Sabaya ungekuwa 'Smart' usingefanya Interview na Clouds FM kipindi hiki

Du............!
Mzee hii mada yako ulikuwa ina bashiria mabaya yatakayomuandama Sabaya , and you were right 100%.
 
Tutoke kwenye reactive mode twende kwenye proactive mode! Setting news agenda to issues, which matters most! Tuache kuchezea pia, mambo mengi yanatusubiri!
Sabaya sasa anaimbishwa na manyampara pale kisongo.
Kundi lenu ni is hovyo sana
Your browser is not able to display this video.
 
Umenikumbusha yule mwenyekiti wa uvccm
 
Dogo, alidhani bado anaishi kwenye utawala wa jiwe.
Bado Bashite na yule aliyewatishia marais wastaafu kuwa wasiingilie serikali ya awamu ga 5 vinginevyo atawavunja miguu
 
Kwishaaaaa habari zenu na kundi lenu haramu
 

Lilikuwa sikio la kufa.
 
Siku hizi hukumu zinatoka mitandaoni then zinafanyiwa maamuzi na viongozi tuliowapa dhamana.
Mambo ya ajabu kabisa kuwai kutokea duniani.
Mlizoeshwa vya kunyonga sasa watu wanahitaji kuitafuta kibra
 
Siku Arobaini zake zilikuwa Zimetimia Mkuu
 
Mtoa mada wewe umenena yaliyo kweli tupu, pamoja na vitendo vyake dhalimu alivyofanya mwovu huyu katika kipindi cha awamu ya tano na kuonekana kama ni mshindi alitakiwa kwanza akae kimya na kusoma upepo kwanza.

Hakujua kama Rais Mama Samia yeye kama mwanasiasa mkongwe haogopi upinzani kamwe kama mtangulizi wake, kwa hiyo yeye mwovu sabaya alichukua yale matendo yake kama ni ushindi na kutaka ajulikane kama ni mtu mzuri sasa kile kipindi na clouds TV ndicho kilichommaliza kabisa na kuibua hasira nyingi tuu dhidi yake na ndicho kilichopelekea akamatwe.

Ni mjinga kabisa huyu sasa yupo kisongo gerezani wakati yeye alidhani ataupata ukatibu mkuu wa ccm au katibu mwenezi na kama angekosa hivi angepata hata uteuzi wa kuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam.
 
Sikilizaa wa
Maongeziyaoo na lemaa

Hukonyumaaa

Lema ;sabayaa nakuonyaa achakuumiza watu mi mhuni

#saaby ;lemaa achahizo sisi wote wahuni achahizoo

#mhunianakuwasmarttokalini!!??labdakwahuniwenzie
M
 
Mkuu na hii tuunganishe kwenye kesi zake aozee jela
 
Huenda hilo ndo ‘kosa’ lilosababisha kifo chake huyo Rugwe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…