Sabaya ungekuwa 'Smart' usingefanya Interview na Clouds FM kipindi hiki

Sabaya ungekuwa 'Smart' usingefanya Interview na Clouds FM kipindi hiki

Uhuru wa vyombo vya habari ndio huu sasa saivi watafutwe upinzani nao waseme clouds wakiwahoji watu ambao upinzani hawawapendi mnaleta chuki za kitoto hii ni dhahili hata chadema wakishika dola uminywaji wa uhuru wa vyombo vya habari utakuwepo tuu mie sioni tatizo la sabaya kwenda kuhojiwa pale hata kama watu wanaona anazingua.
Mkuu na wew uko timamu mpaka ulione hilo?
 
Hahaha ukiguswa tako unalegea sana. Kipimo cha ujinga wako ni chako mama yako namweshimu siwezi mtukana kwanza hana chochote kuhusu ujinga wako wenye upofu wa madhaifu ya mumeo Lema. Jambazi lile unless hujaishi Ara chuga.
Una akili kama za Jiwe, hope ni sifa kwako
 
Mama mwenyewe alisema ni zawadi. Ingekuwa ni stahiki, stahiki huwa hazitolewi kama birthday gift!

Kwani umeambiwa Mwinyi mwenyewe aliandika barua kuomba hiyo gari au serikali yenyewe iliona impe zawadi?.

Yale magari mengine ambayo sasa hayamfai mzee Mwinyi kutokana na sababu ambazo Samia amesema je yataendelea kuwa yake au serikali sasa itayachukua ila tu itambakishia hilo benzi ililosema ndo linamfaa?
Haijalishi kuwa mama alisema ni zawadi, lakini the undeniable fact kwamba Mzee Mwinyi anaelekea kwenye miaka 100, na kwamba mama alisema kuwa gari ile ya awali ilikuwa imeshaanza kumsumbua kwenye matumizi; mambo haya mawili yana -override usemi mwingine wowote ule unaoweza kuwa ulitumika kuhusiana na gari hilo siku hiyo.

Mbona the same day mzee Mwinyi alikuwa anazindua pia kitabu chake? Mtu mwingine anaweza kusema kuwa ni gari aliloplewa siku ya uzindiuzi wa kitabu chake ,na bado akawa yuko sahihi kabisa, si ndiyo? Ikitokea mtu akasema hivyo, je huyu naye atakuwa tena amezidhooofisha hoja za umri wa mzee na namna zinavyohusiana na matumizi ya gari la zamani?

Naomba tuwe tunakuwa wanagalifu na namna tunavyojenga hoja zetu, hasa kwa viongoz hawa wa ngazi za juu wa nchi. Tunakuwa na spidi kali muno ya kuwashambulia. Mimi nilikuwa nashauri kuwa ikiwezekana hata pale ambapo kweli panaonekana kuwai kuna uhalali wa kuwashambulia, wakati mwingine tuwe tunakaa kimya tu tunawaacha. Spidi yetu ya kuwashambulia ni kubwa muno, tupunguze spidi tafadhali
 
Unless kama mamlaka za uteuzi zimekutuma ufanye Interview ile, Ila kama ni wewe binafsi umejiamulia kwenda kufanya hiyo interview basi wewe na aliyekushauri mmebugi sana.

Kubugi kwenyewe ni hivi:
1. Mnajaribu kupreempt maamuzi ya mamlaka za uteuzi kupitia propaganda.

Kwamba mnataka upande wa stori "yenu" usikike, kwamba nyinyi ni wapigania chama, kwamba yote yale ya uonevu uliyokuwa ukifanya ni kwa masilahi mapana ya chama, kwamba mkiachwa kwenye teuzi zijazo basi ni kama vile mmeonewa kwa kazi "nzuri" mliyokifanyia chama.

2. Interview yako imekaa kama promo hivi ili "mama" ajue upo na "akuelewe"
Katika tetesi hizi kuwa kuna uwezekano mama akafanya reshuffle ya wakuu wa mikoa au wilaya, timing ya interview yako ni kama vile unatuma meseji kwa rais Samia, kuwa mama nipo, nisikie, usinisahau. Sasa hii inaweza kuwa nzuri kama inafanyika kwenye nyakati za kawaida, lakini siyo timing ya sasa ambayo mama amehint kuendelea kuisuka serikali yake. Ulichokifanya ni kama mtoto anayejiimbilisha muda karibu na msosi ili Mama ajue ana njaa!. Wazazi wengine huchukia hii tabia kwa sababu ni manipulative

3. Mama Samia siyo mpenda kiki na Macamera kwa kiwango cha Mtangulizi wake, Na hii sifiasifia uliyoifanya ya "Mama atatuvusha" ni muendelezo uleule wa wateule kumsifu mteuaji ili wapate teuzi au kulinda teuzi zao. Sasa Samia sna experience ya kutosha juu ya wateule waliokuwa wakikazana kumsifu Magufuli lakini alivyokufa tuliona walivyokuwa wakishindana kuponda, na kama wasingewekeana breki hali ingekuwa mbaya sana.

4. Timing ya Interview yako na hasira za wananchi juu ya Benzi la mzee Mwinyi na kuahirishwa kwa mechi ya Simba na Yanga ni mbaya kwa aina ya viongozi kama wewe! —Nakuhakikishia Bwana Sabaya, Samia asingependa kutengeneza mtu wa aina ya Makonda alivyokuwa kipindi cha Magufuli. Sababu mojawapo ya Magufuli kupoteza mvuto wa kusiasa mwishoni mwa waka 2016 hadi mwishoni mwa mwaka 2018 ni kwa kumkubatia Makonda. Sasa Samia keshaonja hasira na shombo za wananchi katika matukio hayo mawili niliyoyataja, Sasa mtu wa rekodi zako itamfanya Samia afikirie mara mbilimbili kukuteua maana keshaijua hasira ya wananchi inaweza kuwa kali kiasi gani.

Siku nyingine, Ukitaka kufanya Interview ksma hii ya kujikosha, hakikisha unaleta na mtu mwingine wa kuzugia ili mhojiwe nyote, ungeleta hata mkuu wa wilaya mwingine mkahijiwa nyote wawili lakini focus ikawa kwako, La sivyo Interview yako ni pure propaganda, ni nanipulative na ni ya kutafuta kiki.

Clouds nao watumiage akili wakati mwingine wasitumike kisiasa, wanajishusha sana
Tanzania nchi ya ajabu sana: Sabaya huyu huyu ambaye clips za camera zilizomuonyesha yeye binafsi akivamia hoteli ya Aishi akimtafuta Mbowe usiku na kuteka walinzi? Sabaya huyu huyu aliyeonekana binafsi akivamia hotel huko Weruweru river lodge akitafuta kupora hela kwa nguvu na wakati mwingine kutaka kumbaka mrembo maarufu aliyefikia hapo. Hivi huyu huyu aliyeshiriki kupiga na kulawiti wapinzani wakati wa kampeni. Yule bwana wa Narumu atajitokeza haraka ikihitajika. Huyu Sabaya huyu aliyempiga risasi kijana mwenzake kwenye baa arusha na kuondoka naye kumtisha? Huyu Sabaya aliyechoma ofisi za Chadema arusha? Huyu Sabaya aliyetengeneza kikundi cha kigaidi kuwashughulikia wapinzani.NOOOOO! SSH amteue tena tuone!! Na tumuelewe vizuri SSH.
Eti clouds imempa coverage!!! stupid idiots!!
 
Akili yake ndogo! Huku Hai amemjaza mke wa Mtu mimba, alafu amemwamuru mwanaume hakuna kumwacha mke wako! Alafu kuna jamaa alifanyiwa U-sodoma na Gomora, kisha wakamdedisha!

Siasa za huyu jamaa na move zake zote ni za kijinga na kitoto sana! Kuhusu clouds, unaweza kuta wamepiga mpunga wa maana sana kufanya ile interview!
Hakuna ushaid wwowte Ni kumchafua tu mtu huyu bila ushaidi wa dhati kbsa Ni propaganda za cdm hz
 
Mwisho wa siku anaweza kuhamishwa wilaya tu, au ndio atapewa mkoa kabisa, CCM ni ile ile.
Pia anastahili nchi hi inataka watu wa kalbsa ya Sabaya na makonda ona toka makonda aachiie jiji wiz na ujambazi imekidhiri mno
 
Akili yake ndogo! Huku Hai amemjaza mke wa Mtu mimba, alafu amemwamuru mwanaume hakuna kumwacha mke wako! Alafu kuna jamaa alifanyiwa U-sodoma na Gomora, kisha wakamdedisha!

Siasa za huyu jamaa na move zake zote ni za kijinga na kitoto sana! Kuhusu clouds, unaweza kuta wamepiga mpunga wa maana sana kufanya ile interview!
KWA nini hayo yoote msipeleke kwenye vyombo vya Dola,badala yake mnabaki kuja kupiga majungu humu?
FB_IMG_1619410849412.jpg
 
Akili yake ndogo! Huku Hai amemjaza mke wa Mtu mimba, alafu amemwamuru mwanaume hakuna kumwacha mke wako! Alafu kuna jamaa alifanyiwa U-sodoma na Gomora, kisha wakamdedisha!

Siasa za huyu jamaa na move zake zote ni za kijinga na kitoto sana! Kuhusu clouds, unaweza kuta wamepiga mpunga wa maana sana kufanya ile interview!
Mwambieni kule Kikuyu alifanywa nini wakati yupo St. John's!!??
 
Hakuna ushaid wwowte Ni kumchafua tu mtu huyu bila ushaidi wa dhati kbsa Ni propaganda za cdm hz
Tatizo lipo hapo hapo kwenye itikadi za vyama, Wewe unapofushwa na uccm, kumwabudu huyo jamaa mwenye record chafu! Kama walivyo vuna wengine, huyu naye amekaribia sana kujipatia mavuno!
 
Mimi naomba sana hawa viongozi wanapokuwa wanaongea kwenye majukwaa tuwe tunawasikiliza vizuri na kwa umakini wa kipekee sana.

Mzee Mwinyi hajapewa Benz kama zawadi, bali kama msaada kutokana na umri wake, kwamba gari ile ya mwanzo aliyokuwa nayo ni ndefu kiasi na hivyo ilikuwa imeshaanza kumsumbua wakati wa kupanda na kushuka, kutokana na umri wake, na hivyo kupelekea Serikali ikaona ni busara kumbadilishia gari kwa kumpa gari fupi atakayokuwa anaweza kupanda na kushuka bila matattizo yoyote.

Possibly ile ya mwanzo na ambayo ilikuwa ni ndefu, ingeweza hata kuja kumsababihia matatizo ya kuanguka halafu kapata madhara ya kuumia viungo vya mwili wake, kitu ambacho sasa kingekuwa kibaya mno na kingehesabika kuwa ni uzembe wa hali ya juu kwa Serikali yote

Na ukizingatia kuwa umri wake unalekeera kwenye miaka 100, ingetokea kwa bahati mbaya kwamba hajabadilishiwa gari na hivyo kupelekea ajali ya kuanguka na kuumia akiwa anapanda au kushuka kwenye gari hilo, hasira sasa zingeenda kwa mama zaidi ya hizi za mpira wa miguu.

Naomba tusiwe watu wa kuwa tunawavizia vizia viongozi wetu kwa kutumia vi-loopholes visivyokuwa na maana halafu tunaanza kujrenga hoja za kuwaangushia lawama kubwa kubwa zisizostahili na kwa mambo yasiyostahili

Iwapo kama manaona kila mtu hafai kuwa Rais, wajulisheni watanzania kuwa Rais mnataka awe malaika kutoka mbinguni, mtuonyeshe yuko wapi nasi tutampigia kura kama mnavyotaka, tumuweke Ikulu awe Rais wetu

Sawa kaka, tumeelewa. Ila nilisoma sehemu kwa mujibu wa sheria Rais mstaafu huwa anabadilishiwa gari kila baada ya miaka 5 sasa iweje walipombadilishia wasimchukulie hilo la chini. Kwanini walimpa cruiser na wanajua age yake imeenda!!? Au wasaidizi wake walilipeleka hili kwenye mamlaka ila halikupatiwa ufumbuzi!!?
Kwahiyo Rais Kikwete nae wataendelea kumbadilishia na yeye kumpa hizo V8 kila baada ya miaka 5 then akifika 90 na kuendelea watampa na yeye Benz sindio[emoji2375][emoji1751]
 
Sawa kaka, tumeelewa. Ila nilisoma sehemu kwa mujibu wa sheria Rais mstaafu huwa anabadilishiwa gari kila baada ya miaka 5 sasa iweje walipombadilishia wasimchukulie hilo la chini. Kwanini walimpa cruiser na wanajua age yake imeenda!!? Au wasaidizi wake walilipeleka hili kwenye mamlaka ila halikupatiwa ufumbuzi!!?
Kwahiyo Rais Kikwete nae wataendelea kumbadilishia na yeye kumpa hizo V8 kila baada ya miaka 5 then akifika 90 na kuendelea watampa na yeye Benz sindio[emoji2375][emoji1751]
Kwa watu ambao umri umeshaenda, kuna mabadiliko ya ghafla huwa yanatokea. Unaweza ukakutana naye leo yuko hivi, kesho kutwa baada ya wiki moja ukamkuta tena amekuwa vingine. Sijui lakini ila ninachoweza kusema ni kwamba chances ni kwamba mara ya mwisho wanambadilishia gari, (kama kweli iko hivyo kama wewe ulivyosema) nadhani alikuwa bado yuko kwenye hali nzuri physiologically; hali ya kuweza kumudu kupanda na ushuka kwenye gari ndefu. Baada ya hapo tena, either all of sudden au baada ya kipindi kirefu kuwa kimepita, ndiyo sasa wakabaini tena kile kilichopelekea tujadili haya tunayoyajadili humu sasa hivi. Maelezo yangu haya siyo theory, ni hypothesis. Wanaohusika naye ndiyo wanaijua theory yake kiusahihi. Mind you, there is always a first kwa kila jambo, na si kila mtu huwa ana uwezo wa ku-synchronize correctly na first time ya kila tukio.
 
Huyu mamadnu hamna kitu, hakuna mtenda baya wakati wa jiwe ataachwa bali wataamishwa tu vituo vya kazi, ndivyo alivyojionyesha Rais wetu,.

Dotto James
Biswalo

Hao ni baadhi
 
Back
Top Bottom