Sad News: The Weeknd, Diamond, Rayvanny na Zuchu GRAMMY hawajapata haki yao

upinzani nchi hii hautakufa kwa sababu hakuna chadema. wala chadema haitakufa kwa kufukuza watu 19. upinzani hauwezi kufa kamwe kwa sababu ccm haina mawazo ya kuongoza nchi. ni hajuza. kizee. haina uwezo wa kufanya lolote mbali na kutumia maguvu na hujuma.
 
Kwahiyo ulikua unasubiri DIAMOND achukue grammy we kweli ni fangasi
Huyu shosti kigoma independent anasema chuchu ni level Moja na the weekend
Hadi mwaka huu the weekend ana utajiri wa pesa za kitanzania bilioni 200, tuzo alizochukua the weekend ni nyingi mno za kimataifa, tena kubwa, sasa chuchu na dai kulinganishwa level Moja na huyu jamaa sijui ndio mahaba Niue dai
 
Hapo kwa Master KG nakuunga mkono, Dunia nzima inamkubali mwaka huu. Wao wampe tu huyo Burna Boy wao.
 
Alafu wewe bhana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hivi unachukuliaje grammy? Unadhani ni kili awards zile! Hata km unapenda wasafi sio hivyo
 
Wakalishe mananii yao sasa,
 
Nimecheka ila inno wee soon utakua chizi lol, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Grammy sio Wasafi festival, jishikilie wee mtu khaaaah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…