econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Sabaya ni mwamba anashinda kesi kihalali na si kwa hurum ya Ikulu
I'll kesi alioshinda Mashtaka Kama wanaakili wanaweza fungua Trial de novo. Maana shida sio ushahidi shida ni procedures za kisheria pia hakimu alimbwela kwenye kuandika hukumu sijui alikuwa amelewa.