Sadaka ya kujimaliza ya kwa Mwamposa inatia watu umasikini

Sadaka ya kujimaliza ya kwa Mwamposa inatia watu umasikini

Focus kubwa IPO kwenye miujiza baada ya kuhubiri ufalme wa mbinguni.
Mara keki, chumvi sijui ushumbwada Gani huko hiyo yote ni kutaka big results now.
Watajimaliza sana TU kwa upuuzi wao.
 
Mchungaji wa kanisani kwetu👇😁😁😁
XgAEiV7Kjc.jpeg
 
Karibu madhabahu ya Dokta mtume na nabii Mwamposa ule keki ya upako na ukanyage mafuta...tupo kwenye opareshen komboa familia.

Acha kulia anza kuamini.

#MaendeleoHayanaChama
😁😁 kwq mwamposa kuna pisi kali hadi sasa nimetafuta pisi tatu
 
Karibu madhabahu ya Dokta mtume na nabii Mwamposa ule keki ya upako na ukanyage mafuta...tupo kwenye opareshen komboa familia.

Acha kulia anza kuamini.

#MaendeleoHayanaChama
Vipi mlienda Bukoba kusaidiana na akina Majaliwa kuwaokoa wahanga?
 
kuna mke wa mtu huko kigamboni dar es salaam alipewa ahifadhi milioni kumi 10 ya maendeleo, mwanamke akaenda kujimaliza na milioni 10 kwa mwamposa, mumewe alipoitaka pesa akaambiwa nimejimaliza baada ya siku tatu ntarudishiwa, jamaa akafura kama Mamba, akazama kwa mwamposa akapiga bonge la mkwara akarudishiwa pesa yake, ni habari very recent
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Aiseeee akarudishiwa???
 
Juzi Bi. mkubwa wangu kanitembelea nyumbani, sasa yeye ni mmoja wa waumini wa kwa Mwamposa.

Baada ya salamu za hapa na pale akaomba awekewe channel ya Mwamposa aangalie ibada.

Wakati tukiangalia kulikuwa ni kipindi cha sadaka, kilichonishanga ni hii sadaka ya kujimaliza yaani toa chote ulichonacho ili ubarikiwe zaidi.

Nikamuuliza Bi mkubwa na wewe huwa unajimaliza? Akanijibu ndio kuna siku nilijimaliza nikakosa mpaka nauli nikachoka.
My people are destroyed by the lack of knowledge Hosea 4 :6.
Waroma 16:18
Maana watu wa namna hiyo hawamtumikii Kristo Bwana wetu, bali wanayatumikia matumbo yao wenyewe. Kwa maneno yao matamu na hotuba za kubembeleza hupotosha mioyo ya watu wanyofu.
 
Karibu madhabahu ya Dokta mtume na nabii Mwamposa ule keki ya upako na ukanyage mafuta...tupo kwenye opareshen komboa familia.

Acha kulia anza kuamini.

#MaendeleoHayanaChama
Mnapenda kujipa vyeo nyie mkuhani feki dk,nabii,mtume😆🙌
 
kuna mke wa mtu huko kigamboni dar es salaam alipewa ahifadhi milioni kumi 10 ya maendeleo, mwanamke akaenda kujimaliza na milioni 10 kwa mwamposa, mumewe alipoitaka pesa akaambiwa nimejimaliza baada ya siku tatu ntarudishiwa, jamaa akafura kama Mamba, akazama kwa mwamposa akapiga bonge la mkwara akarudishiwa pesa yake, ni habari very recent
Huyo mume aishi Maisha marefu
 
Naamini iko siku serikali yetu itamchukulia,hatua huyu mchungaji sijui Nabii! Kwani sasa kaingia kwenye utapeli kwa kujificha kwenye Neno la Mungu, au afanye ziara Rwanda akakutane na mkono wa Chuma wa Kagame
 
Juzi Bi. mkubwa wangu kanitembelea nyumbani, sasa yeye ni mmoja wa waumini wa kwa Mwamposa.

Baada ya salamu za hapa na pale akaomba awekewe channel ya Mwamposa aangalie ibada.

Wakati tukiangalia kulikuwa ni kipindi cha sadaka, kilichonishanga ni hii sadaka ya kujimaliza yaani toa chote ulichonacho ili ubarikiwe zaidi.

Nikamuuliza Bi mkubwa na wewe huwa unajimaliza? Akanijibu ndio kuna siku nilijimaliza nikakosa mpaka nauli nikachoka.
Africa
 
Wanahubiri sadaka kuliko kumpendeza mungu
Niliwahi forciwa wakati fulani na B mkubwa kwenda kwenye mahubiri ya Jamaa, saaa mimi ikabidi nibebe bible ndogo, na lengo ni kwamba anapo tanka kitabu fulani basi nisome, Day ya kwanza hakuna sehemu alitamka Fungu zaidi ya yeye kufika na kuanza kuita watu watoe ushuhuda, nikajisemea labda ratiba ndo iko hivgo, Day 2 pia hivyo hivyo, nikajikaza nikaenda day 3 navyo hivyo, tangu siku hio sikwahi kanyaga kwa jamaaa tena. Siku tatu hakuna kusoma fungu,
 
Back
Top Bottom