Sadaka ya kujimaliza ya kwa Mwamposa inatia watu umasikini

Sadaka ya kujimaliza ya kwa Mwamposa inatia watu umasikini

Juzi Bi. mkubwa wangu kanitembelea nyumbani, sasa yeye ni mmoja wa waumini wa kwa Mwamposa.

Baada ya salamu za hapa na pale akaomba awekewe channel ya Mwamposa aangalie ibada.

Wakati tukiangalia kulikuwa ni kipindi cha sadaka, kilichonishanga ni hii sadaka ya kujimaliza yaani toa chote ulichonacho ili ubarikiwe zaidi.

Nikamuuliza Bi mkubwa na wewe huwa unajimaliza? Akanijibu ndio kuna siku nilijimaliza nikakosa mpaka nauli nikachoka.
Siku zote wajinga ndiyo waliwao. Mjanja kama mimi siwezi kujimaliza kwa huyo Mwamposa, hata kwa shilingi ya Mkoloni!
 
Juzi Bi. mkubwa wangu kanitembelea nyumbani, sasa yeye ni mmoja wa waumini wa kwa Mwamposa.

Baada ya salamu za hapa na pale akaomba awekewe channel ya Mwamposa aangalie ibada.

Wakati tukiangalia kulikuwa ni kipindi cha sadaka, kilichonishanga ni hii sadaka ya kujimaliza yaani toa chote ulichonacho ili ubarikiwe zaidi.

Nikamuuliza Bi mkubwa na wewe huwa unajimaliza? Akanijibu ndio kuna siku nilijimaliza nikakosa mpaka nauli nikachoka.
Demi Hii sadaka ya kujimaliza najileta kwako kujimaliza mzima mzima.
Nauza nyumba
 
Juzi Bi. mkubwa wangu kanitembelea nyumbani, sasa yeye ni mmoja wa waumini wa kwa Mwamposa.

Baada ya salamu za hapa na pale akaomba awekewe channel ya Mwamposa aangalie ibada.

Wakati tukiangalia kulikuwa ni kipindi cha sadaka, kilichonishanga ni hii sadaka ya kujimaliza yaani toa chote ulichonacho ili ubarikiwe zaidi.

Nikamuuliza Bi mkubwa na wewe huwa unajimaliza? Akanijibu ndio kuna siku nilijimaliza nikakosa mpaka nauli nikachoka.
Akili za waumini wa Mwamposa wanazijua wenyewe mkuu. Hata mimi nilishangaa sana jinsi huyu jamaa anavyowadanganya akina mama watoe pesa zote halafu wanabaki kuwa ombaomba mitaani. Inasikitisha sana,
 
Watu kama hao huku tuna wachapa fimbo kweli unaweza ukawa na elimu lakini uiselimike
 
Come this way pls...😅😅
Halafu waumini wa haya makanisa ni wabishiiii, jaribu kuwaelimisha uone
Wanajimaliza haswaaa.
Kuna jamaa ananiambia baba yake aliuza shamba akajimaliza huko. Mzee karudi hukoo alikozaliwa anamalizia maisha yake.

Nakujhaaa
 
Wanajimaliza haswaaa.
Kuna jamaa ananiambia baba yake aliuza shamba akajimaliza huko. Mzee karudi hukoo alikozaliwa anamalizia maisha yake.

Nakujhaaa
Wanakuaga kama wamepumbazwa akili. Huwaambii kitu hadi aje kushtuka it's too late
 
Yani unaambiwa, ukijaribu kuwaelimisha...ni kama umeanzisha vita kuu ya tatu ya dunia. Bi Mkubwa mwenyewe alikuwa anatuma ma dola kwa T.B....saa hivi hilo liteni linavyompiga chenga, anakaaga kuuliza "hivi ni nini kimenipata?" (Yani na hapo, akipata tu, utaskia kachomoa sadaka ya shukrani)
Shida ni kukosa maarifa ya Neno la Mungu... Pia mambo ya kutaka miujiza....
 
Yaani bhana, juzi alikuwa hapa Tabora, kwenye sadaka, aliyekuwa anatoa Chini ya elfu kumi,haombewi, yaani kakusanya hela kwa wajinga balaa
Mkuu siyo wajinga ila huwezi jua wanapitia magumu gani kwenye maisha yao wengine wamekata tamaa kutafuta tiba mahospitali ni.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Uzuri ni mwafrika mwezetu..ana ndugu kibao mbeya..mali zitabaki hapa hapa bongo...kuliko kuzipeleka kwa wazungu au waarabu.

#MaendeleoHayanaChama
Ila wewe jamaa bhana[emoji3] Mbn unakuwa kama Konda unawadanganya wenzako kama upo nao pamoja wakishapanda gari wewe unaenda grocery kuvuta sigara kusubiria gari ijae[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Yaani mtu akikufuata wewe kapotea huku anajiona maana unashawishi huku kichwani unajua kinachoendelea[emoji16][emoji16]

#Maendeleo yana Chama....
 
Uislamu ni dini ya waarabu ndio mana mafundisho yao yamejaa chuki..husuda..unafiki na mauaji.

Njoo ukanyage mafuta na kula keki ya upako upate ukombozi kamili huku ukitoa sadaka ya kujimaliza.

#MaendeleoHayanaChama
Hivi kukanyaga mafuta nayo ni mafundisho ya Yesu au ni maendeleo ya Ukristo.
 
Natoa Rai kuw msingatieni Sana mwamposa msimpuuze Kuna kitu ndani yake ambayo wengi hawana

Mm Sina neno nao Kama Ni wa mungu bas sawa Kam si nabii wake ni tapeli ila nijuacho mm anakitu ndani yake
Shuhuda zake azielezeki maelfu humfata je Ni Nani huyu
Hata ccm inajulikana wazi ni chama cha hovyo lakini kina wafuasi mamilioni hapa nchini, sembuse huyo anaegusa imani za watu.

Si jambo kubwa kua na wafuasi wengi mkuu, ni ujanja wako tu kucheza na akili za watu.
 
Back
Top Bottom