Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Punguza jazba.Tafta pesa, fedha, faranga, money, mpunga, ngawira, mshiko, hela, mapene ili upate utulivu wa akili sio kuja hapa ukiwa umelewa gongo ya kimba Na kuropoka hovyo kwa ulevi wa kipunguani!
Wengi wao kama si wote wa aina ya 7ya hawajiwi tofauti Kati ya serekali na ccm.Kuitumkia serikali kuhakikisha Chadema inakufa Hai
nguza jazba.
Msela alikuwa na timu 2 moja vimbelele vya kufuatilia watumishi wa Hai wanasemaje kuhusu yeye na nyingine na ni mfuasi wa CHADEMA, sasa ilifika kipindi watumishi wa wilaya ya hai hatuaminiani tena popotePunguza jazba.
Ukweli roho inauma Sana kuona wachizi wangu wanateseka hivyo hamna shida urafiki una gharama zake ila mungu asiweke kwenye mtihani kama hiiMshitakiwa namba moja Lengai Ole Sabaya katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili na wenzake amejikuta akitokwa na machozi mahakamani wakati akitoa ushahidi wake kama sehemu ya utetezi wake.
"Niliweka uhai wangu rehani kwa kufanya kazi za serikali,mpaka nikatumiwa watu kuniua" https://t.co/HkwBRDIo86View attachment 2088232
Hizi Id za michongo bana dahKwanza hata huyo mpambe wake anajiita alikuwa afisa kilimo hata sie hatumjui njooni mkague kama daftari la mkuu wa idara ya kilimo Hai kama ashawahi kusaini popote kwenye daftari la mahudhurio kazini. Tunalazimishwa tuwe mashaidi kwa lazima
Poor defense.Mshitakiwa namba moja Lengai Ole Sabaya katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili na wenzake amejikuta akitokwa na machozi mahakamani wakati akitoa ushahidi wake kama sehemu ya utetezi wake.
"Niliweka uhai wangu rehani kwa kufanya kazi za serikali,mpaka nikatumiwa watu kuniua" https://t.co/HkwBRDIo86View attachment 2088232
Aisee huyu mtu alitengeneza maadui wengi.Msela alikuwa na timu 2 moja vimbelele vya kufuatilia watumishi wa Hai wanasemaje kuhusu yeye na nyingine na ni mfuasi wa CHADEMA, sasa ilifika kipindi watumishi wa wilaya ya hai hatuaminiani tena popote
Kwa nini?Kamanda Asiyechoka kwa kauli hizi naona umechoka
Unao ushahidi wa kutosha?Aisee huyu mtu alitengeneza maadui wengi.
Sasa Hai DC hayupo wote wanamkata wale vimbelembele wa kuchonganisha Kati ya ofisi ya mkurugenzi na ofisi ya mkuu wa wilayaAisee huyu mtu alitengeneza maadui wengi.
Sabaya anajitekenya na kucheka mwenyewe...Sabaya amedai hii kesi ni ya kisiasa.
..kwamba ni hila ya mtu aliyeshindwa ubunge Hai akishirikiana na Takukuru kumsulubu yeye[sabaya].
..pia anadai tuhuma kwamba hana uwezo wa kununua gari ya milioni 60 sio za kweli.
..Sabaya amedai kwamba anamiliki ng'ombe zaidi ya 1400, na anajihusisha na kilimo cha kibiashara.
Sabaya awakana washtakiwa wenzake, alia kizimbani
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya amekana kuwafahamu watuhumiwa wenzake watano kati ya sita katika kesi ya uhujumu uchumi huku akidai kuwa alitumiwa watu wa kumuua.www.mwananchi.co.tz
Unawashwa kinyeo wewe.Unao ushahidi wa kutosha?
mbona wenzake waliodhulumu na kuumiza wapinzani wanaendelea kudunda mtaani
Ni Bora tusijuane ila nipo mitaa Fulani ya BOMA njoo ule biaHizi Id za michongo bana dah
Kumbe alikuambukiza VVU?Hakuna mtu aliyetumwa kumuua Sabaya, ila kuna watu ambao walijihami sawa sawa kuwa wakikutana na Sabaya ama zake ama zao.
Huyu JAMBAZI mpumbavu alikuwa anamtegemea mwanadamu. Mwanadamu mwenyewe Magufuli aliyekuwa na VVU +Pacemaker+ Diabetes+ Mental +COVID 19, LAZIMA angekufa tu.
Wajanja walijuwa kuwa Magufuli HATOBOI 2023, wakakaa kimya, ila WAPUMBAVU wakamuona kama mungu mtu, wakamuabudu
Bwashee usinizoeNi Bora tusijuane ila nipo mitaa Fulani ya BOMA njoo ule bia
Ukiwa mwizi na ukakamatwa ni wewe; huwezi kujitetea kuwa mbona kuna wezi wengine hawajakatwa ? Kutokamatwa kwao cannot be your defence!!!