Mburia
JF-Expert Member
- Jul 15, 2022
- 2,369
- 3,488
Hivi Yesu alikuwa anachangisha waumini wake na kuishi kwa anasa kama hawa wa sasa?Natoa Rai kuw msingatieni Sana mwamposa msimpuuze Kuna kitu ndani yake ambayo wengi hawana
Mm Sina neno nao Kama Ni wa mungu bas sawa Kam si nabii wake ni tapeli ila nijuacho mm anakitu ndani yake
Shuhuda zake azielezeki maelfu humfata je Ni Nani huyu