Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyu jamaa anaakili sana yani
Hana lolote anatumia utumbo kufikiriKma mimi ndo nafanya vetting basi this hyu anafaa kuwa askari mkuu wetu.
Mnafiki tu huyu, ndio alisema CCM isichezeweHuyu mzee ana akili sana aiseee
MUNGU ambariki sana.
Amekuteka kirahisi hivyo kumbe. Lakini sishangai, huo ni ushahidi kuwa amefuzu mafunzo. Hawa ni walewale, hana tofauti na Siro, Mahita na wengine ambao umewahi kuwasikia.Kma mimi ndo nafanya vetting basi this hyu anafaa kuwa askari mkuu wetu.
Huyu umri umeenda! ana miaka zaidi ya 60 namfahamu toka utotoni! asije akafoji umri bure mshenxi. Halafu linoko kuliko sirro hili.
Nmeona video yake ya zamanMnafiki tu huyu, ndio alisema CCM isichezewe
Mimi pia nilisema hivi IGP si huyu,,, kumbe ni linafiki moja la hatari sana.Nmeona video yake ya zaman
Aiseee unaweza kusema ni watu wawili tofauti
Sijui kuna shida gani nchini.
HIVII HUYU AFANDE bado yupo kwelii?? kama yupo basi nashauri APEWE nafasi ya IGP ataimudu
Neno jema haliwezi toka Nazareth sioHumjui huyo wewe. Yaani huyo ni potato kuliko maelezo. Ni wa hovyo sana huyo. Hapo ilitokea tu kama moja ya siku nzuri maishani mwake
Kama amekubali kubadilika na kuachana na upolisi wa kikoloni ni kheriHumjui huyo wewe. Yaani huyo ni potato kuliko maelezo. Ni wa hovyo sana huyo. Hapo ilitokea tu kama moja ya siku nzuri maishani mwake
Yupo wapi kwa sasa huyuHumjui huyo wewe. Yaani huyo ni potato kuliko maelezo. Ni wa hovyo sana huyo. Hapo ilitokea tu kama moja ya siku nzuri maishani mwake
Humjui huyo wewe. Yaani huyo ni potato kuliko maelezo. Ni wa hovyo sana huyo. Hapo ilitokea tu kama moja ya siku nzuri maishani mwake