya hadhara.
Nitaendelea.
Chadema wanechanganyikiwa hawajui mwenyekiti wao ameuza chama kwa shilingi ngapi lkn haikuwa rahisi kuwakwepa wanachama Hawa wa Chadema maana waliamini Mbowe amewasaliti.
Imani yao ni kweli kuwa Mbowe kawasaliti lkn anaondokaje kwenye mkono na tuhuma za kuwasaliti wanachama chake imebidi atengeneze mbinu na mikakati na waliomnunulia Chama ili ionekane kuwa yy ni mpambanaji Sana tena haswaaa kabisa.
amejifanya kuwapa matumaini lkn ukweli ni kwamba Mbowe anajua alichoambiwa kuwa Chadema must fall apart with all dew means lazima Chadema izikwe baada ya kufa ili hata mfupa na damu yake isionekane.
Baada ya kuruhusiwa mikutano ya hadhara kitakachofuata ni upatikanaji wa fedha za kuendeshea mikutano ya hadhara.
Nitaendelea.