jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Yuko bize na bunge.Gwajima yeye siku hizi vipi?
#MaendeleoHayanaChama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yuko bize na bunge.Gwajima yeye siku hizi vipi?
Tatizo mnaolalamikia sana sadaka hamtoi sadaka, ila waganga wanawakamueni kichiziJuzi Bi. mkubwa wangu kanitembelea nyumbani, sasa yeye ni mmoja wa waumini wa kwa Mwamposa.
Baada ya salamu za hapa na pale akaomba awekewe channel ya Mwamposa aangalie ibada.
Wakati tukiangalia kulikuwa ni kipindi cha sadaka, kilichonishanga ni hii sadaka ya kujimaliza yaani toa chote ulichonacho ili ubarikiwe zaidi.
Nikamuuliza Bi mkubwa na wewe huwa unajimaliza? Akanijibu ndio kuna siku nilijimaliza nikakosa mpaka nauli nikachoka.
Halafu wakitoka huko wanarudi na wese, maji na chuvi wamevinunua kutoka vibaraza vya upako.Wanakuaga kama wamepumbazwa akili. Huwaambii kitu hadi aje kushtuka it's too late
ana nguvu kumzidi aliyemuumba..Natoa Rai kuw msingatieni Sana mwamposa msimpuuze Kuna kitu ndani yake ambayo wengi hawana
Mm Sina neno nao Kama Ni wa mungu bas sawa Kam si nabii wake ni tapeli ila nijuacho mm anakitu ndani yake
Shuhuda zake azielezeki maelfu humfata je Ni Nani huyu
Aiiseeekuna mke wa mtu huko kigamboni dar es salaam alipewa ahifadhi milioni kumi 10 ya maendeleo, mwanamke akaenda kujimaliza na milioni 10 kwa mwamposa, mumewe alipoitaka pesa akaambiwa nimejimaliza baada ya siku tatu ntarudishiwa, jamaa akafura kama Mamba, akazama kwa mwamposa akapiga bonge la mkwara akarudishiwa pesa yake, ni habari very recent
Unadhani rahisi hivyo..halafu wengi mnajisema huku hajakutana na matatizo..siku ukipata majanga ya dunia ndio utajua hujui utatafuta msaada popote pale.Halafu wakitoka huko wanarudi na wese, maji na chuvi wamevinunua kutoka vibaraza vya upako.
Wanajimaliza juu chini.
Demi tuanzishe kanisa, wewe mhubiri mie mhesabu sadaka[emoji56]
Wewe hapo ndio unajiona mjanja...ukute na wewe kina mahali wajanja wanakutafuna vzr tu.manabii wa kula keki na kukanyaga mafuta ya nazi , halafu wanashushia na maji ya canadian, duh hatari sana kweli wajinga wameendelea kuwa wengi sana nchini
😁😁😁 bi mkubwa aliulizwa : Mama na wewe huwa unajimalizaJuzi Bi. mkubwa wangu kanitembelea nyumbani, sasa yeye ni mmoja wa waumini wa kwa Mwamposa.
Baada ya salamu za hapa na pale akaomba awekewe channel ya Mwamposa aangalie ibada.
Wakati tukiangalia kulikuwa ni kipindi cha sadaka, kilichonishanga ni hii sadaka ya kujimaliza yaani toa chote ulichonacho ili ubarikiwe zaidi.
Nikamuuliza Bi mkubwa na wewe huwa unajimaliza? Akanijibu ndio kuna siku nilijimaliza nikakosa mpaka nauli nikachoka.
unadhani mimi naweza kwenda kukanyagishwa mafuta ya alizeti na wasanii,mimi ninajitambua wewe, unadhani kila mtu muumini wa ujinga kama wewe shtuka pimbi weweWewe hapo ndio unajiona mjanja...ukute na wewe kina mahali wajanja wanakutafuna vzr tu.
#MaendeleoHayanaChama
Imani haiuzwi.Unadhani rahisi hivyo..halafu wengi mnajisema huku hajakutana na matatizo..siku ukipata majanga ya dunia ndio utajua hujui utatafuta msaada popote pale.
#MaendeleoHayanaChama
Haitakaa itokee huyo ana nguvu za ajabu. Ni Mungu tu atamuadhibuNaamini iko siku serikali yetu itamchukulia,hatua huyu mchungaji sijui Nabii! Kwani sasa kaingia kwenye utapeli kwa kujificha kwenye Neno la Mungu, au afanye ziara Rwanda akakutane na mkono wa Chuma wa Kagame
Hahahahah konda anakwambia siti zipo za kukaa, jichanganye sasa utajua hujui. 😂Ila wewe jamaa bhana[emoji3] Mbn unakuwa kama Konda unawadanganya wenzako kama upo nao pamoja wakishapanda gari wewe unaenda grocery kuvuta sigara kusubiria gari ijae[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Yaani mtu akikufuata wewe kapotea huku anajiona maana unashawishi huku kichwani unajua kinachoendelea[emoji16][emoji16]
#Maendeleo yana Chama....
Nilienda kwa Mwamposa miaka michache iliyopita nilikuwa.....
Kule nilikutana na slay queens wa zamani, wadada waliowahi kujichubua, waliovaa kwa stara ila wana tattoo likely from their previous lifestyle, wavaa ushungi. Mambo ya uongo na kweli ya kutosha kule. Natamani nirudi nione kinachoendelea
Mimi namuacha kbsa kama mke ni wa namna hiikuna mke wa mtu huko kigamboni dar es salaam alipewa ahifadhi milioni kumi 10 ya maendeleo, mwanamke akaenda kujimaliza na milioni 10 kwa mwamposa, mumewe alipoitaka pesa akaambiwa nimejimaliza baada ya siku tatu ntarudishiwa, jamaa akafura kama Mamba, akazama kwa mwamposa akapiga bonge la mkwara akarudishiwa pesa yake, ni habari very recent
Kuna mstari mwembamba sana unaotenganisha waganga wa kienyeji walio waongo na jamii za wahubiri injili kama Mwamposa.Tatizo mnaolalamikia sana sadaka hamtoi sadaka, ila waganga wanawakamueni kichizi
Kumbe kuna wenye uwezo wa kuwafufua wafu?! Kama nani aliwahi kufanya hivyo?Imani haiuzwi.
Mungu hakutudai fidia yeyote kwa kifo cha Mwanae aliyejitolea uhai wake kwa ajili yetu.
Kwa nini shida za wagu zitumike kama kigezo chabkujikusanyia faida?
Mathayo 10:8
Pozeni wagonjwa, fufueni wafu, takaseni wenye ukoma, toeni pepo; mmepata bure, toeni bure.
Acha kukariri maisha..unataka hiyo ministry ijiendeshe vipi usawa huu wa magari..ambapo kila kitu ni pesa..Yesu kristo alikua na wahasibu kwajili ya kutunza mfuko wa fedha ili kuwezesha injili...au hufahamu kazi ya Yuda iskariote.Imani haiuzwi.
Mungu hakutudai fidia yeyote kwa kifo cha Mwanae aliyejitolea uhai wake kwa ajili yetu.
Kwa nini shida za wagu zitumike kama kigezo chabkujikusanyia faida?
Mathayo 10:8
Pozeni wagonjwa, fufueni wafu, takaseni wenye ukoma, toeni pepo; mmepata bure, toeni bure.