You are one candidate to be blocked to save time and MBs!Usirikeruke huyu ni ole Sabaya na wakurugenzi niwakurigenzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You are one candidate to be blocked to save time and MBs!Usirikeruke huyu ni ole Sabaya na wakurugenzi niwakurigenzi.
Hayo yalikuwa mazungumzo ya kijiweni tu. Hakuna mtu aliyeshitakiNa yake majeraha ya ulemavu (kama kukata sikio) aliyosababishia watu?
#YNWA
Unamkataaje yule halafu unamkubali Samia kwa sababu tu unamchukia jpm? Wote ni kutoka ccm. Niliwahi kusema chadomo wanaingia kwenye mtego tena kichwa kichwaSafi sana Rais Samia , nyumbu wote watakuelewa sasa kwamba wewe na Magufuli ni kitu kimoja
Haki na sheria ni vitu viwili tofautiKivipi?
Ile kesi ya uhujumu nayo alishaonekana hana hatiaKwamba hadi wale wananchi waliokatwa masikio na kuingiliwa kinyume kule Hai walikuwa wanamsingizia?
Yule Ustaadh aliyevamiwa dukani kama jambazi, na wale wamiliki wa Hotels na wafanyabiashara je?
Sawa
Ya ugaidiMbowe hakua na kesi wewe mjinga
Korti isiyo huru imeinyima serikali haki na kumpa jambazi.Rejea kauli ya Rostam Azizi na sote tunajua Mahakama za Tanzania haziko HURU
Inawapa haki Majambazi wa CCM wakati waliompiga Lissu na wezi wa fedha za TASAF wanatunzwa na Ukatibu Uenezi.Korti isiyo huru imeinyima serikali haki na kumpa jambazi.
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app