Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uislamu ni dini ya waarabu ndio mana mafundisho yao yamejaa chuki..husuda..unafiki na mauaji.Inanikumbusha filamu ya kinaigeria Kuna muhubiri Fulani alikuwa hivyoo anahama mikoa na mikoa anafilisi watu hadi Kuna siku akauwawa nyumbani kwake kosa ni kuchukua Mali za watu maelfu ya waislamu kosa mafuta ya upako wamebadilisha dini
Unashindwa nini kuwafundisha..mwamposa akiwafundisha mnaanza nongwa.Watu wanatakiwa wapewe elimu nzuri kuhusu sadaka,Zaka na malimbuko bila kusahau fungu la kumi,lasivyo umaskini utagonga hodi
Na wife lazima abki Kwa mwamposa ajimalize vizurikuna mke wa mtu huko kigamboni dar es salaam alipewa ahifadhi milioni kumi 10 ya maendeleo, mwanamke akaenda kujimaliza na milioni 10 kwa mwamposa, mumewe alipoitaka pesa akaambiwa nimejimaliza baada ya siku tatu ntarudishiwa, jamaa akafura kama Mamba, akazama kwa mwamposa akapiga bonge la mkwara akarudishiwa pesa yake, ni habari very recent
Wao wanasema wapo tofauti na madhehebu ya Katoliki, Lutheran, wao wana wapa Elimu ya kiuchumi na ndoa na tiba, tofauti na wakatolikiUmemaliza.
Siku ukianza kuwaamini mitume feki jua umejimaliza.
Mtu asiyekemea dhambi wala kufundisha wokovu...huyo ni mtumishi fake.
Lazima mtumishi wa Mungu ahubiri kumpenda Mungu na kuacha dhambi
Nadhani wewe ndio wa kuonea huruma..hujui watu wanapata uponyaji kwa MWAMPOSA.Leo nilipanda gari kariakoo naelekea mikocheni Kuna pisi Moja ni Kali nilikaa nayo.Halafu anaonekana ni muelewa Kwa maana sio mshamba hata chembe.Basi akaniuliza kaka hii gari inafika Kwa mwamposa nkamjibu ndo inapoishia akafurahi,Basi nilimuonea huruma nikakosa Cha kumshauri.
Acha dharau..ukute na wewe kuna mahali unajimaliza bila hiyana...kila kiumbe ana viwango vya ujinga.Tatizo akili hapo... Hao watu wanaojimaliza wana kiwango kikubwa sana cha ujinga.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]safi sijui km wamerogwa nna sista yangu nae hvyo hvyoookuna mke wa mtu huko kigamboni dar es salaam alipewa ahifadhi milioni kumi 10 ya maendeleo, mwanamke akaenda kujimaliza na milioni 10 kwa mwamposa, mumewe alipoitaka pesa akaambiwa nimejimaliza baada ya siku tatu ntarudishiwa, jamaa akafura kama Mamba, akazama kwa mwamposa akapiga bonge la mkwara akarudishiwa pesa yake, ni habari very recent
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]aseeehhhIla pale kwa Mwamposa kuna baadhi ya vitu havipo sawa. Kuna mzee alipata ajali Musoma akavunjika mguu. Ndugu yake akaamua kumleta Dar kwa matibabu zaidi. Alipofika huku akiwa katika matibabu ya hospitali (ikiwa anatumia magongo kutembelea) akasikia kuhusu Mwamposa.
Akaamua kwenda kuombewa huko. Alipofika akaitwa mbele kwenye ibada maalum akaambiwa atupe magongo keshapona. Sasa sijui ilikuwa mzuka wa imani akaweza kutembea mpaka nje ya kanisa. Kufika kituoni kwa kuchechemea mguu ukamchachia hakuweza kutembea tena na pesa yote katoa sadaka ya kujimaliza. Ikabdi apigie simu ndugu waende kumchukua. Na mpaka kupona kwake ilibidi kutumia fimbo ya fagio maana magongo aliacha kanisani.
Akaendelea kuwa na huyo mwanamke?kuna mke wa mtu huko kigamboni dar es salaam alipewa ahifadhi milioni kumi 10 ya maendeleo, mwanamke akaenda kujimaliza na milioni 10 kwa mwamposa, mumewe alipoitaka pesa akaambiwa nimejimaliza baada ya siku tatu ntarudishiwa, jamaa akafura kama Mamba, akazama kwa mwamposa akapiga bonge la mkwara akarudishiwa pesa yake, ni habari very recent
Sasa unatoa mpaka sadaka hata kwa imani unategemea nini?Watu wanaotoa kwa mkumbo na sio kwa imani lazima walie.
Ila Mwamposa,anajua kuwapukutisha wakulungwa pesa zao,Juzi Bi. mkubwa wangu kanitembelea nyumbani, sasa yeye ni mmoja wa waumini wa kwa Mwamposa.
Baada ya salamu za hapa na pale akaomba awekewe channel ya Mwamposa aangalie ibada.
Wakati tukiangalia kulikuwa ni kipindi cha sadaka, kilichonishanga ni hii sadaka ya kujimaliza yaani toa chote ulichonacho ili ubarikiwe zaidi.
Nikamuuliza Bi mkubwa na wewe huwa unajimaliza? Akanijibu ndio kuna siku nilijimaliza nikakosa mpaka nauli nikachoka.
waumini wanaoenda kwa mwamposa kwakweli acha wakung'utishwe. ule ni wizi wa mchana kweupe na wanaokwenda kule ni mazuzuz piaJuzi Bi. mkubwa wangu kanitembelea nyumbani, sasa yeye ni mmoja wa waumini wa kwa Mwamposa.
Baada ya salamu za hapa na pale akaomba awekewe channel ya Mwamposa aangalie ibada.
Wakati tukiangalia kulikuwa ni kipindi cha sadaka, kilichonishanga ni hii sadaka ya kujimaliza yaani toa chote ulichonacho ili ubarikiwe zaidi.
Nikamuuliza Bi mkubwa na wewe huwa unajimaliza? Akanijibu ndio kuna siku nilijimaliza nikakosa mpaka nauli nikachoka.