Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,023
- 12,811
Hawa dawa yao ishachemka imeiva, bado kunyweshwa tu.Wakati tunajadiri issue ya Mwamposa msisahau na issue za ccm nao ni kansa vilevile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa dawa yao ishachemka imeiva, bado kunyweshwa tu.Wakati tunajadiri issue ya Mwamposa msisahau na issue za ccm nao ni kansa vilevile
😃😃hatariIla pale kwa Mwamposa kuna baadhi ya vitu havipo sawa. Kuna mzee alipata ajali akavunjika mguu Musoma. Ndugu yake akaamua kumleta Dar kwa matibabu zaidi. Alipofika huku akiwa katika matibabu ya hospitali (ikiwa anatumia magongo kutembelea) akasikia kuhusu Mwamposa.
Akaamua kwenda kuombewa huko. Alipofika akaitwa mbele kwenye ibada maalum akaambiwa atupe magongo keshapona. Sasa sijui ilikuwa mzuka wa imani akaweza mpaka kutoka nje ya kanisa. Kufika kituoni kwa kuchechemea mguu ukamchachia hakuweza kutembea tena na pesa yote katoa sadaka ya kujimaliza. Ikabdi apigie simu ndugu waende kumchukua. Na mpaka kupona kwake ilibidi kutumia fimbo ya fagio maana magongo aliacha kanisani.
Umemaliza.Wanahubiri sadaka kuliko kumpendeza mungu
endeleeni kumtajirisha jamaaKaribu madhabahu ya Dokta mtume na nabii Mwamposa ule keki ya upako na ukanyage mafuta...tupo kwenye opareshen komboa familia.
Acha kulia anza kuamini.
#MaendeleoHayanaChama
Inanikumbusha filamu ya kinaigeria Kuna muhubiri Fulani alikuwa hivyoo anahama mikoa na mikoa anafilisi watu hadi Kuna siku akauwawa nyumbani kwake kosa ni kuchukua Mali za watu maelfu ya waislamu kosa mafuta ya upako wamebadilisha diniJuzi Bi. mkubwa wangu kanitembelea nyumbani, sasa yeye ni mmoja wa waumini wa kwa Mwamposa.
Baada ya salamu za hapa na pale akaomba awekewe channel ya Mwamposa aangalie ibada.
Wakati tukiangalia kulikuwa ni kipindi cha sadaka, kilichonishanga ni hii sadaka ya kujimaliza yaani toa chote ulichonacho ili ubarikiwe zaidi.
Nikamuuliza Bi mkubwa na wewe huwa unajimaliza? Akanijibu ndio kuna siku nilijimaliza nikakosa mpaka nauli nikachoka.
Wewe mtumisho original umeacha dhambi??Umemaliza.
Siku ukianza kuwaamini mitume feki jua umejimaliza.
Mtu asiyekemea dhambi wala kufundisha wokovu...huyo ni mtumishi fake.
Lazima mtumishi wa Mungu ahubiri kumpenda Mungu na kuacha dhambi
Yaan mimi ningempiga chini huyo mwanamke mpuuzikuna mke wa mtu huko kigamboni dar es salaam alipewa ahifadhi milioni kumi 10 ya maendeleo, mwanamke akaenda kujimaliza na milioni 10 kwa mwamposa, mumewe alipoitaka pesa akaambiwa nimejimaliza baada ya siku tatu ntarudishiwa, jamaa akafura kama Mamba, akazama kwa mwamposa akapiga bonge la mkwara akarudishiwa pesa yake, ni habari very recent
Ya Kweli haya amakuna mke wa mtu huko kigamboni dar es salaam alipewa ahifadhi milioni kumi 10 ya maendeleo, mwanamke akaenda kujimaliza na milioni 10 kwa mwamposa, mumewe alipoitaka pesa akaambiwa nimejimaliza baada ya siku tatu ntarudishiwa, jamaa akafura kama Mamba, akazama kwa mwamposa akapiga bonge la mkwara akarudishiwa pesa yake, ni habari very recent
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila pale kwa Mwamposa kuna baadhi ya vitu havipo sawa. Kuna mzee alipata ajali akavunjika mguu Musoma. Ndugu yake akaamua kumleta Dar kwa matibabu zaidi. Alipofika huku akiwa katika matibabu ya hospitali (ikiwa anatumia magongo kutembelea) akasikia kuhusu Mwamposa.
Akaamua kwenda kuombewa huko. Alipofika akaitwa mbele kwenye ibada maalum akaambiwa atupe magongo keshapona. Sasa sijui ilikuwa mzuka wa imani akaweza mpaka kutoka nje ya kanisa. Kufika kituoni kwa kuchechemea mguu ukamchachia hakuweza kutembea tena na pesa yote katoa sadaka ya kujimaliza. Ikabdi apigie simu ndugu waende kumchukua. Na mpaka kupona kwake ilibidi kutumia fimbo ya fagio maana magongo aliacha kanisani.
HakikaTunaangamia kwa kukosa maarifa
Acha uongo.kuna mke wa mtu huko kigamboni dar es salaam alipewa ahifadhi milioni kumi 10 ya maendeleo, mwanamke akaenda kujimaliza na milioni 10 kwa mwamposa, mumewe alipoitaka pesa akaambiwa nimejimaliza baada ya siku tatu ntarudishiwa, jamaa akafura kama Mamba, akazama kwa mwamposa akapiga bonge la mkwara akarudishiwa pesa yake, ni habari very recent
Hasa za waumini zinakombolewa sana karibu.Hapo familia inayo kombolewa na ya baba mchungaji..
Ndio nimeachaWewe mtumisho original umeacha dhambi??
Uzuri ni mwafrika mwezetu..ana ndugu kibao mbeya..mali zitabaki hapa hapa bongo...kuliko kuzipeleka kwa wazungu au waarabu.endeleeni kumtajirisha jamaa