Sabaya ungekuwa 'Smart' usingefanya Interview na Clouds FM kipindi hiki

Sabaya hata akaijisafisha kwa Dodoki hasafishiki. He is dirt
 
Bila shaka wakati unaponda interviews za akina Sabaya , utakuwa hapo hapo unasifia interviews za Tundu Lissu anazozitumia kujidharirisha!
Pumba kweli. Lissu ni independent Man hahitaji teuzi ya aina yoyote kupeleka mkono kinywani kama hao walamba miguu wa ccm
 
Hivi sikuhizi hakunawatujasiri Kama yule mzee wa Iringa(mzee mwamwindi),aliye mfyekelea mbali RC wa Iringa kwa unyanyasaji wa wananchi?
 
Uyo jamaa Mchele Mchele amewazoea vibaya na mmemuendekeza
 
Kwamba mnataka upande wa stori "yenu" usikike, kwamba nyinyi ni wapigania chama, kwamba yote yale ya uonevu uliyokuwa ukifanya ni kwa masilahi mapana ya chama, kwamba mkiachwa kwenye teuzi zijazo basi ni kama vile mmeonewa kwa kazi "nzuri" mliyokifanyia chama.[emoji1548][emoji1548][emoji1548][emoji1548]
 
Scientific analysis ila yule pimbi Sabaya hawezi kukuelewa
 
Kiboko chake Mbowe, Sabaya karudisha matumaini, furaha na kuheshimiana kwa wakazi wa Hai. Mama Samia Mpe Ukuu wa Wilaya mpaka siku akisema basi.
 
Kawaida mtu mwenye kupenda kutumia maguvu huwa hana akili wala busara na hekima.
Mfa maji haachi kutapatapa.

Sijajua kwanini anazungumza hayo kwani kuna kampeni za kurudia chaguzi??

Everyday is Saturday............................... 😎
 
walikuwa wanaiba na maza ako
Hahaha ukiguswa tako unalegea sana. Kipimo cha ujinga wako ni chako mama yako namweshimu siwezi mtukana kwanza hana chochote kuhusu ujinga wako wenye upofu wa madhaifu ya mumeo Lema. Jambazi lile unless hujaishi Ara chuga.
 
Mama Samia akimrudisha huyu na Jerry Muro nadhani atakuwa ameshusha Imani ambayo wengi wanayo juu yake. Kuna watanzania wengi sana wanaweza hiyo ofisi sio hao wapuuzi pekee.
Mbona mnapenda kumtega mama...
muacheni afanye analoliona bora msimpangie
 
Kubugi kwenyewe ni hivi:
Timing ya Interview yako na hasira za wananchi juu ya Benzi la mzee Mwinyi n
Mimi naomba sana hawa viongozi wanapokuwa wanaongea kwenye majukwaa tuwe tunawasikiliza vizuri na kwa umakini wa kipekee sana.

Mzee Mwinyi hajapewa Benz kama zawadi, bali kama msaada kutokana na umri wake, kwamba gari ile ya mwanzo aliyokuwa nayo ni ndefu kiasi na hivyo ilikuwa imeshaanza kumsumbua wakati wa kupanda na kushuka, kutokana na umri wake, na hivyo kupelekea Serikali ikaona ni busara kumbadilishia gari kwa kumpa gari fupi atakayokuwa anaweza kupanda na kushuka bila matattizo yoyote.

Possibly ile ya mwanzo na ambayo ilikuwa ni ndefu, ingeweza hata kuja kumsababihia matatizo ya kuanguka halafu kapata madhara ya kuumia viungo vya mwili wake, kitu ambacho sasa kingekuwa kibaya mno na kingehesabika kuwa ni uzembe wa hali ya juu kwa Serikali yote

Na ukizingatia kuwa umri wake unalekeera kwenye miaka 100, ingetokea kwa bahati mbaya kwamba hajabadilishiwa gari na hivyo kupelekea ajali ya kuanguka na kuumia akiwa anapanda au kushuka kwenye gari hilo, hasira sasa zingeenda kwa mama zaidi ya hizi za mpira wa miguu.

Naomba tusiwe watu wa kuwa tunawavizia vizia viongozi wetu kwa kutumia vi-loopholes visivyokuwa na maana halafu tunaanza kujrenga hoja za kuwaangushia lawama kubwa kubwa zisizostahili na kwa mambo yasiyostahili

Iwapo kama manaona kila mtu hafai kuwa Rais, wajulisheni watanzania kuwa Rais mnataka awe malaika kutoka mbinguni, mtuonyeshe yuko wapi nasi tutampigia kura kama mnavyotaka, tumuweke Ikulu awe Rais wetu
 
Mama mwenyewe alisema ni zawadi. Ingekuwa ni stahiki, stahiki huwa hazitolewi kama birthday gift!

Kwani umeambiwa Mwinyi mwenyewe aliandika barua kuomba hiyo gari au serikali yenyewe iliona impe zawadi?.

Yale magari mengine ambayo sasa hayamfai mzee Mwinyi kutokana na sababu ambazo Samia amesema je yataendelea kuwa yake au serikali sasa itayachukua ila tu itambakishia hilo benzi ililosema ndo linamfaa?
 
Tangia lini Clouds FM na hata Clouds Tv wakawa na Akili? Aliyekuwa na Akili Kubwa hapo alikuwa ni Mwendazake Ruge Mutahaba na waliobaki wote Akili zao nazo ni Ndogo ( Finyu ) kama za huyo Sabaya wenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…