SABC washangaa Rais Samia kumteua Tony Blair kuwa mshauri wake

SABC washangaa Rais Samia kumteua Tony Blair kuwa mshauri wake

Alafu unataka kusema wote waliopata chanjo walimtumia Blair kuzipata? Acha hizo

Kumbuka nchi za kiafrika nyingi zilianza kupata msaada toka WHO wakati nyinyi na Jiwe wenu mlikuwa mnajifukiza NYUNGU!! Sasa mmezinduka baada ya JIWE kutwaliwa ni lazima mkimbie ili muweze kunusulika na kuchelewa kwenu na ndio maana akili kubwa ikatafuta mtu anaeweza kumuingia BIDEN na kufanikisha hilo!!! Rwanda wanamtumia Blair, unaona Mafanikio yao wewe bwege unaeniita mimi mtoto wa nursery?
 
Heeh ingekuwa hivyo bunge la UK lisingemuajibisha, kwa kuwa hakuna binadamu perfect
Sasa mkuu unadhani Ni Kama hili Bunge letu ambalo Rais(Magu) anakwambia Ndungai(Mkuu wa mhimili mwingine) eti wewe wabane huko bungeni huku nje niachie Mimi,tena anaongea hadharani kabisa?Hapo Kuna Bunge au rubber stamp?

Huko nje ndio Kuna mabunge Sasa,sisi huku Ni mizaha.
 
Kumbuka nchi za kiafrika nyingi zilianza kupata msaada toka WHO wakati nyinyi na Jiwe wenu mlikuwa mnajifukiza NYUNGU!! Sasa mmezinduka baada ya JIWE kutwaliwa ni lazima mkimbie ili muweze kunusulika na kuchelewa kwenu na ndio maana akili kubwa ikatafuta mtu anaeweza kumuingia BIDEN na kufanikisha hilo!!! Rwanda wanamtumia Blair, unaona Mafanikio yao wew bwege unaeniita mimi mtoto wa nursery?
Mkuu Burundi pia walikuwa Kama Tz, mwanzo walizikataa. Ila mbona hawakumtumia Blair kupata tena hizo chanjo?
Unaitolea mfano Rwanda kwenye nini? Be specific ili twende sawa, wewe ni mtoto wa nursery. Leo nakupa shule bure.
 
Tusiseme SABC bali tumlenge huyo Mama mwenye hoja. Sioni shida kupata ushauri kutoka kwa world reknown PR guru juu ya COVID 19 stance and other international relations issues especially kwa nchi ambayo 5 years ilichafuka kidiplomasia.

Whether Tony Blair aliunga mkono vita vya Ghuba kwa kumsapoti USA hilo ni suala jingine na halimfanyi asiwe consultant mzuri kwenye firm yake.

Lastly SA wana matatizo makubwa sana ya uchumi kuwa mikononi mwa weupe wachache, huku wao wanishia kuwa walevi na wavivu. At the same time migrant labour toka Zimbbwe, Mozambique na nchi zingine za kusini wakipata kazi na kutajirika wanawachukia na kuwafukuza au kuwaua.
Una udhaifu wa reasoning. Nchi gani ya Afrika hii itakuona wewe ni wa maana kwa kuwa na mshauri wa uingereza? Ina maana Tanzania hii hakuna mtu wa kumshauri juu ya mambo rahisi kama hayo! Huyu Blair si ndiye ametajwa juzi kwa ukwepaji kodi? He is morally and ethically dead!
Matatizo ya SA unayoeleza ni kama unatuonesha kwamba SA unaijua lakini, hayana uhusiano ya uzembe wa rais wetu.
 
Sasa mkuu unadhani Ni Kama hili Bunge letu ambalo Rais(Magu) anakwambia Ndungai(Mkuu wa mhimili mwingine) eti wewe wabane huko bungeni huku nje niachie Mimi,tena anaongea hadharani kabisa?Hapo Kuna Bunge au rubber stamp?

Huko nje ndio Kuna mabunge Sasa,sisi huku Ni mizaha.
Ona unavyojichanganya, wewe ulisema Blair hausiki. Ndio nikakuambia Kama hausiki bunge lisingemuwajibisha
 
Wapi nimesema viongozi wetu hawakushiriki? Nimesema walishiriki oamoja na Blair, wewe ndio unakataa
Ndio imeisha hio,komaeni na BAE Systems huyo Blair hamna Cha kumfanya zaidi ya kulia Lia tu mkuu.
 
Ona unavyojichanganya, wewe ulisema Blair hausiki. Ndio nikakuambia Kama hausiki bunge lisingemuwajibisha
Si unaona kichwa yako ilivyo na shida,Blair aliwajibishwa kwa sababu ya Scandal ya radar ya Tz?
 
Uchambuzi mzuri unaoonyesha dalili zote za mtu aliyesoma halafu akaelimika. Nakuombea Mama akukumbuke siku moja hata kwenye post ya ubalozi mdogo ili ukasaidiane na Balozi wetu huko New York City
Like dissolves like! Ukiwa hujui, unawasifu wenzako wasiojua. FINITO!
 
Ukitumwa mambo ya kipuuzi kataa hata kama ni mjumbe yasije yakakupata ya OLE SABAYA!!!
Ndio maana nakuambia wewe ni mtoto wa nursery.
Huna unalojua, Ila ntakupa elimu bure kabisa
 
Kuna tatizo kubwa kama Mkuu wa nchi atakuwa na washauri peke yao walioelimishwa kwa fedha za multilateral institutions au taasisi za magharibi!!! Mlengo wao mara nyingi sio kuwa independent thinkers bali to always lean towards western interests na sio interests za nchi zao!!! Ni vema kama kiongozi akiwa na jopo [ diversity] la washauri hasa kwenye mambo ya uchumi kuliko kumtegemea kiumbe mmoja!!

Kuhusu uteuzi wa Tony Blair, mimi binafsi sina tatizo kutegemeana na nchi inataka nini kutokana na uteuzi huo. Katika miaka hii ya utawala wa Magufuli nchi yetu haikuwa na uhusiano mzuri na mataifa mengi hasa ya Ulaya na Marekani; hivyo ikaonekana kutokana na historia ya huko nyuma enzi za Mkapa, mtu pekee ambae anaifahamu vizuri nchi yetu na angeweza kutusaidia kurudisha uhusianao mzuri na nchi za nje ili kupata misaada hasa wa kupambana na covid 19 ni taasisi ya Tony Blair.
Tukumbuke kuwa huko nyuma akiwa Waziri Mkuu enzi ya Mkapa nchi yetu ilikuwa na ludo la madeni ya nje na ni huyu huyu Tony Blair aliyetusaidia kuwashawishi wadeni wetu kupunguza na hata kuyafuta madeni na nchi ikapata afueni. Ni kufuatana na historia hiyo na matatizo tuliyonayo na covid 19 ndio maana ikaonekana kuwaomba taasisi ya Tony Blair kutusaidia ni jambo la busara. Tukumbuke pia kuwa hizi chanjo za covid19 zinapatikana hasa kwenye nchi zilizoendelea na hasa marekani hivyo tunahitaji mtu anayekubalika na BIDEN iili kupata hizo chanjo!!!!

Tanzania sio nchi pekee ya Africa inayomtumia Tony Blair kwa ushauri. Majirani zenu wa Rwanda wamekuwa wanamtumia kwa muda mrefu sasa na wana matokeo mazuri
Kwanza unamuelewa Tonny Blair ni nani? Hakuwa kiongozi mzuri unapozungumzia mambo ya Afrika na hasa nchi za SADC, Tanzania ikiwa ni sehemu yake. Ndiye mtu ambaye aliingiza mkenge UK kuifuata US ya Clinton na US ya Bush hadi kuivamia Iraq bila sababu. Hakuwa na independent mind hadi akaitwa Tonny Brinton kwa jinsi alivyokuwa anamfuata Clinton kwa kila jambo.

Akahamia kwa Bush hadi akaambiwa kama Bush ni mbwa, basi Blair ni mkia wa mbwa. Kwa ujumla usimpe sifa labda kama wewe ni mfuasi wa wazungu. Hakuwa kiongozi mwenye akili kama sisi na Kikwete wetu.
 
Mnaonaje nchii ikauzwa alaf kilammoja akakatiwa chake akatafta kwakwenda
 
Back
Top Bottom