Sadaka ya kujimaliza ya kwa Mwamposa inatia watu umasikini

Sadaka ya kujimaliza ya kwa Mwamposa inatia watu umasikini

Inanikumbusha filamu ya kinaigeria Kuna muhubiri Fulani alikuwa hivyoo anahama mikoa na mikoa anafilisi watu hadi Kuna siku akauwawa nyumbani kwake kosa ni kuchukua Mali za watu maelfu ya waislamu kosa mafuta ya upako wamebadilisha dini
Uislamu ni dini ya waarabu ndio mana mafundisho yao yamejaa chuki..husuda..unafiki na mauaji.

Njoo ukanyage mafuta na kula keki ya upako upate ukombozi kamili huku ukitoa sadaka ya kujimaliza.

#MaendeleoHayanaChama
 
Leo nilipanda gari kariakoo naelekea mikocheni Kuna pisi Moja ni Kali nilikaa nayo.Halafu anaonekana ni muelewa Kwa maana sio mshamba hata chembe.Basi akaniuliza kaka hii gari inafika Kwa mwamposa nkamjibu ndo inapoishia akafurahi,Basi nilimuonea huruma nikakosa Cha kumshauri.
 
kuna mke wa mtu huko kigamboni dar es salaam alipewa ahifadhi milioni kumi 10 ya maendeleo, mwanamke akaenda kujimaliza na milioni 10 kwa mwamposa, mumewe alipoitaka pesa akaambiwa nimejimaliza baada ya siku tatu ntarudishiwa, jamaa akafura kama Mamba, akazama kwa mwamposa akapiga bonge la mkwara akarudishiwa pesa yake, ni habari very recent
Na wife lazima abki Kwa mwamposa ajimalize vizuri
 
Umemaliza.
Siku ukianza kuwaamini mitume feki jua umejimaliza.
Mtu asiyekemea dhambi wala kufundisha wokovu...huyo ni mtumishi fake.
Lazima mtumishi wa Mungu ahubiri kumpenda Mungu na kuacha dhambi
Wao wanasema wapo tofauti na madhehebu ya Katoliki, Lutheran, wao wana wapa Elimu ya kiuchumi na ndoa na tiba, tofauti na wakatoliki

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Leo nilipanda gari kariakoo naelekea mikocheni Kuna pisi Moja ni Kali nilikaa nayo.Halafu anaonekana ni muelewa Kwa maana sio mshamba hata chembe.Basi akaniuliza kaka hii gari inafika Kwa mwamposa nkamjibu ndo inapoishia akafurahi,Basi nilimuonea huruma nikakosa Cha kumshauri.
Nadhani wewe ndio wa kuonea huruma..hujui watu wanapata uponyaji kwa MWAMPOSA.

#MaendeleoHayanaChama
 
kuna mke wa mtu huko kigamboni dar es salaam alipewa ahifadhi milioni kumi 10 ya maendeleo, mwanamke akaenda kujimaliza na milioni 10 kwa mwamposa, mumewe alipoitaka pesa akaambiwa nimejimaliza baada ya siku tatu ntarudishiwa, jamaa akafura kama Mamba, akazama kwa mwamposa akapiga bonge la mkwara akarudishiwa pesa yake, ni habari very recent
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]safi sijui km wamerogwa nna sista yangu nae hvyo hvyooo
 
Ila pale kwa Mwamposa kuna baadhi ya vitu havipo sawa. Kuna mzee alipata ajali Musoma akavunjika mguu. Ndugu yake akaamua kumleta Dar kwa matibabu zaidi. Alipofika huku akiwa katika matibabu ya hospitali (ikiwa anatumia magongo kutembelea) akasikia kuhusu Mwamposa.
Akaamua kwenda kuombewa huko. Alipofika akaitwa mbele kwenye ibada maalum akaambiwa atupe magongo keshapona. Sasa sijui ilikuwa mzuka wa imani akaweza kutembea mpaka nje ya kanisa. Kufika kituoni kwa kuchechemea mguu ukamchachia hakuweza kutembea tena na pesa yote katoa sadaka ya kujimaliza. Ikabdi apigie simu ndugu waende kumchukua. Na mpaka kupona kwake ilibidi kutumia fimbo ya fagio maana magongo aliacha kanisani.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]aseeehhh
 
kuna mke wa mtu huko kigamboni dar es salaam alipewa ahifadhi milioni kumi 10 ya maendeleo, mwanamke akaenda kujimaliza na milioni 10 kwa mwamposa, mumewe alipoitaka pesa akaambiwa nimejimaliza baada ya siku tatu ntarudishiwa, jamaa akafura kama Mamba, akazama kwa mwamposa akapiga bonge la mkwara akarudishiwa pesa yake, ni habari very recent
Akaendelea kuwa na huyo mwanamke?
 
wanaojimaliza wameshapata baraka kama watarajiavyo au wanamnufaisha mwampopoooo
 
Juzi Bi. mkubwa wangu kanitembelea nyumbani, sasa yeye ni mmoja wa waumini wa kwa Mwamposa.

Baada ya salamu za hapa na pale akaomba awekewe channel ya Mwamposa aangalie ibada.

Wakati tukiangalia kulikuwa ni kipindi cha sadaka, kilichonishanga ni hii sadaka ya kujimaliza yaani toa chote ulichonacho ili ubarikiwe zaidi.

Nikamuuliza Bi mkubwa na wewe huwa unajimaliza? Akanijibu ndio kuna siku nilijimaliza nikakosa mpaka nauli nikachoka.
Ila Mwamposa,anajua kuwapukutisha wakulungwa pesa zao,
Ukikutana na waumini wake wametoka ibadani,jumapili,sura zimechoka,wanatembea mpaka bondeni Ili kupata gari za bunju,wengine mpaka Morocco Ili wapate gari za mbagala,
Kwa ufupi waumini wake ni watu waliopotea,wanaamini matatizo yao ufumbuzi ni kusali na kutoa sadaka!
Kuna wengine wametoka mikoani,wanalala chini ya miti,sasa Unajiuliza kwa nini kanisa haliwapi hata nafasi ya kulala kanisani?wanalala nje,sasa sijuhi wanakula wapi,kunya wapi,kuoga wapi?anachofanya Mwamposa ni crime against humanity,
Nchi hii Kuna wahindi,wachina,wazungu,lakini hakuna anayeenda kulala chini ya miti Ili aombewe na Mwamposa!
 
Juzi Bi. mkubwa wangu kanitembelea nyumbani, sasa yeye ni mmoja wa waumini wa kwa Mwamposa.

Baada ya salamu za hapa na pale akaomba awekewe channel ya Mwamposa aangalie ibada.

Wakati tukiangalia kulikuwa ni kipindi cha sadaka, kilichonishanga ni hii sadaka ya kujimaliza yaani toa chote ulichonacho ili ubarikiwe zaidi.

Nikamuuliza Bi mkubwa na wewe huwa unajimaliza? Akanijibu ndio kuna siku nilijimaliza nikakosa mpaka nauli nikachoka.
waumini wanaoenda kwa mwamposa kwakweli acha wakung'utishwe. ule ni wizi wa mchana kweupe na wanaokwenda kule ni mazuzuz pia
 
Back
Top Bottom