Sadaka ya kujimaliza ya kwa Mwamposa inatia watu umasikini

Sadaka ya kujimaliza ya kwa Mwamposa inatia watu umasikini

kuna mke wa mtu huko kigamboni dar es salaam alipewa ahifadhi milioni kumi 10 ya maendeleo, mwanamke akaenda kujimaliza na milioni 10 kwa mwamposa, mumewe alipoitaka pesa akaambiwa nimejimaliza baada ya siku tatu ntarudishiwa, jamaa akafura kama Mamba, akazama kwa mwamposa akapiga bonge la mkwara akarudishiwa pesa yake, ni habari very recent
Hata ningekuwa Mimi, siku hiyo pangechimbika.
 
Leo nilipanda gari kariakoo naelekea mikocheni Kuna pisi Moja ni Kali nilikaa nayo.Halafu anaonekana ni muelewa Kwa maana sio mshamba hata chembe.Basi akaniuliza kaka hii gari inafika Kwa mwamposa nkamjibu ndo inapoishia akafurahi,Basi nilimuonea huruma nikakosa Cha kumshauri.

Ulitaka umshauri Uzinzi/Zinaa.
 
Na chakushangaza hao ndio watu wengi hapa nchini,yani kati y watu 61Million labda 50M wako hivyo.
 
kuna mke wa mtu huko kigamboni dar es salaam alipewa ahifadhi milioni kumi 10 ya maendeleo, mwanamke akaenda kujimaliza na milioni 10 kwa mwamposa, mumewe alipoitaka pesa akaambiwa nimejimaliza baada ya siku tatu ntarudishiwa, jamaa akafura kama Mamba, akazama kwa mwamposa akapiga bonge la mkwara akarudishiwa pesa yake, ni habari very recent
Alitakiwa amuache huyo mwanamke....

Wanawake wanaamini sana wachungaji na waganga
 
Huyu jamaa ni mhuni sana. Mbona yeye hajimaliza lakini anawahimiza waumini zake tu ndio wajimalize? Watu wanaangamia kwa kukosa maarifa.
 
Juzi Bi. mkubwa wangu kanitembelea nyumbani, sasa yeye ni mmoja wa waumini wa kwa Mwamposa.

Baada ya salamu za hapa na pale akaomba awekewe channel ya Mwamposa aangalie ibada.

Wakati tukiangalia kulikuwa ni kipindi cha sadaka, kilichonishanga ni hii sadaka ya kujimaliza yaani toa chote ulichonacho ili ubarikiwe zaidi.

Nikamuuliza Bi mkubwa na wewe huwa unajimaliza? Akanijibu ndio kuna siku nilijimaliza nikakosa mpaka nauli nikachoka.
Majinga hayo acha yapigwe.

Mengine si hameambiwa yaoane mawanaume huko

Dini zenu hizo ni upuuzi
 
kwani walitumwa? ayamalize tu shubaamiti zao yani watu wanaacha imani za ukweli wanaenda kutafuta miujiza kwa awasanii wauza mafuta, wapigwe tu maana hakuna namna sasa, shenzy kabisa hao.
 
Juzi Bi. mkubwa wangu kanitembelea nyumbani, sasa yeye ni mmoja wa waumini wa kwa Mwamposa.

Baada ya salamu za hapa na pale akaomba awekewe channel ya Mwamposa aangalie ibada.

Wakati tukiangalia kulikuwa ni kipindi cha sadaka, kilichonishanga ni hii sadaka ya kujimaliza yaani toa chote ulichonacho ili ubarikiwe zaidi.

Nikamuuliza Bi mkubwa na wewe huwa unajimaliza? Akanijibu ndio kuna siku nilijimaliza nikakosa mpaka nauli nikachoka.
"Toa ndugu toa ndugu ulichonacho weweeee, bwana anakuonaaaa mpaka moyoni kwakooo"

Yupo Mungu, ambae anaangalia kila kitu unachokifanya, ukikosea, anaweka rekodi, ili aje hakuadhibu siku moja, ila ili umpendeze, inabidi utoe pesa/sadaka kwake, aaah no kwa wawakilishi wake, ! !!!
 
Jamaa anawakamuaaaa mpaka mpaka anawatoa maji

Ova
 
kuna mke wa mtu huko kigamboni dar es salaam alipewa ahifadhi milioni kumi 10 ya maendeleo, mwanamke akaenda kujimaliza na milioni 10 kwa mwamposa, mumewe alipoitaka pesa akaambiwa nimejimaliza baada ya siku tatu ntarudishiwa, jamaa akafura kama Mamba, akazama kwa mwamposa akapiga bonge la mkwara akarudishiwa pesa yake, ni habari very recent
Hahahah Mkuu Mamba huwa anafura vipi?
 
Hahahah Mkuu Mamba huwa anafura vipi?
Juzi Bi. mkubwa wangu kanitembelea nyumbani, sasa yeye ni mmoja wa waumini wa kwa Mwamposa.

Baada ya salamu za hapa na pale akaomba awekewe channel ya Mwamposa aangalie ibada.

Wakati tukiangalia kulikuwa ni kipindi cha sadaka, kilichonishanga ni hii sadaka ya kujimaliza yaani toa chote ulichonacho ili ubarikiwe zaidi.

Nikamuuliza Bi mkubwa na wewe huwa unajimaliza? Akanijibu ndio kuna siku nilijimaliza nikakosa mpaka nauli nikachoka.
Hapa duniani wajinga ni wengi sana kuliko werevu
 
Yani unaambiwa, ukijaribu kuwaelimisha...ni kama umeanzisha vita kuu ya tatu ya dunia. Bi Mkubwa mwenyewe alikuwa anatuma ma dola kwa T.B....saa hivi hilo liteni linavyompiga chenga, anakaaga kuuliza "hivi ni nini kimenipata?" (Yani na hapo, akipata tu, utaskia kachomoa sadaka ya shukrani)
Ufuasi Dini hauna tofauti na madawa ya kulevya
 
kuna mke wa mtu huko kigamboni dar es salaam alipewa ahifadhi milioni kumi 10 ya maendeleo, mwanamke akaenda kujimaliza na milioni 10 kwa mwamposa, mumewe alipoitaka pesa akaambiwa nimejimaliza baada ya siku tatu ntarudishiwa, jamaa akafura kama Mamba, akazama kwa mwamposa akapiga bonge la mkwara akarudishiwa pesa yake, ni habari very recent
Dah majamaa waliona itakuwa soo
 
Back
Top Bottom