Ushawishi wake utoke wapi? Alijiuzulu uwaziri mkuu kwa aibu kubwa sana na hadi leo anaendeela na scandal zake huko UKAlikuwa mhuni miaka ya nyuma. Usikariri tukio moja la zamani ukalihusisha na jingine la miaka ya sasa. Kila mtu anao ujanja wa kuongea na mtu mwingine, anao ushawishi wake usiofanana na wa mwingine.
FB inahusu African political forumPage ipi chief can u reffer
😁😁 Walaumuni ndg zenu Sailesh Vithlani,Tanil Somaiya kwa kuwaingiza Chaka.Mkuu Tony Blair ndio alihusika na kuiuzia Tanzania radar kwa ufisadi, Hadi ikapelekea wabunge wa uingereza kuingilia Kati.
Blair alikuja kujiuzulu nafasi zake zote kutokana na madudu aliyofanya akiwa waziri mkuu.
Blair aliwahi pia kukosana na Tz kwa sababu alituuzia radar kifisadi
Blair ana akili kubwa? Mwezi huu tu mwanzoni huko UK wametoka kumtukana kwa kukwepa kodiCovid-19. and trades adviser,whats wrong with that?....!,zama za mismamo ya kina MUGABE zimeshapita,Tuko kwenye Dunia ingine kabisa,yenye kuitaji akili kubwa zaidi,shut to SABC.
Mama si anaupiga mwingi eti bhana?aisee huyo mtu ameliweka uchi taifa letu.
Wenzetu kujiuzulu Ni kawaida tu Wala sio big deal,hata bongo Mwinyi aliwahi kujiuzulu uwaziri wa mambo ya ndani na akaja kua rais.Ushawishi wake utoke wapi? Alijiuzulu uwaziri mkuu kwa aibu kubwa sana na hadi leo anaendeela na scandal zake huko UK
Mwaka juzi alinunua jengo huko UK akakwepa kodi
Hata Mimi nilishangaa mtu aliyetuuzia Rada kwa Bei mbaya Tena viongozi wetu wakapewa rushwa, waziri wake alijiuzulu kwa kuona tunavyopigwa.Kuna tatizo kubwa kama Mkuu wa nchi atakuwa na washauri peke yao walioelimishwa kwa fedha za multilateral institutions au taasisi za magharibi!!! Mlengo wao mara nyingi sio kuwa independent thinkers bali to always lean towards western interests na sio interests za nchi zao!!! Ni vema kama kiongozi akiwa na jopo [ diversity] la washauri hasa kwenye mambo ya uchumi kuliko kumtegemea kiumbe mmoja!!
Kuhusu uteuzi wa Tony Blair, mimi binafsi sina tatizo kutegemeana na nchi inataka nini kutokana na uteuzi huo. Katika miaka hii ya utawala wa Magufuli nchi yetu haikuwa na uhusiano mzuri na mataifa mengi hasa ya Ulaya na Marekani; hivyo ikaonekana kutokana na historia ya huko nyuma enzi za Mkapa, mtu pekee ambae anaifahamu vizuri nchi yetu na angeweza kutusaidia kurudisha uhusianao mzuri na nchi za nje ili kupata misaada hasa wa kupambana na covid 19 ni taasisi ya Tony Blair.
Tukumbuke kuwa huko nyuma akiwa Waziri Mkuu enzi ya Mkapa nchi yetu ilikuwa na ludo la madeni ya nje na ni huyu huyu Tony Blair aliyetusaidia kuwashawishi wadeni wetu kupunguza na hata kuyafuta madeni na nchi ikapata afueni. Ni kufuatana na historia hiyo na matatizo tuliyonayo na covid 19 ndio maana ikaonekana kuwaomba taasisi ya Tony Blair kutusaidia ni jambo la busara. Tukumbuke pia kuwa hizi chanjo za covid19 zinapatikana hasa kwenye nchi zilizoendelea na hasa marekani hivyo tunahitaji mtu anayekubalika na BIDEN iili kupata hizo chanjo!!!!
Tanzania sio nchi pekee ya Africa inayomtumia Tony Blair kwa ushauri. Majirani zenu wa Rwanda wamekuwa wanamtumia kwa muda mrefu sasa na wana matokeo mazuri
Hakuna mwanadamu ambaye yupo perfect kwa 100%.Blair ana akili kubwa? Mwezi huu tu mwanzoni huko UK wametoka kumtukana kwa kukwepa kodi
Namkumbuka vizuri tu, yeye pamoja na Gordon brown walimueleza tony Blair kuhusu ilo suala la radar na wakashauri waliache. Ila blair alikataa sababu kulikuwa na maslahi yake, Sasa Kama alishauriwa kwa nini alikataa huo ushauri?Usiniambie nilikuwa nursery, wewe unamkumbuka Claire Short mbunge wa labour aliyelivalia njuga hili suala la RADAR akaja mpaka Dar? Tony Blair has intergrity sio muhuni ila pengine kulikuwa na wahuni ndani ya serikali yake;na ndio maana hata aliweza kukili makosa ya IRAQ invasion. WHO ELSE WOULD YOU RECOMMEND TO GET US VACCINATIONS FROM BIDEN IF NOT TONY BLAIR?
Kwani yeye Mh. Tony Blair alitulazimisha kununua hiyo rada?
cc: Bulesi
Kama hao ndio wa kulaumu, ilikuwaje bunge la uingereza likamshutumu Blair na hadi mwana mama Clare short alikuja Tanzania.[emoji16][emoji16] Walaumuni ndg zenu Sailesh Vithlani,Tanil Somaiya kwa kuwaingiza Chaka.
mataga pori vipi ukivaa shati la kijani haukatwi tozo??? 🤣 🤣 🤣Mama si anaupiga mwingi eti bhana?
Sasa Kama viongozi wa nchi yetu walishiriki kwny mgao wa pesa sisi wanyonge tufanye Nini?Kama hao ndio wa kulaumu, ilikuwaje bunge la uingereza likamshutumu Blair na hadi mwana mama Clare short alikuja Tanzania.
Yaani tulisubiri Hadi wabunge wa uingereza kututetea kwenye kuibiwa radar, sisi wenyewe tunaona sawa.
Ni picha ya hivi karibuni,Raisi wetu akiwa kwenye Royal tour.Hii picha ya mwaka gani mbona ina utata?
Kichwa cha rais wetu kinahitaji kufanyiwa formating upya! Tayari kichwani ana contents ya hovyo kabisa na haya ni matatizo ya elimu ya hapa na pale.Hatari sana kujiweka Rehani.
Awamu ya Sita tunawategemea wazungu kwa kiasi kikubwa.