SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Jambazi sugu Sabaya anaendelea kunyea debe wewe fala.Sabaya ni mwamba anashinda kesi kihalali na si kwa hurum ya Ikulu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jambazi sugu Sabaya anaendelea kunyea debe wewe fala.Sabaya ni mwamba anashinda kesi kihalali na si kwa hurum ya Ikulu
hao wote ni wanufaika wake, walitakiwa waunganishwe nae tena waanzie kisongo wakishamaliza kazi yao kule waje karanga nao wafanye yao.Nchi hii laana itachukua muda mrefu sana kuisha, yaani jambazi mshenzi kama Sabaya anatetewa nakuonekana wa maana na watu kweli?!
Usijifanye chizi, Kesi za Mbowe mlizisuka kisiasa.Mwamba wa Chadema alijifanya nunda lakini mwisho wake alituma viongozi wa dini ili wamchomoe na akalia sana kwa hudhuni ya huruma.
View attachment 2247744
Sasa hivi habari ya katiba mpya na kudai haki za wanyonge amesahau amebaki kuhudhuria live concert sababu yeye ni Deejay
View attachment 2247746
Bwana IDUGUNDE,kumbuka huyo Sabaya amemaliza mwaka mmoja Jela sasa,jana kafunguliwa Kesi nyingine Moshi wakati huohuo anasubiri Hukumu ya ile Kesi ya Arusha tarehe 10,wakati wewe upo na smartphone unaandika upuuzi JF ukiwa unakunywa supu au chai ya maziwa mwezio analala chini sakafuni,nadhani umeona Afya yake ilivyozorota,naamini atakuwa na ukurutu mpaka mkunduni,acha kuandika ujinga eti akomae atashinda,hakuna kitu kikubwa duniani kama Afya na Uhuru,Kesi za Sabaya zina Ushahidi wa wazi kabisa usio na shaka,hiyo Kesi aliyoshinda Mahakama ya Rufaa si kwamba hakutenda matendo yale alitenda,sema kulikuwa na upungufu mdogo tu wa kisheria upande wa Waendesha Mashtaka ndio maana akachomoka,msimjaze ujinga eti akomae Jela sio mahali kuzuri,ni vema akatuma Wazazi wake na ombe Viongozi watu wazima kama kina Lukuvi na Mkuchika waende kwa Mama wakapige magoti wamuombee msamaha,zaidi ya hapo huyu sio wa kutoka leo wala kesho,na Hukumu ya Kesi tarehe 10 lazima atafungwa tu miaka 30 kama huamini subiri uone,mnakaa kwenye smartphone mnamdanganya wakati hamuendi Jela kumpelekea hata nyembe kama si sabuni,huo ni upuuzi na ujinga,huyu Sabaya na genge lake walikuwa ni Majambazi kama Majambazi mengine tuMahakama imemwachia huru juzi tu
Hizi mahakama mnazobaka kila kukicha?!Jambazi anavunja mchana kweupe na gari za umma?
MDANGANYENI TU HATA GEREZANI HAMUENDI KUMWONA ALIA PEKEE YAKEMwamba wa Chadema alijifanya nunda lakini mwisho wake alituma viongozi wa dini ili wamchomoe na akalia sana kwa hudhuni ya huruma.
View attachment 2247744
Sasa hivi habari ya katiba mpya na kudai haki za wanyonge amesahau amebaki kuhudhuria live concert sababu yeye ni Deejay
View attachment 2247746
Mnyenyekevu anaashiria kuunga mkono juhudiSasa hivi habari ya katiba mpya na kudai haki za wanyonge amesahau amebaki kuhudhuria live concert sababu yeye ni Deejay
Sasa kama atafungwa kwa kesi kama hizi ambazo hata watoto wadogo wanajua ni ubambikiaji wa kisiasa ni aibu kwa taifa hili.Bwana IDUGUNDE,kumbuka huyo Sabaya amemaliza mwaka mmoja Jela sasa,jana kafunguliwa Kesi nyingine Moshi wakati huohuo anasubiri Hukumu ya ile Kesi ya Arusha tarehe 10,wakati wewe upo na smartphone unaandika upuuzi JF ukiwa unakunywa supu au chai ya maziwa mwezio analala chini sakafuni,nadhani umeona Afya yake ilivyozorota,naamini atakuwa na ukurutu mpaka mkunduni,acha kuandika ujinga eti akomae atashinda,hakuna kitu kikubwa duniani kama Afya na Uhuru,Kesi za Sabaya zina Ushahidi wa wazi kabisa usio na shaka,hiyo Kesi aliyoshinda Mahakama ya Rufaa si kwamba hakutenda matendo yale alitenda,sema kulikuwa na upungufu mdogo tu wa kisheria upande wa Waendesha Mashtaka ndio maana akachomoka,msimjaze ujinga eti akomae Jela sio mahali kuzuri,ni vema akatuma Wazazi wake na ombe Viongozi watu wazima kama kina Lukuvi na Mkuchika waende kwa Mama wakapige magoti wamuombee msamaha,zaidi ya hapo huyu sio wa kutoka leo wala kesho,na Hukumu ya Kesi tarehe 10 lazima atafungwa tu miaka 30 kama huamini subiri uone,mnakaa kwenye smartphone mnamdanganya wakati hamuendi Jela kumpelekea hata nyembe kama si sabuni,huo ni upuuzi na ujinga,huyu Sabaya na genge lake walikuwa ni Majambazi kama Majambazi mengine tu
Hapa tunaweka ukweli hadharani.MDANGANYENI TU HATA GEREZANI HAMUENDI KUMWONA ALIA PEKEE YAKE
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Huo ubambikiwaji anabambikiwa na nani??CHADEMA,CUF au ACT??wanaomshtaki ni waliokuwa waajiriwa wenzake wa Serikali tena wengine walifanya nae kazi mfano Salum Hamduni(alikuwa RPC Arusha na sasa ni Mkurugenzi Mkuu TAKUKURU),chuki za Siasa zinatoka wapi hapo??kwani kuna Kesi yoyote iliyofunguliwa dhidi yake na kiongozi yoyote wa Upinzani??aliyemsimamisha kazi Sabaya ni Mbowe au Zitto Kabwe??si Rais mwenyewe au!!!nadhani ni vema ukatumia akili za kichwani na si za makalioni,yaani mtu atoke Hai bila ruhusa akapore Pesa ya mtu gereji Arusha halafu unakuja kumtetea hapa bila aibu!!!hivi unafahamu taratibu za kazi kwa Wakuu wa Wilaya au unaandika tu ujinga??nakusaidia tu kwamba Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni kwa mfano eneo lake la kazi ni Wilaya ya Kinondoni,akitaka kwenda kikazi Ubungo ni lazima apate kibali cha Mkuu wa Mkoa wa Dar au Mkuu wa Utawala wa Wilaya yake(DAS)au wa Mkoa(RAS)maana Ubungo sio eneo lake kiutawala elewa hilo,sasa Sabaya yeye kila siku alikuwa anashinda Arusha Mjini na Moshi Mjini kupiga deal za Ujambazi,unategemea nini aisee!!!narudia tena kwamba Sabaya alikuwa Jambazi kama Majambazi mengine tuSasa kama atafungwa kwa kesi kama hizi ambazo hata watoto wadogo wanajua ni ubambikiaji wa kisiasa ni aibu kwa taifa hili.
Ni mmoja wa watengeneze kesi michongo waliotamani kuzitumia kuifuta Chadema kuilingana na akili na zitazamo yao tengehuyu mtoa mada huwa ana wawaza sana chadema, sijui kwanini!
Umewachana vizuri hawa wapumbavuBwana IDUGUNDE,kumbuka huyo Sabaya amemaliza mwaka mmoja Jela sasa,jana kafunguliwa Kesi nyingine Moshi wakati huohuo anasubiri Hukumu ya ile Kesi ya Arusha tarehe 10,wakati wewe upo na smartphone unaandika upuuzi JF ukiwa unakunywa supu au chai ya maziwa mwezio analala chini sakafuni,nadhani umeona Afya yake ilivyozorota,naamini atakuwa na ukurutu mpaka mkunduni,acha kuandika ujinga eti akomae atashinda,hakuna kitu kikubwa duniani kama Afya na Uhuru,Kesi za Sabaya zina Ushahidi wa wazi kabisa usio na shaka,hiyo Kesi aliyoshinda Mahakama ya Rufaa si kwamba hakutenda matendo yale alitenda,sema kulikuwa na upungufu mdogo tu wa kisheria upande wa Waendesha Mashtaka ndio maana akachomoka,msimjaze ujinga eti akomae Jela sio mahali kuzuri,ni vema akatuma Wazazi wake na ombe Viongozi watu wazima kama kina Lukuvi na Mkuchika waende kwa Mama wakapige magoti wamuombee msamaha,zaidi ya hapo huyu sio wa kutoka leo wala kesho,na Hukumu ya Kesi tarehe 10 lazima atafungwa tu miaka 30 kama huamini subiri uone,mnakaa kwenye smartphone mnamdanganya wakati hamuendi Jela kumpelekea hata nyembe kama si sabuni,huo ni upuuzi na ujinga,huyu Sabaya na genge lake walikuwa ni Majambazi kama Majambazi mengine tu
Mwamba wa Chadema alijifanya nunda lakini mwisho wake alituma viongozi wa dini ili wamchomoe na akalia sana kwa hudhuni ya huruma.
View attachment 2247744
Sasa hivi habari ya katiba mpya na kudai haki za wanyonge amesahau amebaki kuhudhuria live concert sababu yeye ni Deejay
View attachment 2247746
Mwamba wa Chadema alijifanya nunda lakini mwisho wake alituma viongozi wa dini ili wamchomoe na akalia sana kwa hudhuni ya huruma.
View attachment 2247744
Sasa hivi habari ya katiba mpya na kudai haki za wanyonge amesahau amebaki kuhudhuria live concert sababu yeye ni Deejay
View attachment 2247746